gharama ipo katika kupata till ambayo ni sim card anayopewa wakala kwa ajili ya kufanyia transactions,gharama zinatofautiana kulingana na super dealers wengine wanatoa uwakala kwa mil 1 tgo pesa na mil 2 kwa mpesa.vitu vya umuhim ni lesen ya biashara TIN nanber na kitambulisho kama vp nitafute kwa 0716030083
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.