Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Natafta kuku kienyeji mwenye kuwa nao tuongee
2 Reactions
1 Replies
267 Views
°Nta °Asali °Maziwa ya nyuki yaani "Royal jelly" °Gundi ya nyuki °Chavusha ya nyuki "Bee pollens" °Hewa ya nyuki Sumu ya nyuki yaani bee Venom Najua wengi wanafahamu kuhusu Asali tu 🙏🏾
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Miss World 2025 Atembelea Mradi wa Kilimo cha Mwani Unaosimamiwa na Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF), Paje-Zanzibar Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) nchini ya...
1 Reactions
0 Replies
321 Views
Badilisha kutoka kwenye daftari na kalamu sasa unaweza: ✅ Kurekodi gharama zote za mradi ✅ Kupata ratiba ya kulisha kuku kulingana na umri na idadi ✅ Kukumbushwa siku za chanjo Usibaki nyuma...
5 Reactions
8 Replies
456 Views
By Josephine Christopher Josephine Christopher is a senior business journalist for The Citizen and Mwananchi newspapers Mwananchi Communications Limited After a failed poultry venture left him in...
1 Reactions
13 Replies
812 Views
Shamba lipo Tanga Korogwe ni hekari 6 jumla ya miti ya mitiki ni 2100 Shamba linauzwa pamoja na miti yake kwa milioni 150 dalali ukileta mteja 10% ya kwako Miti ina umri wa kuanzia miaka 9 mpaka...
0 Reactions
4 Replies
509 Views
Habari wakuu! Poleni sana kwa majukumu! Ninaomba kuuliza ninawezaje kupata mayai ya Kware? Wapi yanauzwa? Nitashukuru
2 Reactions
8 Replies
430 Views
Kwa nini ni muhimu kupogolea miti ya matunda: 1. Kuboresha ukuaji na uzalishaji: Kupogolea huwezesha mti kuelekeza nishati yake kwenye sehemu zenye afya na kuimarisha ukuaji wa matawi na matunda...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii ni project ya miaka 3 ambayo nimeianza Rasmi mwaka jana kwa kuotesha kitalu cha milimau, na kuipanditikiza pembeni kwa ajili ya kufanyiwa bading, mwaka huu iko stages nzur tu na mwakani Mungu...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi natumia gharama kubwa kupata mchanganyo kwaajiri ya nguruwe ambao ni:- Pumba mahindi 700kg Concentrate 50kg Mashudu 200kg OlaQuindox 500mg Bokhash 10kg Dcp 10pkt Pig booster 10pkt Toxic...
4 Reactions
49 Replies
3K Views
WAZIRI DKT. KIJAJI AKABIDHI BOTI ZA UVUVI ZENYE THAMANI YA BILIONI 2 Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amekabidhi boti 13 za Uvuvi zenye thamani ya takribani shilingi Bil. 2 kwa...
0 Reactions
2 Replies
274 Views
Wakuu habari Nina mashamba yangu huko pwani, nimepanga nikaweke mifugo kama mbuzi, ng'ombe na kondoo Ila sasa kuna ndugu ameniambia huko kuna Mang'ati wanaiba sana mifugo Sasa nipeni Dawa hawa...
2 Reactions
10 Replies
503 Views
Habari zenu wafugaji, mimi ni mfugaji tangu siku nyingi zilizopita, nimejikita sana kwenye kuku wa kienyeji. hivi karibuni nilinunua mayai ya kanga nikayatotolesha pamoja na mayai ya kuku, sasa...
10 Reactions
141 Replies
10K Views
Habari wakuu, ninaweka uzi huu mfupi kukusanya uzoefu kutk watu mbalimbali, nikiwa na uzoefu wa kulima zao hili kwa zaidi ya misimu minne tofauti, na imekuwa kila msimu ninaolima nimekuwa nikianza...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Zao la kahawa limekuwepo nchini Tanzania kwa miaka mingi ni zao ambalo kwa sasa lonachagozwa na uwepo wa vijana. Ni zao ambalo likiwa linapata changamoto kwamba ukiliangalia wamiliki wa mashamba...
0 Reactions
1 Replies
374 Views
WATER PUMP ZA SOLAR Je wewe ni mkulima mkubwa mwenyew heka nyingi unayetumia pesa nyingi kweny kununua mafuta kwa ajili ya water pump Tunazo water pump zinazotumia solar Join group let kupata...
0 Reactions
2 Replies
405 Views
Habari zenu wana jf Naomba niende kwenye ombi langu tupeane uzoefu namna ya kuzuia nyani shambani (njia rahisi) nimejalibu kutumia sum lakini mafanikio machache sana ,naombeni msaada tafadhali
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Wanajukwaa nawasalimu nyote, napenda kufahamu Kwa yeyote mwenye uzoefu na hizi trector aina ya LOVOL kw kuangalia utendaji KAZI wake, utumiaj was mafuta, kuvumilia mazingra magumu, kupambana na...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Takwimu zilizotolewa na Wizara ya Kilimo Tanzania Mei 22, 2025, zinaonyesha mwelekeo muhimu wa mauzo ya nje ya mazao ya kilimo kwa mwaka wa fedha 2023/24. Kwa ujumla, mazao ya kilimo yamechangia...
5 Reactions
3 Replies
736 Views
Msimu huu wa kilimo ntakua natoa maelezo ya kitaalamu na picha live toka shambani kwa vitendo kuanzia kuaandaa shamba, kuchagua mbegu, kupanda, kuzuia wadudu na magonjwa, mbolea, kupalilia hadi...
16 Reactions
87 Replies
11K Views
Back
Top Bottom