wadau habarini. na biashara yangu nataka iendeleza, sasa naitaji mkopo kuweza fikia lengo hilo. nimeajiriwa kwa mkataba, na mshahara wangu si mbayaz. swali lamgu juna bank ambayo unaweza...
Kwa Tanzania sasa ndo tunafumbua macho kuhusu ujasiriamali, baada ya tatizo la ajira kuongezeka kwa kasi ya ajabu. Mtu anamaliza chuo anakaa mtaan miaka bila kupata ajira. Na wengi wameshajiwekea...
niko chuo kwa sasa iringa, likizo huwa nipo dar mara nyingi na mara kadhaa kilimanjaro. sasa nina kama 1 mil. nataka kufanya biashara yoyote yenye kuendana na mwanachuo kwa maana ya muda, pia...
wana jamvi nisaidieni jamani, niko very serious nataka mkopo nijenge nyumba. ninayosite but haijapimwa ila natamani kweli kujenga kajumba kadogo kazuri. cash on hand sina na sina kitu cha kuweka...
In reality, there is a greater risk in sticking to a job than in minding your own business or putting money in investments.A job can easily be taken away from you anytime.
Yes, you can always...
Ninataka kuwa wakala wa coka je kianzio unatakiwa uwe na kreti ngapi? Na yale makontena wanayotumia yenye nembo ya kampuni wanapewa bure au wananunua?na vipi bei ya kununulia maana ya kuuzia ni...
Wengine wanasema hawa kuku ni wa kisasa ila wengine wakienyeji na vp sokoni wanatambulika kama wakienyej au kisasa na vp bei yake dar.Naomba mchango wenu wana Jf
Wadau habari!naingia jamvini ili kuweza kuomba msaada na ushauri juu ya soko la mayai mkoani Morogoro,lengo langu kubwa ni kutaka kujihusisha na usambazaji wa mayai hayo (ya kuku wa kisasa) katika...
Habari, mimi mgeni hapa natumai mtanikaribisha vizuri! Nataka kujua bei ya kununua dengu na maharagwe nikihaitaji kwa uwingi mfano tani 30 ya maharagwe nitaipataje ki urahisi? Mashambani au...
Hello JF Members, ninataka kununua mashine za kusaga na kukoboa nafaka zinazotumia umeme, pamoja na mashine ya kushona mifuko(vigunia) ya nafaka. Naomba yeyote anaejua wapi naweza pata mashine...
Habari Ndugu.
Aramex Tanzania, inafuraha na heshima kuanzisha huduma mpya iitwayo Shop na Ship (SNS).
Ukiwa kama mwanachama wa SNS, utapata Sanduku (Mailbox) Marekani, Uingereza na China, hii ni...
Habari zenu wana JF, ninaomba msaada mwenye kujua kuhusu biashara ya chips yaani kibanda cha chips kwa hapa dar. Mtaji ni kiasi gani?na faida yake? Na ushauri wowote katika ili.nitashukuru.
I am working with an American company, currently expanding in Dar es salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya and we are looking for open positively minded people, interested in business that would like to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.