MKAKA HALISI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 624
- 1,234
Habari wana janvi nimesikia kuna machine inayo weza kurahisisha upandaji wa mazao kama mahindi, karanga nk je kuna mwenye taarifa sahihi juu ya hili na wapi zinapatikana bila kusahau na bei pia ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app