Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habar wana jamii forums mimi ninataka kuanzisha mradi wa kufuga samaki ila sijui chocjotr kuusu mradi huo na ninahitaj ushaur maelekezo kwa yeyote mwenye ujuzi huoo ..kwani eneo husika ninalo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ndugu zangu natafuta mtaalamu ambaye atanishauri kuhusu banda, vifaranga, madawa na ufugaji mzima wa kuku wa kienyeji na wa kisasa. Pliz inbox kama upo maeneo ya jirani. Naishi Masaki DSM.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bei Bei ni laki moja tu Kwa heka Zinauzwa kuanzia hekali kumi na kuendelea Yanapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe Kwa mahitaji wasiliana nami kwa simu namba 0764426929,0655726929 na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi nina mbwa wang ndoo amezaa mara yake ya kwanza sasa sema hataki kuwanyonyesha watoto wake anawalalia tu amezaa vitoto saba kala kimoja kingine kimekufa ...naombeni msaada wenu ili mbwa wangu...
1 Reactions
43 Replies
6K Views
Je, Muda wa kutumia mimea ambayo vinasaba vyake vimebireshwa nchini Tanzania umefika? Karibu tujadiri hii kitu kitaalam maana nimeona kuna mijadala inaibuka juu ya matumizi ya GMO hapa kwetu.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Salama wanajamii? Hivi kuna asasi yoyote inayoweza kupokea Business Plan/Proposal na kutoa mkopo kwa ajili ya kilimo cha mazao ya biashara?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wajumbe, nimevutiwa sana na kilimo cha umwagiliaji wa matone hasa kwa kilimo cha kahawa eneo nililopo hivyo basi ningeomba wazoefu na wataalam wa kilimo wanisaidie juu ya vifaa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
msada ipi ni mbegu bora ya pilipili hoho hasa nyekundu na njano, na bei yake
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Naomba kuuliza, hivi inawezekana? Nataka kufuga Kuroiler kwa ajili ya nyama hadi Chrismass niwauze kwa ajili ya nyama. Mabanda yapo na nitakuwa nawalisha chakula cha kiwandani. Imebaki kama...
0 Reactions
50 Replies
10K Views
Habari zenu. Nimeskia SUA Morogoro wanauza banda (pre-made) la kuunganisha ukifikisha shambani kwa sh. Mil1. Kuna mtu mwenye taarifa hizi?
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Welcome to nginx!<br /><br />Ceos Tanzania hub ni group la whatssap linalokutanisha Wadau wa biashara kutoka mikoa Tofauti Tanzania lengo ni kujadili, kupeana Elimu inayohusu Uongozi, Ujasiliamali...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
NORDICDRY Ni kama cotton' Inakuwa kama mfuko una hanger. Kazi ya hiyo ni kunyonya moisture, Kama kuna mazao ktk ghala ukiweka inanyonya moisture kwa hewa. Ikijaa inakuwa na maji unatupa. Box moja...
0 Reactions
0 Replies
901 Views
Wewe uliyeajiriwa upo ofisini, acha kudhalau na kuwaona vijana kama hawana jipyaa kisa wapo tu wanasubiri ajira Eti nendeni mkalime huko vijijini, akishalima, akavuna apeleke wapi?? Viwanda...
4 Reactions
31 Replies
5K Views
Salaam wanajamvi,Baada ya kuwa msomaji na mfuatiliaji mzuri wa makala na ushuhuda wa wafugaji hapa jukwaani nikashawishika kuwaanza hii shughuli.Wiki iliyopita nikaenda morogoro nikanunua matetea...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Nenda kanunue unenepeshe!
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Ninaomba ushauri nahitaji kununua incubeta kwa ajili ya kutotolesha mayai naomba nijue ni haina gani ya incubeta inafaa na mchanganuo wa bei hata zinapopatikana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KILIMO CHA MAPARACHICHI KIBIASHARA. http://kilimoforum.blogspot.com/2013/12/kilimo-cha-maparachichi-kibiashara.html
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau naomba kuuliza, ni wapi zinapatikana mbegu za mbaazi kwa mikoa ya Mbeya, Iringa Njombe na Ruvuma?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mimi naishi mjini, wala si mkulima kwa practice, bali kwa taaluma. Mwaka jana kuna mbolea ya ruzuku 'ilikuja' mtaani kwetu nami nikajipati mfuko mmoja UREA na miwili ya DPP. Nilichukua nikaweke...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
naomba msaada wa uundaji wa vikundi biashara(Commercial Producer Groups) hasa kwa wakulima ninatakiwa kuwawezesha wakulima wangu sina hata pa kuanzia
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…