Salamu,
Wapendwa nahitaji kujua mashine ya kupandia mahindi zinapopatikana na gaharama yake.
Nipo Dar es salamu muda huu. Nia na madhumuni yangu ni kuepuka hasara kubwa niliyoipata mawaka huu wa...
ELIMU KWA WAFUGAJI
Jinsi ya Kumjua mifugo wako Aliyeshika Mimba.
Dalili za Mimba kwa mifugo
Haoneshi dalili za joto – Hasimami kwa dume baada ya kupandwa
Matiti huongezeka taratibu – Hujiandaa...
---
🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI
🚫 Sababu Zinazofanya Mifugo Kutoshika Mimba
---
🔍 Kwa nini mnyama hapatwi mimba?
Zifuatazo ni sababu kuu zinazochangia mifugo kushindwa kushika mimba:
---
❌...
Faida za Kukata Pembe kwa Ng’ombe (Dehorning):*
---
🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI
✂️ Faida za Kukata Pembe kwa Ng’ombe (Dehorning)
---
🔍 Dehorning ni nini?
Ni zoezi la kuondoa pembe za ndama au...
---
🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI
Ugonjwa wa Anaplasmosis (Ndigana Baridi) kwa Ng’ombe
---
🔍 Utangulizi:
Anaplasmosis ni ugonjwa hatari unaosababishwa na vimelea vinavyoenezwa na kupe. Husababisha...
AZOLLA MKOMBOZI KWA WAJASIRIAMALI – KILIMO NA UFUGAJI
Ndugu Mjasiriamali Mfugaji / mkulima popote pale ulipo, jifunze jinsi ya kuzalisha azolla kwa chakula cha mifugo mbalimbali na matumizi...
Kama unashughulika na kilimo na unapata changamoto ya gharama za kunuanua virutubisho vya mimie shambani kwako huu hapa muongozo.
Hapa kuna mwongozo wa kutengeneza Super Glow na Booster...
---
🐄📢 Elimu Muhimu kwa Wafugaji – Changamoto & Suluhisho!
---
Mambo Yanayowakumba Wafugaji:
Je, unakumbana na matatizo ya maambukizi, uzalishaji mdogo, au magonjwa ya mifugo?
Je, unahisi...
---
🐖📌 ELIMU KWA WAFUGAJI
Ugonjwa wa Homa ya Mapafu kwa Nguruwe (Swine Pneumonia)
---
🔍 Ugonjwa huu ni nini?
Ni maradhi yanayoathiri mfumo wa upumuaji wa nguruwe. Husababisha shida ya...
Great thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji...
Kwa wadau wa kilimo hasa kilimo Cha mpunga Kwa mikoa ile maarufu Kwa uzarishaji wa mpungu ushindani umekua mkubwa , wakulima wamekua wengi na aridhi ndogo ivyo inapelekea mashamba kupatikana Kwa...
Leo nilijisikia kutengeneza popcorn ili weekend iende vizuri, nikajivuta sokoni hapa Dar. Kwenye maduka ya nafaka. Naulizia mahindi ya popcorn naambiwa kilo moja 3500. Wananiambia mahindi ya...
Kwa wale wafugaji wenzetu wa mfugo ndege aina ya Kuku hasa wa kienyeji ninaowafuga mimi huu uzi special tujadili matukio ya kushangaza na hata kufunja rekodi ila basi tu hatuyatangazi..
Mimi...
Wakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele?
Apa nilipo debe la mpunga ni 15,000 nataka kujua hutoa kilo ngapi ili nijue gharama ipo wapi, mchele dukani kilo ni 2,400-2,600
Nimeshuhudia mara 2 Jamaa 2 wahudumia vizuri Sana mazao Yao Kitaalamu kabisa ila walichoambulia wakitaka kuzimia na wakacha Kilimo Hadi Leo hii.
1.Wa kwanza aliloma ekari 10 za mahindi mazao...
Tangu siku ya kwanza kabla hata ya kuandika code hata moja tulidhamiria kwamba Fuga lazima ijengwe kwa kusikiliza changamoto na maoni ya wafugaji wa kuku.
Kila changamoto ambayo mfugaji anakutana...
Nina kuku wa mayai zaidi ya 1,000 wanakwenda wiki ya 19 lakini wamegoma kudondosha yai. Licha ya kununua chakula cha kiwandani kuanzia Wana siku ya kwanza mpaka leo.
Lakini pia uzito wao walionao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.