Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wapendwa Kwa muda sasa naona mbegu za Mapapai zilizoko sokoni, ni Malikia kutoka China tena kwa bei ya juu sana (around 15,000shs pct ndogo) Ina maana sisi (TANZANIA) hatuna mbegu zetu mbadala...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nipo Mwanza anaejua vizuri kuhusu uyoga plz atujunze Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za leo wadau ninaomba kujua idadi ya miembe ya kisasa inatotakiwa kupandwa kwenye shamba ekari Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Yeyote mwenye mabanda ya kufugia( hasa kuku au kitimoto) pembeni ya jiji la dar nicheck pm Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
998 Views
Kilimo hai au organic farming ni aina ya kilimo kinachozingatia matumizi endelevu ya rasilimali za uzalishaji wa mazao ya kilimo na mifugo. Kilimo hicho kinatumia mbolea na madawa yasiyotengenezwa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari zenu Wajasiliamali! Nakuja tena wadau hasa kwa wale wenye idea juu ya zao na la karanga katika soko na kilimo chake naombeni uzoefu wenu,juu ya zao ilo na changamoto zake hasa katika...
1 Reactions
30 Replies
60K Views
Mradi mkubwaa wa kilimo cha kisasa cha kibiashara zao la korosho na alizeti, waanza kupitia kampuni ya namaingo business agency ltd. Mkurugenzi wa kampuni ya Namaingo anapongeza uongonzi wa...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Pamoja na umuhimu wa zao la nyanya, wadudu waharibifu na magonjwa huathiri uzalishaji na ubora wa matunda. Sasa ili mkulima aweze kupata faida na kuongeza pato lake ni vema kuzingatia udhibiti wa...
2 Reactions
3 Replies
14K Views
Kwenye Kilimo kuna Chaine kubwasana. 1. Kuna wauzaji wa pembejeo za Kilimo hao nao ni wakulima. 2. Kuna Wanao toa mikopo ya Kilimo pekee. 3. Kuna wakulima wenyewe. 4. Kuna Processor wa Mazao...
6 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani mm nna hekari 8 za miti nilitaka mkopo ni bank zipi niende naomba kujuzwa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za zenu! Napenda leo kushea makala hii ndogo niliyoiandaa inayozungumzia masuala ya ulipaji wa kodi katika shughuli za kilimo. Na nimeona niilete makala hii hususani katika jukwaa letu...
8 Reactions
0 Replies
4K Views
Kama kichwa hapo juu nna ujuzi kiasi juu ya ufugaji wa kuku wa aina zote, ila nimehangaika sana kutafuta mtaji ,wapi ntapata mkopo wenye liba nafuu? NB. Npo Dodoma city
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi nina mtaj wa 650000. Je nlikua naomba mnijuze kilimo gani kwa bei hiyo itafaa? au kama kuna biashara nyingine nzuri inayolipa. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Naombeni msaada. Huu ugonjwa umeipata mipapai yangu. Dawa gani nitumie? Asante
1 Reactions
11 Replies
8K Views
nahitaji ujuzi zaidi jinsi ya kufuga kuku vizur , na jinsi ya kulea vifaranga kwa njia za asili
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nipo katika ufugaji wa kuku wa kienyeji na wa Malawi kwa muda mrefu. Ni mwaka wa pili sasa vifo kwa kuku vinaongezeka licha ya kutimza chanjo za Newcastle, gumboro na ndui kwa wakati mwafaka...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wana jamvi. Kama kichwa cha habari kinavyosema, ni nini sababu ya matunda matikiti kuoza yakiwa bado madogo. Kwa mara ya kwanza nililima matikiti mwezi wa tisa, kwa bahati...
0 Reactions
33 Replies
10K Views
Wote Mnakaribishwa Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwaka 2015 nilifanya maamuzi ya kutafuta shamba, Mungu mwema nikapata ekari 3 na nusu. Tangia hapo mpaka leo nimehangaika na hilo shamba kulibadilisha from pori, visiki, miiba, kupishana na majoka...
13 Reactions
30 Replies
4K Views
Back
Top Bottom