Incubators ni Kifaa kinacho tumika kuangulia mayai, na hufanya kazi ambayo kuku hufanya, Ila tofauti na Kuku ambaye hutumia bilogocal katika kuatamia Mayai, Incubators mara Ntingi huhitaji akili...
wakuu wana Board poleni kwa majukumu mazito mlionayo.Hoja yangu ni kutaka kujua ufanisi wa mashine ya selcom na hudama zake zote ukilinganishi na ile ya Maxcom,mimi ni mtumiaji wa mashine ya...
Wadau tushirikiane kukumbushana maisha sio kuajiriwa peke yake. Vijana wengi wamedhani kuwa maisha pekee ya kumwezesha kushi ni kuajiriwa kwenye makampuni au serikali ndipo maisha yaweze kusonga...
Wana JF,
Natafuta kampuni inayo print PVC lables au stickers.
PVC lables hizi zinabandikwa kwenye mifuko au chupa za kufungi bidhaa mbali mbali.
Naweka mfano wa PVC lables hapa chini, asanteni sana.
Wajasiliamali wenzangu naomba kujulishwa kama kuna association ya mazao hayo tajwa. Halafu kama kuna mtu mwenye uelewa wa masoko ya nje. Procedure gani za kufuata kuyapata.
Wakubwa heshima mbele,
Naomba kujua mahali wanapokamua alizet hapa dar. Nafikiria kulima zao hili ukanda huu wa pwani lakini sijajipanga kununua mashine ya kukamua, hivyo ningenufaika kama mtu...
Habari zenu ndugu, nimekuwa nikivutiwa sana na ushauri mnaotoa juu ya mambo mbalimbali. Ushauri unaotolewa huwa unanipa moyo sana.
Mimi ni muajiliwa kwa miaka 13 sasa katika sekta binasfi...
NDUGU ZANGU KUNA WATU WAPO MAKAZINI NAWANGEPENDA SANA KUJISHUGHULISHA NA SHUGHULI MBALIMBALI ILI KUJIONGEZEA KIPATO LAKINI WANAKOSA MUDA NA WASIMAMIZI. KUNA WATU WANA FEDHA LAKINI WANAKUMBANA NA...
Ndugu wana JF, Heshima Kwanza.
Baada ya utafiti wa mudu mrefu, imefahamika kua tatiza kubwa la wakulima ambao ndio asilimia kubwa ya wananchi wa Tanzania, wenye kipato cha chini waishio vijijini...
Ndugu zangu mimi ni mkazi wa Mwanza, kijana wa elimu ya chuo kikuu ktk masomo ya biashara. Kwa sasa nakaa tu sina ajira ila nina mtaji wa sh milioni 2.
Nimewaza nianze kufanyia nini nimeshndwa...
Jamani wana jamii mimi nina ujuzi wa kutengeneza sabuni ainazote na shampoo,mishumaa na vingine kwa sasa nataka kujikita na sabuni na shampoo,sasa nipo busy na kazi nyingine nahitaji mtu aliye...
Wana JF,
Naulizia wapi vinapatikana vifaa vya kuvunia asali, yaani mavazi maalum ya kuvaa wakati wa kuvina asali na vyombo vya kuwekea na kuhifadhia asali.
Wapi nitapata vifaa hivyo na bei zake...
Ndugu zetu Watanzania mliopo Botswana,could you please
Share your experience,kuhusu mambo ya business?hasa ni biashara zipi zinafaa kati ya nchi hizi mbili!naomba mawazo yenu wadau
Heshima yenu wanaJF, Nina wazo la kufunga kuku, kwa nia ya kujiongezea kipato naomba ushauri wa namna ya kupata mtu au mahali ninapoweza kupata ushauri wa :- kuku gani wa kufuga (wa kisasa au wa...
Nina shamba la ukubwa wa hekari 4 katika kijiji cha Vikawe karibu na Mapinga Bagamoyo ambalo nimelisajili kwa hekari mbili mbili (yaani lina hati mbili), ambalo nataka kuanzisha mradi wa ufugaji...
Wana jf,nipo chalinze,nina kiasi cha Mil.3,ninataka kuweka duka hapa,ila sina uzoefu na biashara hii.LAKINI pia nimewaza kuwa pengine kiasi hicho nifungue saloon ya kiume au kike.USHAUR TAFADHALI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.