Natumaini mnaendelea vizuri na shuguli za kila siku, pitia kiambatanisho hapa chini kama unataka kujikwamua kupitia ufugaji wa kuku na mazao yake. Pia usisite kuwasiliana na sisi kwa mawasiliana yaliyowekwa kwenye kiambatanisho hiki, karibuni sana.
vip mkuu, mnatoa ushauriNatumaini mnaendelea vizuri na shuguli za kila siku, pitia kiambatanisho hapa chini kama unataka kujikwamua kupitia ufugaji wa kuku na mazao yake. Pia usisite kuwasiliana na sisi kwa mawasiliana yaliyowekwa kwenye kiambatanisho hiki, karibuni sana.
Ndio mkuu, aina zote nilizotaja bei ni moja.Iyo bei ni aina yoyote ya kifaranga?
Ndio mkuu, ushauri wa bure jaribu kuwasiliana kwa namba nilizoweka hapo juu.