Mji wa Ruaha Mbuyuni mkoani Iringa, kwa sasa unapelekewa huduma ya umeme toka Ilula, naamini baada ya miezi michache ijayo mji ule utakuwa nuruni.Mji huu unakuja juu kibiashara, hasa biashara ya Hotel,Vitunguu,camp sites ( zipo mbili kwa sasa). Zipo biashara ambazo hazijavumbuliwa kwa sababu ya kukosekana umeme.Mji una ongezeko kubwa la watu wa kila kona kwa sababu ya vitunguu. Ila mji huu hauna shule,japokuwa location yake iko vizuri,mawasiliano ya simu na barabara ni mazuri.Hakuna guest house za kisasa japokuwa ni parking ya malori makubwa ya transit.Hakuna w/house za muda mfupi kwa mazao nkKipo kilimo cha umwagiliaji na ufugaji kiasi. Haya kwa wajasiriamali wenzangu, fursa hizo.Tusiwaachie wageni kila fursa.