Wadau, nataka kufanya biashara ya kuuza bia za jumla. Kwa mtu mwenye uzoefu na biashara hiyo naomba anisaidie kujua mambo kadhaa kama vile kreti ngapi zinatosha kuanzia, upatikanaji wa bia ie...
habari wakuu,kuna hii biashara ya
kuuza crips za viazi,ndizi au mihogo
na tambi za dengu,naomba
kufahamu juu ya faida na soko lake
kwa ujumla kwa dsm.mashne za
kutengenezea znapopatkana na...
We're going to use the A, B, C method from now on to break down everything
you want to achieve into small, manageable steps. Here is the A, B, C method
in simple terms.
A = Action
B =...
Habari za usiku huu ndugu zangu!
Mimi ni mdada ambae maisha yangu yote natamani kuwa mjasiriamali ila sina idea ya biashara wala mtaji .
Kushindwa kutimiza ndoto zangu kunaniumiza sana .
Naomba...
i am Going to Kingolwira Fish Farm on Satarday 30 April.
Nimefanikiwa kuchimba bwawa la samaki .nahitaji contacts details za wahusika wa Kingolwira fish farm.
kwa member aliyewahi kufika ktk hiki...
Nilikuwa naitumia ila sahivi nataka kusitisha kufanya hii biashara kutokana na kuwa bize na biashara nyingine,napatikana Tegeta.Anayehitaji anipm tuongee biashara
Mji wa Ruaha Mbuyuni mkoani Iringa, kwa sasa unapelekewa huduma ya umeme toka Ilula, naamini baada ya miezi michache ijayo mji ule utakuwa nuruni.Mji huu unakuja juu kibiashara, hasa biashara ya...
Mimi ni mtengenezaji wa batiki kama vikoi na vitambaa vya kushona kwa kutumia ubunifu wa hali ya juu mawasiliano 0717539573 au email: stanslausd@yahoo.com
Jamani kwanza napongeza uongozi wa JF kwa kuweka kipengele hiki cha matangazo kwa watu wanyonge ambao kwenda media mbalimbali hatuwez hivyo basi nasema Mungu awabariki.Mimi napenda kusema kuwa ni...
vijana wakisasa, ni kijana mwenye kujituma na kuwaza mbali zaidi, social media zinasaidia katika kukuza network nakupata taarifa mpya, sio vinginevyo kama unashinda facebook kuangalia profile...
katika harakati zangu za kuwa mjasiriamali nikajikusanyia ka mtaji ambako hadi sasa kamefikia milioni 4. nilikuwa najikusanyia kwa kudunduliza kamshahara na biashara za mkononi. wakati...
Umoja wa mataifa (UN) walifanya utafiti kuhusu tabia za watu matajiri duniani kote. Walijiuliza kwa nini kuna watu maskini na watu matajiri ktk kila nchi iwe nchi tajiri kama marekani na Uingereza...
KARIBU KATIKA NETWORK YA WAJASIRIAMALI TANZANIA. HII NI NETWORK YA WAJASIRIAMALI,VIJANA NA WATU WOTE AMBAO WANAPENDA KUWAJASIRIAMALI LAKINI HAWANA UWEZO WA KIFEDHA NA UTHUBUTU WA KUTIMIZA NDOTO...
1. Henry Ford
Henry Ford failed twice in business before he finally went on to build the Ford Motor Company; and became one of the richest men in the world. He has this to say about...
Nina mpango wa kumfungulia mke wangu biashara. Mimi ni mtumishi na kwa kipato changu naweza kukopa benki mpaka Tsh 15 milioni. Je, zinatosha kwa duka la nguo za wanawake na watoto? Duka hilo...
Wadau nina kuku wangu wa kienyeji wana wiki wametoka dodoma, leo asubuhi wamekufa 2,,wanaumwa mafua makali mpaka wanashindwa kuhema vizuri,wanakua kama wanakoroma na kusinzia....naombeni ushauri...
Nimejaribu kusoma post mbali mbali zinazoelezea kilimo cha umwagiliaji pamoja na gharama zake!vitu kama green house,drip irrigation systems n.k!kwa wajasiliamali wadogo wadogo wanaotaka kuanza...