Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Salamu, Wapendwa nahitaji kujua mashine ya kupandia mahindi zinapopatikana na gaharama yake. Nipo Dar es salamu muda huu. Nia na madhumuni yangu ni kuepuka hasara kubwa niliyoipata mawaka huu wa...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
ELIMU KWA WAFUGAJI Jinsi ya Kumjua mifugo wako Aliyeshika Mimba. Dalili za Mimba kwa mifugo Haoneshi dalili za joto – Hasimami kwa dume baada ya kupandwa Matiti huongezeka taratibu – Hujiandaa...
0 Reactions
0 Replies
219 Views
--- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI 🚫 Sababu Zinazofanya Mifugo Kutoshika Mimba --- 🔍 Kwa nini mnyama hapatwi mimba? Zifuatazo ni sababu kuu zinazochangia mifugo kushindwa kushika mimba: --- ❌...
0 Reactions
0 Replies
194 Views
Faida za Kukata Pembe kwa Ng’ombe (Dehorning):* --- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI ✂️ Faida za Kukata Pembe kwa Ng’ombe (Dehorning) --- 🔍 Dehorning ni nini? Ni zoezi la kuondoa pembe za ndama au...
2 Reactions
2 Replies
533 Views
--- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Ugonjwa wa Anaplasmosis (Ndigana Baridi) kwa Ng’ombe --- 🔍 Utangulizi: Anaplasmosis ni ugonjwa hatari unaosababishwa na vimelea vinavyoenezwa na kupe. Husababisha...
2 Reactions
4 Replies
624 Views
AZOLLA MKOMBOZI KWA WAJASIRIAMALI – KILIMO NA UFUGAJI Ndugu Mjasiriamali Mfugaji / mkulima popote pale ulipo, jifunze jinsi ya kuzalisha azolla kwa chakula cha mifugo mbalimbali na matumizi...
2 Reactions
28 Replies
17K Views
Kama unashughulika na kilimo na unapata changamoto ya gharama za kunuanua virutubisho vya mimie shambani kwako huu hapa muongozo. Hapa kuna mwongozo wa kutengeneza Super Glow na Booster...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
--- 🐄📢 Elimu Muhimu kwa Wafugaji – Changamoto & Suluhisho! --- Mambo Yanayowakumba Wafugaji: Je, unakumbana na matatizo ya maambukizi, uzalishaji mdogo, au magonjwa ya mifugo? Je, unahisi...
3 Reactions
2 Replies
263 Views
--- 🐖📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Ugonjwa wa Homa ya Mapafu kwa Nguruwe (Swine Pneumonia) --- 🔍 Ugonjwa huu ni nini? Ni maradhi yanayoathiri mfumo wa upumuaji wa nguruwe. Husababisha shida ya...
0 Reactions
0 Replies
217 Views
Great thinkers. Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane. Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji...
20 Reactions
207 Replies
15K Views
Kwa wadau wa kilimo hasa kilimo Cha mpunga Kwa mikoa ile maarufu Kwa uzarishaji wa mpungu ushindani umekua mkubwa , wakulima wamekua wengi na aridhi ndogo ivyo inapelekea mashamba kupatikana Kwa...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Leo nilijisikia kutengeneza popcorn ili weekend iende vizuri, nikajivuta sokoni hapa Dar. Kwenye maduka ya nafaka. Naulizia mahindi ya popcorn naambiwa kilo moja 3500. Wananiambia mahindi ya...
7 Reactions
62 Replies
11K Views
Heshima kwenu, natamani kupima shamba langu kwa kutumia app, maana nimeshindwa kuligawa ili nilioime kwa futi kamba, anae ijua anijuze
1 Reactions
14 Replies
820 Views
Wanabodi, Natafuta agricultural lime au kwa Kiswahili Chokaa mazao. Nitaipata wapi. Niko Dar es Salaam.
3 Reactions
41 Replies
9K Views
Kwa wale wafugaji wenzetu wa mfugo ndege aina ya Kuku hasa wa kienyeji ninaowafuga mimi huu uzi special tujadili matukio ya kushangaza na hata kufunja rekodi ila basi tu hatuyatangazi.. Mimi...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele? Apa nilipo debe la mpunga ni 15,000 nataka kujua hutoa kilo ngapi ili nijue gharama ipo wapi, mchele dukani kilo ni 2,400-2,600
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Habari, Bei ya Michele ipoke uko kyela ,mbalali,morogoro ,Michele unaanza kushuka Bei lini
1 Reactions
6 Replies
496 Views
Nimeshuhudia mara 2 Jamaa 2 wahudumia vizuri Sana mazao Yao Kitaalamu kabisa ila walichoambulia wakitaka kuzimia na wakacha Kilimo Hadi Leo hii. 1.Wa kwanza aliloma ekari 10 za mahindi mazao...
7 Reactions
114 Replies
5K Views
Tangu siku ya kwanza kabla hata ya kuandika code hata moja tulidhamiria kwamba Fuga lazima ijengwe kwa kusikiliza changamoto na maoni ya wafugaji wa kuku. Kila changamoto ambayo mfugaji anakutana...
0 Reactions
0 Replies
179 Views
Nina kuku wa mayai zaidi ya 1,000 wanakwenda wiki ya 19 lakini wamegoma kudondosha yai. Licha ya kununua chakula cha kiwandani kuanzia Wana siku ya kwanza mpaka leo. Lakini pia uzito wao walionao...
16 Reactions
161 Replies
9K Views
Back
Top Bottom