Mji mpya wa biashara

Malila

JF-Expert Member
Dec 22, 2007
5,149
4,674
Mji wa Ruaha Mbuyuni mkoani Iringa, kwa sasa unapelekewa huduma ya umeme toka Ilula, naamini baada ya miezi michache ijayo mji ule utakuwa nuruni.Mji huu unakuja juu kibiashara, hasa biashara ya Hotel,Vitunguu,camp sites ( zipo mbili kwa sasa). Zipo biashara ambazo hazijavumbuliwa kwa sababu ya kukosekana umeme.Mji una ongezeko kubwa la watu wa kila kona kwa sababu ya vitunguu. Ila mji huu hauna shule,japokuwa location yake iko vizuri,mawasiliano ya simu na barabara ni mazuri.Hakuna guest house za kisasa japokuwa ni parking ya malori makubwa ya transit.Hakuna w/house za muda mfupi kwa mazao nkKipo kilimo cha umwagiliaji na ufugaji kiasi. Haya kwa wajasiriamali wenzangu, fursa hizo.Tusiwaachie wageni kila fursa.
 
kwa hiyo mji mpya ndio unaanza au ulishatangazwa au ndo kama juba darfur ndio maisha yanaanza..
 
Mji wa Ruaha Mbuyuni mkoani Iringa, kwa sasa unapelekewa huduma ya umeme toka Ilula, naamini baada ya miezi michache ijayo mji ule utakuwa nuruni.Mji huu unakuja juu kibiashara, hasa biashara ya Hotel,Vitunguu,camp sites ( zipo mbili kwa sasa). Zipo biashara ambazo hazijavumbuliwa kwa sababu ya kukosekana umeme.Mji una ongezeko kubwa la watu wa kila kona kwa sababu ya vitunguu. Ila mji huu hauna shule,japokuwa location yake iko vizuri,mawasiliano ya simu na barabara ni mazuri.Hakuna guest house za kisasa japokuwa ni parking ya malori makubwa ya transit.Hakuna w/house za muda mfupi kwa mazao nkKipo kilimo cha umwagiliaji na ufugaji kiasi. Haya kwa wajasiriamali wenzangu, fursa hizo.Tusiwaachie wageni kila fursa.

Je ninaweza kupata kiwanja mahali hapo?
 
Viwanja vipo? Na bei yake inarange kwenye ngapi?

Pale viwanja ni vya kujikatia size unayotaka, fika serikali ya mtaa unaotaka, omba ukatiwe bonge la pande. Sio utani, kwa sababu hawa wenye camp site zilizoko kando ya mto hawajanunua kwa mtu, mji una mito miwili ya nguvu. Kama unataka upande wa Morogoro haya au upande wa Iringa haya, cha msingi angalia mita za Magufuli basi.
 
kwa hiyo mji mpya ndio unaanza au ulishatangazwa au ndo kama juba darfur ndio maisha yanaanza..

Huu mji ulikuwepo siku nyingi,tatizo lilikuwa umeme, wenyeji walioanza kuishi pale walianza kama kijiji kidogo,kadri siku zinavyokwenda wajanja wakagundua vitu vizuri vilivyopo pale ambavyo vimevutia uhamiaji wa nguvu kazi toka maeneo mbali mbali. Baadae akina al jazeera wakapanesha kwa kujenga hotel kwa ajili ya abiria. Mara oil com wakaweka petrol station.

Mara wachina wakaja kulima vitunguu,mara wapemba wakaja kununua vitunguu,hee mara nyama choma za kufa mtu, mara mjerumani kaleta camp site ya kwanza,mara Crocodile camp site, mara akina airtel,sijui vodafone. Mpaka hapo umeme ulikuwa haupo.

Ni mji tambalale ni km kama 70 / 100 hivi mpaka Iringa mjini.
 
Mkuu Malila nimepita hapo jana kuja huku ndo taaaneeeskooo walikua wanamalizia kuweka nguzo, kwa heshima na mimi nikanunua vitunguu hapo
 
Mkuu Malila nimepita hapo jana kuja huku ndo taaaneeeskooo walikua wanamalizia kuweka nguzo, kwa heshima na mimi nikanunua vitunguu hapo

Poa,

Sijapata mwenyeji mzuri ili nipate eneo kubwa zuri ktk kimji hiki kipya kizuri. Vitunguu vya sikukuu nini?
 
