Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Naomba msaada namna gani natakiwa kufanya ili nipate leseni baada ya kusakusajili kampuni brela
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari Wakuu,naomba Wale Wakulima Wa Nyanya Tukutane Whatsap 0762398199 tubadilishane mawazo, kupeana uzoefu wa masoko, magonjwa, changamoto na faida za nyanya.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
hello. namtafuta ndugu yangu anaitwa Selevesta anauzaga ng'ombe kutoka dodoma kupeleka dsm ,,yeye familia yake ipo dsm..kama unamjua nitatute 0685733122.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wazoefu, naomba mnisaidia jinsi ya kumkabidh mtu boda yako. Kuhusu mashahd, na namna ya kuhakksha boda yako inakua salam na huingii hasara endapo jamaa atapotea nayo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mna mtaji wa tsh milion 4 je! nifanye biashara gan ambayo itaweza kuniendeshea maisha?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Unakaribishwa kuhudhuria semina kubwa na ya aina yake inayofanyika leo pale MUCCASA MAFIATI MBEYA MJINI. KARIBU UPATE MAARIFA KATIKA NYANJA TATU AFYA, UJASIRIAMALI NA MAISHA YENYE FURAHA. HAINA...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wadau. Natumai mu-wazima kabisa na mnaendelea vyema kabisa na ujenzi wa taifa letu pendwa la Tanzania. Kama mada husika inavyojieleza hapo juu, nahitaji msaada wenu wadau katika hii...
0 Reactions
34 Replies
8K Views
Nimeishi Ulaya yapata miaka 9 kwa sasa, nimefanya kazi mbalimbali mpaka mashambani kufuga na kulima, mkulima ulaya nika unavyomsikia baresa mengi na matajiri wengine bongo, asikudanganye mtu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Natafuta soko la mayai ya kienyeji.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF napenda kupata maelezo kuhusu faida na hasara kwa mkulima ambae atatumia mbolea ya maji aina ya SuperGro shambani kwake. Nimejaribu kuomba details za hiyo mbolea kwa wauzaji...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wadau naomba kwa yeyote anayejua mwenendo wa soko la ndizi ngumu/mzuzu mkoani mtwara kama vile bei kwa mkungu na mahitaji yake kwa ujumla hata changamoto pia.Plani ni kutoa ndizi mbinga kwenda...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habarini wakuu.Mimi ni mfanyakazi ila napenda sana kujituma mwenyewe.katika maandalizi ya kujituma nimeanza na ufugaji wa kuku wa kienyeji.kwa kuanza nimeanza na vifaranga ishirini sasa vina miezi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu nataka kufungua stationery maeneo ya mabibo hostel,kwa wajuzi zaidi wa biashara ya aina hii je maeneo hayo yanaweza kulipa kweli?,tayari nini photocopy machine CANON IR 3300 yenye uwezo wa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mwenye nazo ataje bei kwa kilo na kiwango alichonacho.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF Naomba anaejua gharama za kutoa container la 20ft hapo Bongo anipe process yote pamoja na charge zingine km zipo. Container ni la nguo za mitumba.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natanguliza heshima tele kwa wadau wote wa JF. Jamani naomba mwenye majina ya Wataalam wa Mazingira kwa mwaka 2015 ayaweke wazi kwa manufaa ya umma. Website (Tovuti) ya NEMC bado inaonesha majina...
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Uvunaji wa asali kwenye misitu ya Urambo na Manyoni unaendelea vyema, kama unahitaji asali safi tuwasiliane . Ni asali nzuri inayoandaliwa katika mazingira ya usafi.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tar 16/8 vimetmiza wiki 3 na vimepata chanjo zote za awali muhimu ikiwemo malek. Niko Dar Mbagala Piga 0767802075. Bei 3000 tu.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari ndugu wajasiriamali kupitia ufugaji wa kuku. Nipo hapa kutaka kupata ufahamu zaidi juu ya kuku wa mayai kwa hoja zifuatazo:- 1.Nifuge kuku wapi kati ya kuku wa weusi wa Malawi au kuku...
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Habari zenu wakuu, Mimi nipo Ushirombo Mkoani Geita , shida yangu ni vifaranga vya kuku wa mayai kwa ajili ya biashara na kwa matumizi ya nyumbani je ninaweza kuvipata na bei yake ikoje?
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Back
Top Bottom