lionhard
Senior Member
- Jul 16, 2015
- 194
- 43
Habari wana JF,
Ndoto zangu ni kumiliki Garage.
Ningependa kujua yafuatayo;
1.Gharama za kuanzisha Garage.
2.Sehemu nzuri kwa shughuli hii inapaswa iweje
3.Usimamizi wa Garage upo vipi? maana nasikia ni mgumu Sana.
4.Inalipaje?
5.Mambo ya kuzingatia kabla ya kuanzisha Garage.
NAOMBA KUWASILISHA
Ndoto zangu ni kumiliki Garage.
Ningependa kujua yafuatayo;
1.Gharama za kuanzisha Garage.
2.Sehemu nzuri kwa shughuli hii inapaswa iweje
3.Usimamizi wa Garage upo vipi? maana nasikia ni mgumu Sana.
4.Inalipaje?
5.Mambo ya kuzingatia kabla ya kuanzisha Garage.
NAOMBA KUWASILISHA