Mbegu bora za tikiti

Mbegu bora za tikiti

Kyawanjubu

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2017
Posts
2,453
Reaction score
2,206
Habari za jioni ndugu zangu baada ya vyuma kuendelea kukaza nmeona nikimbie mji kidogo nijikite kwenye kilimo cha tikiti maji ambacho nimeona kitanitoa maana ni zao la muda mfupi miezi mi 3 tu,nimeanza na heka 2 nishakodi shamba laki 2 kwa heka mbili nmejaribu kutafta mbegu nimeelekezwa Zebra f1 ,juliana f1,sukari f1.pato f1,arashani f1 sugar king f1 naomba kujua kwenye izi mbegu ipi bora zaid
 
Zotr izo ziko poa, mi nmewahi kuitumia Sugar King f1 au sugar queen f1 zipo vizur
kiufupi izo zote ulizozitaja hapo juu ni nzur sn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom