gmo ndio nini?
vinasaba vinabadilishwaje, ili iwe nn?
nani anayebadilisha vinasaba, kashawahi badilisha hapo awali na kuthibitisha tija?
kuna madhara/ mabadiliko kwenye mfumo wa uzalishaji na ecolojia inayozunguka mmea kwa kutumia gmo?
ecosystem inayozunguka mmea inaweza kubadilishwa namna gani kwa kuingizwa kwa hizo gmo?
kuna uwezekano wowote wa hivyo vinasaba vilivyo badilishwa vikasababisha kuanzisha reaction itakayo fanya watumiaji wadudu/binadamu kubadilika vinasaba vyao?
samahani mkuu jazia skeleton ili tuweze kuchangia hoja!