Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,649
- 3,817
Wadau ningependa kujua kuhusu mchakato wa hii biashara ya kukusanya makopo ya plastiki na kuyayeyusha kisha kuuza viwandani ikoje.
Mashine ya kuyeyusha inapatikana wapi na kwa kiasi gani?
Ukishayeyusha yale makopo kilo unaweza kuuza kwa shilingi ngapi?
Na unahitaji kitu gani kingine ukiacha mashine
Pia kama kuna changamoto zozote ningependa kujuzwa pia.
Karibuni.
Mashine ya kuyeyusha inapatikana wapi na kwa kiasi gani?
Ukishayeyusha yale makopo kilo unaweza kuuza kwa shilingi ngapi?
Na unahitaji kitu gani kingine ukiacha mashine
Pia kama kuna changamoto zozote ningependa kujuzwa pia.
Karibuni.