Naamini mungu ni mwema anazidi kutupigania na hali zetu. Waungwana nimefikiria na kupenda kulima zao la vitunguu but sna ujuzi wowote.
Nataka kufaham haya :
# Namna ya ulimaji
# Maeneo yanayokubali zao hill.
# Vinavyo htajika katka kuandaa m. mpaka kuvuna
# Gharama zake zote akisi cha eka
moja mpaka unavuna
[HASHTAG]#Changamoto[/HASHTAG] zake
# Upatkanaji wa masoko
Ntashukuru kwa kujuzwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kufaham haya :
# Namna ya ulimaji
# Maeneo yanayokubali zao hill.
# Vinavyo htajika katka kuandaa m. mpaka kuvuna
# Gharama zake zote akisi cha eka
moja mpaka unavuna
[HASHTAG]#Changamoto[/HASHTAG] zake
# Upatkanaji wa masoko
Ntashukuru kwa kujuzwa
Sent using Jamii Forums mobile app