Mji wa Ruaha Mbuyuni mkoani Iringa, kwa sasa unapelekewa huduma ya umeme toka Ilula, naamini baada ya miezi michache ijayo mji ule utakuwa nuruni.Mji huu unakuja juu kibiashara, hasa biashara ya Hotel,Vitunguu,camp sites ( zipo mbili kwa sasa). Zipo biashara ambazo hazijavumbuliwa kwa sababu ya kukosekana umeme.Mji una ongezeko kubwa la watu wa kila kona kwa sababu ya vitunguu. Ila mji huu hauna shule,japokuwa location yake iko vizuri,mawasiliano ya simu na barabara ni mazuri.Hakuna guest house za kisasa japokuwa ni parking ya malori makubwa ya transit.Hakuna w/house za muda mfupi kwa mazao nkKipo kilimo cha umwagiliaji na ufugaji kiasi. Haya kwa wajasiriamali wenzangu, fursa hizo.Tusiwaachie wageni kila fursa.

mkuu weka picha niweke kwenye blog hii habari inafaa kwenye blog yangu.
Gonga hapa
www.gshayo.blogspot.com
 
mkuu weka picha niweke kwenye blog hii habari inafaa kwenye blog yangu.
Gonga hapa
GSHAYO
Nikipita january nitapiga picha nikutumie ni kamji kapya kenye fursa nyingi. Kumbuka kapo ktk highway ya kwenda zambia,Malawi,Congo na kwingineko.
 
Pale viwanja ni vya kujikatia size unayotaka, fika serikali ya mtaa unaotaka, omba ukatiwe bonge la pande. Sio utani, kwa sababu hawa wenye camp site zilizoko kando ya mto hawajanunua kwa mtu, mji una mito miwili ya nguvu. Kama unataka upande wa Morogoro haya au upande wa Iringa haya, cha msingi angalia mita za Magufuli basi.

Kaka MAFURIKO vipi?
 
Mji wa Ruaha Mbuyuni mkoani Iringa, kwa sasa unapelekewa huduma ya umeme toka Ilula, naamini baada ya miezi michache ijayo mji ule utakuwa nuruni.Mji huu unakuja juu kibiashara, hasa biashara ya Hotel,Vitunguu,camp sites ( zipo mbili kwa sasa). Zipo biashara ambazo hazijavumbuliwa kwa sababu ya kukosekana umeme.Mji una ongezeko kubwa la watu wa kila kona kwa sababu ya vitunguu. Ila mji huu hauna shule,japokuwa location yake iko vizuri,mawasiliano ya simu na barabara ni mazuri.Hakuna guest house za kisasa japokuwa ni parking ya malori makubwa ya transit.Hakuna w/house za muda mfupi kwa mazao nkKipo kilimo cha umwagiliaji na ufugaji kiasi. Haya kwa wajasiriamali wenzangu, fursa hizo.Tusiwaachie wageni kila fursa.

Ahsante sana kwa hizi habari njema kabisa, watu wengi JF kazi yao kulalamika, kususa na kushadidia maandamano. Haya andamaneni kwenye fursa hizo.
 
Wewe kweli uwezo wa kufikiri mdogo, hivi unafikiri watanzania wote wanaweza ku-tap hizi fursa zilizopo? usiweke siasa kwenye kila kitu. Malila kaleta wazo, lakini bado kutakuwa na restrictions kibao kwa mtu kwenda ku acquire ardhi tajwa, wachilia mbali turning it into productive use. Si kila kitu siasa we mama, ningekuwa PAW au Invisible ningekupiga ban jukwaa la biashara. Unachafua hali ya hewa tu!
Ahsante sana kwa hizi habari njema kabisa, watu wengi JF kazi yao kulalamika, kususa na kushadidia maandamano. Haya andamaneni kwenye fursa hizo.
 
Wewe kweli uwezo wa kufikiri mdogo, hivi unafikiri watanzania wote wanaweza ku-tap hizi fursa zilizopo? usiweke siasa kwenye kila kitu. Malila kaleta wazo, lakini bado kutakuwa na restrictions kibao kwa mtu kwenda ku acquire ardhi tajwa, wachilia mbali turning it into productive use. Si kila kitu siasa we mama, ningekuwa PAW au Invisible ningekupiga ban jukwaa la biashara. Unachafua hali ya hewa tu!

Hizo fursa hazipo huko tu, zipo kila mahali Tanzania na tunaona wageni wanavyokuja kuzichangamkia. Asiyeziona ni ama hana macho ama mvivu wa kutupwa.
 
Mji wa Ruaha Mbuyuni mkoani Iringa, kwa sasa unapelekewa huduma ya umeme toka Ilula, naamini baada ya miezi michache ijayo mji ule utakuwa nuruni.Mji huu unakuja juu kibiashara, hasa biashara ya Hotel,Vitunguu,camp sites ( zipo mbili kwa sasa). Zipo biashara ambazo hazijavumbuliwa kwa sababu ya kukosekana umeme.Mji una ongezeko kubwa la watu wa kila kona kwa sababu ya vitunguu. Ila mji huu hauna shule,japokuwa location yake iko vizuri,mawasiliano ya simu na barabara ni mazuri.Hakuna guest house za kisasa japokuwa ni parking ya malori makubwa ya transit.Hakuna w/house za muda mfupi kwa mazao nkKipo kilimo cha umwagiliaji na ufugaji kiasi. Haya kwa wajasiriamali wenzangu, fursa hizo.Tusiwaachie wageni kila fursa.
Najua hapo watu wameghafilika na kumtaja Allah mwenye kuleta hizo neema.Ngoja nije niwajengee msikiti mzuri wa kufanyia ibada.Pindi akitokea yoyote akaweka vikwazo subirini ukame na mito yote kukauka.
 
Back
Top Bottom