mkuu kwema!!!!
naomba unijuze hivi hii mbegu ndio chotara namaanisha mchanganyiko wa kienyeji na kisasa maana nataka nianze kuwafuga kwa mara ya kwanza,
pia je ni wale wenye umbo kubwa na vipi utagaji wake?
asante kwa majibu yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.