Mazao ya muda mrefu ndiyo ukombozi wa mkulima - lima kibiashara ufanikiwe

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Oct 7, 2020
1,382
1,246
Wakulima na Washauri wa Kilimo,
Salaam!

Tukitaka kusonga mbele katika sekta hii ya kilimo inabidi tubadili utamaduni na mfumo mzima wa kilimo kwa kuwa kuendekeza njia za mapokeo imesababisha tuendelee kukwama.

Kimkakati mazao ya muda mrefu ni pamoja na avocado (Hass hivi sasa bei kwa kilogram ni tzs 1500 - 2300);

Korosho nazo ni nzuri hata ukikutana na challenge bado zitakulinda, changamoto pekee inatokana na bodi kutokuwa madhubuti lkn fedha zipo nje nje;

Kahawa ni zao lingine ambalo limewainua wakulima wengi, ingawa kama ilivyo kwa #2 hata hii ni nzuri. Sasa kinachotakiwa ni uwekezaji wa muda na fedha;

Matunda kwa ujumla kulingana na jiografia ya eneo hisika i.e machungwa, chenza, limao, ndimu, ni mazao ambayo hayatakutupa;

Tulime kwa malengo tuinue vipato vyetu.
 
Nimeanza kupanda machungwa nikiwa bado kijana mdogo miaka saba iliyopita, nilianza na ekari 2 now nimeongeza ekar nyingine mbili, nakula matunda ya kilimo nikiwa bado kijana mdogo, ukiwa na angalau ekari moja ya michungwa hasa Valencia na ukaitunza vizuri unaweza kupata si chini ya milioni tano kwa msimu mmoja kama msimu utakua mzuri
 
Nimeanza kupanda machungwa nikiwa bado kijana mdogo miaka saba iliyopita, nilianza na ekari 2 now nimeongeza ekar nyingine mbili, nakula matunda ya kilimo nikiwa bado kijana mdogo, ukiwa na angalau ekari moja ya michungwa hasa Valencia na ukaitunza vizuri unaweza kupata si chini ya milioni tano kwa msimu mmoja kama msimu utakua mzuri
Upo sahihi kwa asimia zaidi ya 100,ila uwekezaji kwanye mazao ya kudumu unahitaji ujipange haswa,napia uwe na uvumilivu,kukabili misukosuko utakayo kutana nayo,nazungumza hili kwa uzoefu wangu kwenye kilimo cha korosho ninachokifanya,huu ni mwaka WA 3 Sasa lakini chamoto nakiona,nashukuru MUNGU project inaendelea vizuri, nina heka karibia 100 za mikorosho, ila HABARI yake kubwa,tujitahidi kuwekeza kwa kadiri tuwezavyo

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Upo sahihi kwa asimia zaidi ya 100,ila uwekezaji kwanye mazao ya kudumu unahitaji ujipange haswa,napia uwe na uvumilivu,kukabili misukosuko utakayo kutana nayo,nazungumza hili kwa uzoefu wangu kwenye kilimo cha korosho ninachokifanya,huu ni mwaka WA 3 Sasa lakini chamoto nakiona,nashukuru MUNGU project inaendelea vizuri, nina heka karibia 100 za mikorosho, ila HABARI yake kubwa,tujitahidi kuwekeza kwa kadiri tuwezavyo

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Mkuu upo sawa. Ila tatizo kubwa ninaloona ni bei ya korosho. Mkuu kwa hekari ulizonazo ukitafuta mashine ndogo ya kubangua ukauza taratibu. Itakulipa zaidi ya mara nne
 
Naunga mkono hoja unaweza panda mazao ya kudumu humo humo ukatia na mazao ya mda mfupi ambayo hayaitaji mwanga mwingi wa jua
 
Wakulima na Washauri wa Kilimo,
Salaam!

Tukitaka kusonga mbele katika sekta hii ya kilimo inabidi tubadili utamaduni na mfumo mzima wa kilimo kwa kuwa kuendekeza njia za mapokeo imesababisha tuendelee kukwama.

Kimkakati mazao ya muda mrefu ni pamoja na avocado (Hass hivi sasa bei kwa kilogram ni tzs 1500 - 2300);

Korosho nazo ni nzuri hata ukikutana na challenge bado zitakulinda, changamoto pekee inatokana na bodi kutokuwa madhubuti lkn fedha zipo nje nje;

Kahawa ni zao lingine ambalo limewainua wakulima wengi, ingawa kama ilivyo kwa #2 hata hii ni nzuri. Sasa kinachotakiwa ni uwekezaji wa muda na fedha;

Matunda kwa ujumla kulingana na jiografia ya eneo hisika i.e machungwa, chenza, limao, ndimu, ni mazao ambayo hayatakutupa;

Tulime kwa malengo tuinue vipato vyetu.
Umesahau chikichi ,miti, nduzi nk.
Wakulima wengi wadogo hawataki hayo mazao, wanadai yanawachelewesha halafu yana gharama kubwa ya uwekezaji na faida ya kusubiri ilhali wana majukumu.
 
