Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Entomophagy ni neno la Kigiriki ambalo lina maana ya ulaji wa wadudu kwa binadamu na non human being. Entomon ni Wadudu na phagein ina maanisha kula. Zaidi ya makabila 3,000 duniani unaambiwa...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Kweli Nna mkono wa kupanda vitu Naona pilipili yangu imekubali Ni vzri kupanda vitu vidogodogo nyumbani Syo kila kitu kwenda nunua sokoni Ova
18 Reactions
68 Replies
8K Views
Hi? Greenhouse Tanzania ni wataalam wa ujenzi wa wa greenhouse na mifumo yote ya umwagiliaji. Pia ni wataalam wa kilimo na hutoa ushauri juu ya kilimo na changamoto zinazompata mkulima. Pia...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Naombeni msaada juu ya maelezo ya jinsi ya kupata mbegu ya ng'ombe kutoka shamba la kitulo lililopo Makete-Njombe ikiwa ni pamoja na bei yake kulingana na umri na kama naweza pata mawasiliano yao...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Ikumbukwe kuwa wk chache nilileta Idea kama watu watapenda kushare kwenye project ya kiwanda cha Maziwa Morogoro. Thanks waliojitokeza. I received almost 30 request of interested ventures. Luckly...
5 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wanaJF. Naombeni msaada wenu, nataka nifungue mashine ya kukoboa na kusaga mahindi. Naombeni mnisaidie jumla ya gharama kwaajili ya kufanikisha hiyo shughuli. Inshort nataka kufungua...
0 Reactions
16 Replies
12K Views
Habari wa ndugu Mimi nimfugaji wa ng'ombe, jana ng'ombe alizaa ndama bila hata msaada wowote yaani kusaidiwa kuvuta ndama, na tayari kondo limetoka. Leo nimerudi kazini nimekuta ng'ombe(mama)...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu Wakuu, Nahitaji kufuga kuku wa Mayai, ila sijui pa kuanzia. Naomba msaada wenu mnielekeze ili niweze fanikiwa lengo langu. Je Nikiwa na milion mbili yatosha kuwa mtaji wa kuku wamayai?
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Ndugu wakulima na wananchi kwa ujumla, kama una eneo dogo katika nyumba yako usiridharau linaweza kukusaidia ukaweka mimea michache ambayo itasaidia kukupatia chakula kama nyanya, vitunguu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wasalaam ! ! ! Niende moja kwa moja kny point Kwa yeyote anae elewa naomba kujua ili kupanda mkonge/katani huwa zipo mbegu zake kama vile mahindi ? au ni...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Dah, wakuu nimeamua kujiongeza kwa kufuga kanga, ni mradi mzuril lakini kwa changamoto ninayokutana nayo nimenyoosha mikono. Nilimwekea kuku wa kwanza mayai 12 ya kanga akatotoa yote lakini...
9 Reactions
30 Replies
10K Views
Ruvuma : Mahindi Pwani: ufuta Tanga: mkonge Njombe: Bangi Kagera: Ndizi Mbeya: Parachichi Kigoma: ufuta Mwanza: Pamba Kilimanjaro: Kahawa Arusha: vitunguu Morogoro: Nyanya Rukwa: maharage Tabora...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wakulima na wafugaji, Kuna watu ambao wanataka kujiingiza kwenye kilimo cha michungwa muda ni huu wa kuandaa shamba, 1. Lima shamba 2. Ng'oa visiki 3. Fanya layout 4. Piga mashimo 5. Weka...
7 Reactions
19 Replies
15K Views
Kama unataka/Unapenda kufuga Mbwa hasa wakigeni (Wakizungu) basi huna budi kuujua ugonjwa huu na namna ya kuepuka. Kwa wale Wapenzi wa Mbwa kindaki ndaki, Wanaofuga Mbwa kwa Mapenzi au Kibiashara...
4 Reactions
6 Replies
8K Views
Habar wanajamvi, Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, naomba nifaamishwe wapi naweza pata mbegu ya maharage machanga maarufu kama French Beans/Green Beans, mim niko Lindi. Ahsanteni natanguliza...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu zangu, Ng'ombe wangu amezaa mwezi December, 2018. Lakini toka amezaa hali yake imekuwa sio kabisa. Anakula sana tena sana lakini anazidi kukonda kila siku na sasa amebaki mifupa tu na hali...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Naomba msaada kwa wataalamu wa Kilimo, huu ugonjwa wa inzi kushambulia matunda dawa yake ni nini unaitwaje? Yaani kila tunda linalotoka hushambuliwa na wadudu kama picha inavyoonesha, nimeona...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wadau, kwa yeyote anayejua wasambazaji na wauzaji wa mbolea na sumu za kuulia wadudu pamoja na sumu kwa ajili ya kuua magugu shambani kwa bei ya jumla, anijuze tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello brothers and sisters, Naomba nijuzwa ni wapi naweza pata mbegu za maboga/tetele kwa Dar, au unga wake. Na bei kwa kilo ni kiasi gani kwa anayefahamu.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu , Natafuta kichwa hicho kama kichwa habari nikajaribu hiyo kitu ya Japan baada ya kutumia Kubota ya China kwa miaka kumi. Vifaa vingine vipo hivyo nahitaji kichwa tu. Anayejua vinapouzwa...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Back
Top Bottom