Wakuu kwa anaefahamu vyema juu ya hawa viumbe atujuze!
1:Aina mbalimbali za sungura
2:Namna bora ya kuwafuga
3:Faida na hasara za zake
4:Mengineyo kuhusu hawa viumbe
Utaweza kweli kuwafuga? Maana wanakulaga majan flam iv machungu balaa uwa yanapatikana sana mabush cjajua lakn vyakula vya mashop ngoa wajuz wa town waje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.