°Nta
°Asali
°Maziwa ya nyuki yaani "Royal jelly"
°Gundi ya nyuki
°Chavusha ya nyuki "Bee pollens"
°Hewa ya nyuki
Sumu ya nyuki yaani bee Venom
Najua wengi wanafahamu kuhusu Asali tu 🙏🏾
Miss World 2025 Atembelea Mradi wa Kilimo cha Mwani Unaosimamiwa na Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF), Paje-Zanzibar
Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) nchini ya...
Badilisha kutoka kwenye daftari na kalamu sasa unaweza:
✅ Kurekodi gharama zote za mradi
✅ Kupata ratiba ya kulisha kuku kulingana na umri na idadi
✅ Kukumbushwa siku za chanjo
Usibaki nyuma...
By Josephine Christopher
Josephine Christopher is a senior business journalist for The Citizen and Mwananchi newspapers
Mwananchi Communications Limited
After a failed poultry venture left him in...
Shamba lipo Tanga Korogwe ni hekari 6 jumla ya miti ya mitiki ni 2100
Shamba linauzwa pamoja na miti yake kwa milioni 150
dalali ukileta mteja 10% ya kwako
Miti ina umri wa kuanzia miaka 9 mpaka...
Kwa nini ni muhimu kupogolea miti ya matunda:
1. Kuboresha ukuaji na uzalishaji:
Kupogolea huwezesha mti kuelekeza nishati yake kwenye sehemu zenye afya na kuimarisha ukuaji wa matawi na matunda...
Hii ni project ya miaka 3 ambayo nimeianza Rasmi mwaka jana kwa kuotesha kitalu cha milimau, na kuipanditikiza pembeni kwa ajili ya kufanyiwa bading, mwaka huu iko stages nzur tu na mwakani Mungu...
Wakuu habari
Nina mashamba yangu huko pwani, nimepanga nikaweke mifugo kama mbuzi, ng'ombe na kondoo
Ila sasa kuna ndugu ameniambia huko kuna Mang'ati wanaiba sana mifugo
Sasa nipeni Dawa hawa...
Habari zenu wafugaji,
mimi ni mfugaji tangu siku nyingi zilizopita, nimejikita sana kwenye kuku wa kienyeji.
hivi karibuni nilinunua mayai ya kanga nikayatotolesha pamoja na mayai ya kuku, sasa...
Habari wakuu, ninaweka uzi huu mfupi kukusanya uzoefu kutk watu mbalimbali, nikiwa na uzoefu wa kulima zao hili kwa zaidi ya misimu minne tofauti, na imekuwa kila msimu ninaolima nimekuwa nikianza...
Zao la kahawa limekuwepo nchini Tanzania kwa miaka mingi ni zao ambalo kwa sasa lonachagozwa na uwepo wa vijana. Ni zao ambalo likiwa linapata changamoto kwamba ukiliangalia wamiliki wa mashamba...
WATER PUMP ZA SOLAR
Je wewe ni mkulima mkubwa mwenyew heka nyingi unayetumia pesa nyingi kweny kununua mafuta kwa ajili ya water pump
Tunazo water pump zinazotumia solar
Join group let kupata...
Habari zenu wana jf
Naomba niende kwenye ombi langu tupeane uzoefu namna ya kuzuia nyani shambani (njia rahisi) nimejalibu kutumia sum lakini mafanikio machache sana ,naombeni msaada tafadhali
Wanajukwaa nawasalimu nyote, napenda kufahamu Kwa yeyote mwenye uzoefu na hizi trector aina ya LOVOL kw kuangalia utendaji KAZI wake, utumiaj was mafuta, kuvumilia mazingra magumu, kupambana na...
Takwimu zilizotolewa na Wizara ya Kilimo Tanzania Mei 22, 2025, zinaonyesha mwelekeo muhimu wa mauzo ya nje ya mazao ya kilimo kwa mwaka wa fedha 2023/24. Kwa ujumla, mazao ya kilimo yamechangia...
Msimu huu wa kilimo ntakua natoa maelezo ya kitaalamu na picha live toka shambani kwa vitendo kuanzia kuaandaa shamba, kuchagua mbegu, kupanda, kuzuia wadudu na magonjwa, mbolea, kupalilia hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.