Entomophagy ni neno la Kigiriki ambalo lina maana ya ulaji wa wadudu kwa binadamu na non human being.
Entomon ni Wadudu na phagein ina maanisha kula.
Zaidi ya makabila 3,000 duniani unaambiwa...
Hi?
Greenhouse Tanzania ni wataalam wa ujenzi wa wa greenhouse na mifumo yote ya umwagiliaji. Pia ni wataalam wa kilimo na hutoa ushauri juu ya kilimo na changamoto zinazompata mkulima. Pia...
Naombeni msaada juu ya maelezo ya jinsi ya kupata mbegu ya ng'ombe kutoka shamba la kitulo lililopo Makete-Njombe ikiwa ni pamoja na bei yake kulingana na umri na kama naweza pata mawasiliano yao...
Ikumbukwe kuwa wk chache nilileta Idea kama watu watapenda kushare kwenye project ya kiwanda cha Maziwa Morogoro. Thanks waliojitokeza. I received almost 30 request of interested ventures.
Luckly...
Habari wanaJF.
Naombeni msaada wenu, nataka nifungue mashine ya kukoboa na kusaga mahindi. Naombeni mnisaidie jumla ya gharama kwaajili ya kufanikisha hiyo shughuli. Inshort nataka kufungua...
Habari wa ndugu
Mimi nimfugaji wa ng'ombe, jana ng'ombe alizaa ndama bila hata msaada wowote yaani kusaidiwa kuvuta ndama, na tayari kondo limetoka.
Leo nimerudi kazini nimekuta ng'ombe(mama)...
Habari zenu Wakuu,
Nahitaji kufuga kuku wa Mayai, ila sijui pa kuanzia. Naomba msaada wenu mnielekeze ili niweze fanikiwa lengo langu.
Je Nikiwa na milion mbili yatosha kuwa mtaji wa kuku wamayai?
Ndugu wakulima na wananchi kwa ujumla, kama una eneo dogo katika nyumba yako usiridharau linaweza kukusaidia ukaweka mimea michache ambayo itasaidia kukupatia chakula kama nyanya, vitunguu...
Wasalaam ! ! !
Niende moja kwa moja kny point
Kwa yeyote anae elewa naomba kujua ili kupanda mkonge/katani huwa zipo mbegu zake kama vile mahindi ? au ni...
Dah, wakuu nimeamua kujiongeza kwa kufuga kanga, ni mradi mzuril lakini kwa changamoto ninayokutana nayo nimenyoosha mikono.
Nilimwekea kuku wa kwanza mayai 12 ya kanga akatotoa yote lakini...
Habari wakulima na wafugaji,
Kuna watu ambao wanataka kujiingiza kwenye kilimo cha michungwa muda ni huu wa kuandaa shamba,
1. Lima shamba
2. Ng'oa visiki
3. Fanya layout
4. Piga mashimo
5. Weka...
Kama unataka/Unapenda kufuga Mbwa hasa wakigeni (Wakizungu) basi huna budi kuujua ugonjwa huu na namna ya kuepuka.
Kwa wale Wapenzi wa Mbwa kindaki ndaki, Wanaofuga Mbwa kwa Mapenzi au Kibiashara...
Habar wanajamvi, Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, naomba nifaamishwe wapi naweza pata mbegu ya maharage machanga maarufu kama French Beans/Green Beans, mim niko Lindi. Ahsanteni natanguliza...
Ndugu zangu,
Ng'ombe wangu amezaa mwezi December, 2018. Lakini toka amezaa hali yake imekuwa sio kabisa. Anakula sana tena sana lakini anazidi kukonda kila siku na sasa amebaki mifupa tu na hali...
Naomba msaada kwa wataalamu wa Kilimo, huu ugonjwa wa inzi kushambulia matunda dawa yake ni nini unaitwaje?
Yaani kila tunda linalotoka hushambuliwa na wadudu kama picha inavyoonesha, nimeona...
Habari wadau, kwa yeyote anayejua wasambazaji na wauzaji wa mbolea na sumu za kuulia wadudu pamoja na sumu kwa ajili ya kuua magugu shambani kwa bei ya jumla, anijuze tafadhali.
Hello brothers and sisters,
Naomba nijuzwa ni wapi naweza pata mbegu za maboga/tetele kwa Dar, au unga wake.
Na bei kwa kilo ni kiasi gani kwa anayefahamu.
Wakuu , Natafuta kichwa hicho kama kichwa habari nikajaribu hiyo kitu ya Japan baada ya kutumia Kubota ya China kwa miaka kumi. Vifaa vingine vipo hivyo nahitaji kichwa tu. Anayejua vinapouzwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.