Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wajasiriamali naombeni ushauri kwenye kunishauri aina ya biashara ya mtaji mdogo wa tsh laki 2. Mtendaji ni mama mtoto wangu.yuko flexible kiasi anaweza kufanya biashara za aina tofauti. Mkoa ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuuni ukweli usio pingika kwa mba hali za kiuchumi ni ngumu sana, na vilevileukizingatia kwamba tuko kwenye Dunia ya Utandawazi ambao tunaambiwa Dunia nikijiji, na na Ukijumulisha na...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu,naomba mwenye kujua mahala nairobi ambapo naweza pata bidhaa za electronics original kwa bei nafuu kama vile simu,external hardisk,flash,memory cards etc.ni ya biashara.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana JF,ningependa ku share ideas na watu wenye uzoefu na biashara, katika biashara kikubwa kinachoangaliwa ni faida , kwa watu wenye uzoefu na biashara mbali mbali nilikua naomba kuuliza...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Bila shaka tunategemea na kumekuwepo na mabadiliko kadhaa ya sector hii ya usafiri Dar, sisi kama wadau wa hii huduma tungependa kuelewa nini taratitu/mwelekeo/Policy/Vision ya SUMATRA katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza laptop mtumba kutoka canada aina ni ibm kama inavyo onekana bei tsh.280,000 tu. specification 1.hard disc 40gb 2.processor 2ghz 3. Ram 512mb inasifa ya kuhifadhi chaji kwa muda mrefu kama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu watanzania Mimi ni kijana nilie na umri wa miaka 28 ni mtanzania mzaliwa wa zanzibar elimu yangu ni form 4 ninaujuzi wa kutumia computer na kuitengeneza kwa hardware and software pia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana JF?Naomba msaada wenu wa information juu ya bei za mashamba huko Morogoro vijijini nataka kwa ajili ya kulima mahindi,maharage nk.Naomba pia kujua makadirio ya gharama za vibarua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wafanya biashara kutoka nje ya Tanzania wanataka kujua kama wanaweza kupata mananasi kutoka Tanzania. Mwenye kujua ni wapi yanapatikana kwa kiwango kizuri (quality & quantity) anijuze na kama kuna...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hi JF!!!, Najisikia vema nishare some important business tips with those interested in business, as for today read the following: Everyone wants more customers but some customers are just not...
1 Reactions
0 Replies
980 Views
Wakuu nataka kufanya biashara ya tigo pesa. Hata hivyo, tigo wenyewe kwa sasa hawatoi line hizo hadi mwishoni mwa mwezi febroary. Kama kuna mtu anauza kwa sababu yo yote ikiwepo kusitisha biashara...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hellow! Naomba kujua market price ya mihogo ipo vipi. Tuna eka tisa tunahitaji kuuza ila hatujui chochote. Thanks in advance!
0 Reactions
13 Replies
10K Views
Eti nikitaka kuanzisha kampuni ya usafirishaji dar...niwe upande gani ili nipate uhakika wa kula...ninunue coaster au nitafute gari ya mizigo ???jf mchango wenu please
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Waheshimiwa habarini za kazi!! Baada ya kutumika serikalini n akwenye mashirika mengine nimeweka mkakati wa kujiajiri ifikapo 2015 na nimedhamiria kujikita katika KILIMO NA UFUGAJI! KILIMO...
2 Reactions
22 Replies
8K Views
habari za kazi wanajamiii.....naomba mwenye kujua ni wapi naweza pata machine za kutengeneza daily bread anijuze...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Maelezo zaidi kuhusu Banking System. Lakini the computer is uploading too slowly,kwa hiyo installment nyingine itabidi zije baadaye.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Maelezo mengine kuhusu Banking. Nyingine nitatuma kesho.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haya ni maelezo kuhusu Banking System.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu!Nilikuwa napita mahali nikakuta mwanababa mmoja kwenye simu akiongea maneno hayo.Naomba mnisaidie yana maana gani?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani nataka kujumua mawig ya wananawake China na kuyauza tanzania kuna mtu aliwahi niambia yanalipa japo saizi ni mda umepita na kibaya aliyenipa hiyo biashara nilipoteza mawasiliano nae, wakati...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom