Wakuu habari za majukumu! Kutokana na ukosefu wa ajira nimepata wazo la kufuga kuku wa nyama baada ya kufanya utafiti wa soko la hao kuku.Napenda niongelee moja kwa moja kuwa kwa sasa sina idea...
Habari ndugu zangu!!
Katika Miaka ya hivi karibuni kumetokea Wadudu (mafinyo) kwenye Zao la Mahindi.
Wadudu hao wamekuwa wakiharibu Mazao haya ya Mahindi na kupelekea Mmea kushindwa kuweka...
Wadau, wataalamu na wakulima wa korosho, bila shaka mmesikia ugonjwa wa kunyauka kwa miti ya mikorosho ulioikumba Mkuranga. Naomba kuuliza, je ugonjwa huu unaweza kuenea mpaka Kilwa, Lindi na...
Katika miaka ya hivi karibuni,na hasa mwaka huu,tumeona uharibifu mkubwa wa zao la mahindi na viwavi aina ya Maize Stalkborers.Zipo dawa za kudhibiti wadudu hao,lakini dawa hizo ni ghali kwa...
Habarini....
Ndugu wanajukwaa naomba kutoa wito,kama mtu umeamua kuwa mkulima wa zao fulani,zalisha kwa wingi ili jamii ikufahamu kupitia uzalishaji wako.Kama mtu kaamua kuwa mfugaji basi fuga kwa...
Naamini mungu ni mwema anazidi kutupigania na hali zetu. Waungwana nimefikiria na kupenda kulima zao la vitunguu but sna ujuzi wowote.
Nataka kufaham haya :
# Namna ya ulimaji
#...
Sina fedha,sina Godfather wala hati ya nyumba/shamba ila nina kitu kimoja tu kinachonitia moyo,yaani ki-saikolojia ninaamini kuwa nitakuwa settler hata kama si wa kiwango cha kutisha.Kuna members...
Habari za jioni ndugu zangu baada ya vyuma kuendelea kukaza nmeona nikimbie mji kidogo nijikite kwenye kilimo cha tikiti maji ambacho nimeona kitanitoa maana ni zao la muda mfupi miezi mi 3...
Uzalishaji wenye faida kwa ng’ombe wa maziwa huhitaji uangalizi wa karibu, unaowezesha kutambua ni wakati gani ng’ombe ana joto, hivyo kufanya uhamilishaji kwa wakati unaotakiwa.
Kushindwa...
Habari za asubuhi,kuku wangu wangu wa kienyeji ambao nimeamua kuwafungia ndani wanakula gramu 200/kuku kwa siku badala ya gramu 120.Naomba mnisaidie hapo tatizo litakuwa ni nini?
Wadau ningependa kujua kuhusu mchakato wa hii biashara ya kukusanya makopo ya plastiki na kuyayeyusha kisha kuuza viwandani ikoje.
Mashine ya kuyeyusha inapatikana wapi na kwa kiasi gani...