Wakulima na Washauri wa Kilimo,
Salaam!

Tukitaka kusonga mbele katika sekta hii ya kilimo inabidi tubadili utamaduni na mfumo mzima wa kilimo kwa kuwa kuendekeza njia za mapokeo imesababisha tuendelee kukwama.

Kimkakati mazao ya muda mrefu ni pamoja na avocado (Hass hivi sasa bei kwa kilogram ni tzs 1500 - 2300);

Korosho nazo ni nzuri hata ukikutana na challenge bado zitakulinda, changamoto pekee inatokana na bodi kutokuwa madhubuti lkn fedha zipo nje nje;

Kahawa ni zao lingine ambalo limewainua wakulima wengi, ingawa kama ilivyo kwa #2 hata hii ni nzuri. Sasa kinachotakiwa ni uwekezaji wa muda na fedha;

Matunda kwa ujumla kulingana na jiografia ya eneo hisika i.e machungwa, chenza, limao, ndimu, ni mazao ambayo hayatakutupa;

Tulime kwa malengo tuinue vipato vyetu.
Good idea
 
Umesahau chikichi ,miti, nduzi nk.
Wakulima wengi wadogo hawataki hayo mazao, wanadai yanawachelewesha halafu yana gharama kubwa ya uwekezaji na faida ya kusubiri ilhali wana majukumu.
Ni kweli yanachelewesha ila ukikomaa nayo na ikafika kipindi cha mavuno utasahau shida zote ulizokutana nazo,na utajilaumu ulichelewa wapi! jambo la umuhimu ni kujitahidi kuwekeza kwa ukubwa,ili hata kama utakutana na bei ndogo sokoni wewe itakulipa kwa sababu utakuwa na mzigo WA kutosha, na hili wazo la selikali la kuja na mpango WA kubangua korosho ghafi ,ipo siku wakulima wataaahau machungu waliyopitia,

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Nimeanza kupanda machungwa nikiwa bado kijana mdogo miaka saba iliyopita, nilianza na ekari 2 now nimeongeza ekar nyingine mbili, nakula matunda ya kilimo nikiwa bado kijana mdogo, ukiwa na angalau ekari moja ya michungwa hasa Valencia na ukaitunza vizuri unaweza kupata si chini ya milioni tano kwa msimu mmoja kama msimu utakua mzuri
Je michungwa ya vallencia inakubali mkoa w pwani?
 
Uzi hautapata wachangiaji wengi wakati ni uzi wenye manufaa makubwa sana kwa mwerevu.

Ingekuwa mambo ya ndengele Na kunyanduana wangekuwa ungepata wachangiaji wengi mpaka uchoke.

Inashangaza sana.
 
Wakulima na Washauri wa Kilimo,
Salaam!

Tukitaka kusonga mbele katika sekta hii ya kilimo inabidi tubadili utamaduni na mfumo mzima wa kilimo kwa kuwa kuendekeza njia za mapokeo imesababisha tuendelee kukwama.

Kimkakati mazao ya muda mrefu ni pamoja na avocado (Hass hivi sasa bei kwa kilogram ni tzs 1500 - 2300);

Korosho nazo ni nzuri hata ukikutana na challenge bado zitakulinda, changamoto pekee inatokana na bodi kutokuwa madhubuti lkn fedha zipo nje nje;

Kahawa ni zao lingine ambalo limewainua wakulima wengi, ingawa kama ilivyo kwa #2 hata hii ni nzuri. Sasa kinachotakiwa ni uwekezaji wa muda na fedha;

Matunda kwa ujumla kulingana na jiografia ya eneo hisika i.e machungwa, chenza, limao, ndimu, ni mazao ambayo hayatakutupa;

Tulime kwa malengo tuinue vipato vyetu.
Inawezekana kupanda michungwa na muhogo?
 
Mkuu upo sawa. Ila tatizo kubwa ninaloona ni bei ya korosho. Mkuu kwa hekari ulizonazo ukitafuta mashine ndogo ya kubangua ukauza taratibu. Itakulipa zaidi ya mara nne
Hapo sidhani kama anazungumzia kwenye kuuza,kwa miaka 3 korosho kama miche imekubali ndio kwanza inaanza kuzaa,changamoto kwenye kilimo cha korosho na shamba kubwa kama hilo ni matunzo ya shamba,palizi,vibarua,madawa n.k....
 
Back
Top Bottom