Hiyo ni njia ya ufugaji wa kizamani; jifunze namna ya kuuandaa chakula cha kuku kwa kutumia teknolojia ya Hydroponics; unaandaa fodder yenye tija kwa gharama nafuu. Tuwasiliane nikupatie kitabu cha maelekezo hatua kwa hatua.
Hahaaaa Hydroponic Foder ndo awalishie Broiler? Acha kumuingiza chaka mwenzako na kumulia pesa bure.Hiyo ni njia ya ufugaji wa kizamani; jifunze namna ya kuuandaa chakula cha kuku kwa kutumia teknolojia ya Hydroponics; unaandaa fodder yenye tija kwa gharama nafuu. Tuwasiliane nikupatie kitabu cha maelekezo hatua kwa hatua.
Formula ya Chakul cha kuku sio Ishu sana hata wewe unaweza buni yako na ikafanya vizuri tu.Habari wakuu?
Nina uhitaji wa formula ya usagaji wa chakula cha kuku wa Broiler na Layers..
Nyie ndio mnafanya wenzenu wasifanikiwe. Hata kama DCP inapimwa, haiwezi kuwa inapimwa kwa kila mfuko. Dagaa wa mwanza wanajulikana, mahindi ya kibaigwa pia, alizeti ya singida kadhalika. Primix, lysine, methionine, toxine binder n.k ni standard. Kwanini isiewzekane kuzalisha chakula cha kuku?Formula ya Chakul cha kuku sio Ishu sana hata wewe unaweza buni yako na ikafanya vizuri tu.
Tatizo kuu ni kujua DCP.
Digestive Crude protein. Hii inapimwa kwa mashine pekee. DCP ndo huamua ubora wa chakula.
Mfano Vifaranga lazima DCP iwe kwenye 22% sasa hiyo 22% huwezi kamwe na Daima kuipima kwa macho bali lazima utumia mashine maalumu ya kupimia Protein.
Vinginevyo unaweza tengeneza chakula kwa ajili ya layers kumbe kikawa na kiwango kikubwa sana cha DCP ambapo ingefaa wapewe vifaranga au Broiler finisher
Kuna jamaa yangu mwaka jana alianzisha shamba la kuku kununua tu hiyo formula ya kutengeneza chakula cha kuku aliuziwa 5m, haya mambo yanahitaji utaalamu si rahisi kama tunavyowaza...Nyie
Nyie ndio mnafanya wenzenu easifanikiwe. Hatakama inapimwa, haiwezi kuwa kuwa kwa Kila mfuko. Dagaa wa mwanza wanajuoikana, mahindi ya kibaigwa pia, slizeti ya singida kadhalika. Primix, lysine, methionine na toxine binder ni standard. Kwanini isieezekane kizalisha chakula Cha kuku?
Kuna jamaa yangu mwaka jana alianzisha shamba la kuku kununua tu hiyo formula ya kutengeneza chakula cha kuku aliuziwa 5m, haya mambo yanahitaji utaalamu si rahisi kama tunavyowaza...
Formula ya Chakul cha kuku sio Ishu sana hata wewe unaweza buni yako na ikafanya vizuri tu.
Tatizo kuu ni kujua DCP.
Digestive Crude protein. Hii inapimwa kwa mashine pekee. DCP ndo huamua ubora wa chakula.
Mfano Vifaranga lazima DCP iwe kwenye 22% sasa hiyo 22% huwezi kamwe na Daima kuipima kwa macho bali lazima utumia mashine maalumu ya kupimia Protein.
Vinginevyo unaweza tengeneza chakula kwa ajili ya layers kumbe kikawa na kiwango kikubwa sana cha DCP ambapo ingefaa wapewe vifaranga au Broiler finisher