1. Henry Ford
Henry Ford failed twice in business before he finally went on to build the Ford Motor Company; and became one of the richest men in the world. He has this to say about...
Nina mpango wa kumfungulia mke wangu biashara. Mimi ni mtumishi na kwa kipato changu naweza kukopa benki mpaka Tsh 15 milioni. Je, zinatosha kwa duka la nguo za wanawake na watoto? Duka hilo...
Wadau nina kuku wangu wa kienyeji wana wiki wametoka dodoma, leo asubuhi wamekufa 2,,wanaumwa mafua makali mpaka wanashindwa kuhema vizuri,wanakua kama wanakoroma na kusinzia....naombeni ushauri...
Nimejaribu kusoma post mbali mbali zinazoelezea kilimo cha umwagiliaji pamoja na gharama zake!vitu kama green house,drip irrigation systems n.k!kwa wajasiliamali wadogo wadogo wanaotaka kuanza...
habarin wakuu nimeamua kufungua blog kwa ajil ya kutoa taarifa mbalimbal za ujasiliamali sasa nilikuwa naomba mchango wenu vitu gan vya kuzingatia wakat wa ufunguz wa blog hyo na vp nitaweza ku...
Habari wakuu,
Wapi naweza kupata high quality service ya kuprint stika? Bei ikoje kwa stika moja?
Stika ni kwa ajili ya kubandika kwenye madumu ya mafuta ya kula.
Habari zenu wana jf, nimehamia dodoma hiv majuzi,mzoefu wa mapishi ya kila haina ila napendelea sana kuchoma nyama za kuku na ngombe pamoja na kupika kiti moto,dodoma ni mgeni na natamani sana...
Hamjambo wandugu,
Nimejifunza kupamba kumbi za sherehe. Sina uzoefu sana. Kwa sasa napamba kwa gharama ndogo sana ili kupata uzoefu.
Kama kuna mtu mwenye uzoefu na kazi hii, naomba kufuatana...
MAFUTA YA UBUYU
(BAOBAB SEED OIL)
Ni mafuta yatokanayo na mbegu ya ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Utafiti huu umefanywa na Kampuni ya Essential Oil ya Afrika kusini...
Turubai
jipya la kuwekea kambi linauzwa kwa sh. 350,000/=. Ni kubwa lenye uwezo
wa kulaza watu 5. Linauzwa lenyewe pamoja na begi lake na vifaa vyake
vyote vya kulisimamishia.
Pia wanauzwa...
Habari zenu wa wadau,naulizia bei za incubators,na pia nataka kujua km naweza kutotolea mayai ya kienyeji,pls mwenye ufahamu juu ya ili afunguke,itasaidia sana.
This is unique opportunity for those who like to learn from winners and successful people in the Network Marketing , John E. FLP Africa Top Distributor is in Dar and tomorrow will give special...
HABARI WANAJAMVI?
Leo napenda kuwashauri kuhusu kutumia cctv n surveilance.
cctv and surveilance ni nini?
Hii ni system inayounganisha security camers, na dvr ambapo mtu aneweza kuona maeneo...
Ndugu wanajamvi naomba kujuzwa taratibu za kukopa Katika taasisi zetu za kifedha upoje kwa dhamana ya title deed/hati ya Kiwanja..
1: Je nahitaji kuwa na business plan ili nikopesheke?
2; Je...
Nia yangu ni kujaribu kujiinua kimaisha polepole, kwa anayejua naomba anisaidie
1) ningependa kujua bei ya kifaranga mmoja na wapi wanapatikana wazuri?
2) je ni mda gani mpaka kukua na kuuza...
Kuna rafikiyangu Mkongo anataka kuwa analeta raw gold tanzania ameshapata utaratibu wa wizara ya madini na TRA sasa yeye anahitaji masoko hapa nchi hana mtaji sana anataka wanunuzi serious,na je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.