Kwa wafugaji kuku wa kienyeji kibiashara

Kwa wafugaji kuku wa kienyeji kibiashara

Wamalinyi

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2016
Posts
237
Reaction score
146
Salaam wanajamvi,Baada ya kuwa msomaji na mfuatiliaji mzuri wa makala na ushuhuda wa wafugaji hapa jukwaani nikashawishika kuwaanza hii shughuli.Wiki iliyopita nikaenda morogoro nikanunua matetea 10 nikarudi dar nikanunua Jogoo chotara 1,nikawapa chanjo ya new castle kama nilivyoelekezwa na Leo nawamalizia siku ya tano kuwapa OTC%20.Ila tokea juz usiku nasikia kuku wanapiga chafya na leo asubuh nimekuta tetea mmoja kafa ,naombeni msaada wakuu kabla hali haijawa mbaya.Pia kama kuna watsapp group la wafugaji naomba mniunganishe.0716109107
 
HAO KUKU umewapa chanjo ukubwani au? duuh pole sn mfugaji, kwann usngelitafuta kuku kwa wafugaji humuhumu ambao tayari wamechanjwa? anyway uktaka jogoo takuuzia kienyeji pure miez 6. 0764726071
 
HAO KUKU umewapa chanjo ukubwani au? duuh pole sn mfugaji, kwann usngelitafuta kuku kwa wafugaji humuhumu ambao tayari wamechanjwa? anyway uktaka jogoo takuuzia kienyeji pure miez 6. 0764726071
nitahitaji matetea wengine 10 na jogoo1 utakuwa nao
 
WAPO MKUU, tena tetea na jogoo wa uhakika unafksha bandan unaanza subiri mayai siyo kulea 0764726071 AU 0624078252 NICHEK HATA LEO MAANA LEO NDO NMEKWENDA CHUKUA ODA SHAMBA KWNG
 
Hiyo ni new castle anko,hapo ulipowapa chanjo ndiyo umeichochea angalia usije ukalia tu.Kuku wanatakiwa wachanjwe mwezi mmoja kabla ya mlipuko wa magonjwa hasa new castle(kuanzia mwezi wa nane) usinunue tena kuku wasiochanjwa kutoka kwa vyanzo usivyovifahamu.Wahi jaribu kuwapa hao kuku vetoxy~02 kwanza.
 
Ukianza ufugaji acha kuwaza mafanikio ya haraka utaona ufugaji mbaya.Sisi wenyewe tumepambana kiume.
1476343472269.jpg
1476343506025.jpg
 
Huo ugonjwa unasababishwa na virusi mzee tiba yake ni chanjo tu alovera inakinga magonjwa yanayosababishwa na bacteria tu
Mkuu hiy0 nd0 dawa natumia kwa kuku wangu kwa miaka zaidi ya 5 sijawah nunua dawa zaidi ya vir0b0t0 tu.

Vifaranga wakikunja mabawa na kuzubaa nawapa na wanap0na.Na hata kuku wenyewe nawachanganyia reguarly kwenye maji na hawaumwi.
 
nitahitaji matetea wengine 10 na jogoo1 utakuwa nao
Mi nipo Singida huku niko nimeanzisha ufugaji wa kuku kanga na bata. Kama ujuavyo huku kuku wanapatikana kwa wingi kama utahitaji majike naweza kukutafutia pia nikakuletea kibiashara. Nipm ukiwa na interest nikutafute
 
Mkuu hiy0 nd0 dawa natumia kwa kuku wangu kwa miaka zaidi ya 5 sijawah nunua dawa zaidi ya vir0b0t0 tu.

Vifaranga wakikunja mabawa na kuzubaa nawapa na wanap0na.Na hata kuku wenyewe nawachanganyia reguarly kwenye maji na hawaumwi.
Alovera niweke kwa muda gani mdau maana nataka nitumie
 
Alovera niweke kwa muda gani mdau maana nataka nitumie
Asubuh ukiwa unawawekea chakula ni muda mzuri..wape kwa week mfululiz0 baadae uwe unawawekea at least mara mbili kwa week.kata vidogo dogo ili waweze kuvimeza.
 
Mi nipo Singida huku niko nimeanzisha ufugaji wa kuku kanga na bata. Kama ujuavyo huku kuku wanapatikana kwa wingi kama utahitaji majike naweza kukutafutia pia nikakuletea kibiashara. Nipm ukiwa na interest nikutafute

Weka bei za kuku... Unayouza
Endapo ukimfikisha dar
Au bei ya uko ulipo...
 
unanikumbusha majonzi kuku wangu 13 walikufa bt mayai niliouza yamerudishia pesa
 
unanikumbusha majonzi kuku wangu 13 walikufa bt mayai niliouza yamerudishia pesa
Ha ha ha Mura, unafuga eeeh any way nafurahi kukuona humu tena. Nitakutafuta baadae kwsa phone.....

By Baba Eugenia hapa...teh teh teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom