Natafuta mtaalamu mshauri wa ufugaji wa kuku

SAIZI YANGU

JF-Expert Member
Nov 8, 2013
381
83
Ndugu zangu natafuta mtaalamu ambaye atanishauri kuhusu banda, vifaranga, madawa na ufugaji mzima wa kuku wa kienyeji na wa kisasa. Pliz inbox kama upo maeneo ya jirani. Naishi Masaki DSM.
 
Humu wataalamu wapo wengi sana, kama una swali unaweza kujibiwa Na kama unahitaji walio jirani Na ulipo basi utawapata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom