Good idea 'tired'
Ila hakikisha jiko limekolea kabisa ili kuzuia madhara ya carbonmoboxide inayotoka wakat Mkaa unakolea, kwani hupunguza kiasi cha oxygen kwenye banda na vifaranga hukosa nguvu au kufa kabisa.
.Njia nyingine Kama Kuku wako wengi unaweza kuwapangilia watakaoangua Karibu Karibu Kama wa4 basi unawaachia wa2 walee na wengine watage upya.
Vifaranga waliopulishana hadi siku 2 wanawezalelewa na Kuku m1 chakufanya ni Kuwaweka kwenye chumba kidogo chenye Giza kwa siku 2-3 ili ashindwe kutofautisha vifaranga wake na wa wengine. Baada ya hapo atawalea wote Kama wa kwake.
ungepata mtungi ndio rahisi zaidi kwa sababu haitakuhitaji kuamka mara kwa mara kwenda kuongeza mkaa. Mimi huwa naweka mkaa ndani ya mtungi na baada ya muda mtungi unapata joto na mkaa pia unaisha taratibu huku majivu yakizuia mkaa kuzima.Naona hipo njia moja tu ya Jiko la Mkaa. Ngoja nikajaribu njia hiyo hiyo
ungepata mtungi ndio rahisi zaidi kwa sababu haitakuhitaji kuamka mara kwa mara kwenda kuongeza mkaa. Mimi huwa naweka mkaa ndani ya mtungi na baada ya muda mtungi unapata joto na mkaa pia unaisha taratibu huku majivu yakizuia mkaa kuzima.
ungepata mtungi ndio rahisi zaidi kwa sababu haitakuhitaji kuamka mara kwa mara kwenda kuongeza mkaa. Mimi huwa naweka mkaa ndani ya mtungi na baada ya muda mtungi unapata joto na mkaa pia unaisha taratibu huku majivu yakizuia mkaa kuzima.
Nashukuru sana kiongozi, nitaufanyia kazi ushauri huu
Wataalamu, Ninafuga kuku wa kienyeji. Mara baada ya kuku kutotolewa huwa nawachukua na kuwaifadhi tofauti na Mama yao. Mazingira ninayo ishi hakuna Umeme.
Naomba kujua ni njia gani bora naweza kuitumia ktk kuwatengezea vifaranga joto nyakati za Usiku.