BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,127
- 734
Nimefanikiwa kupata shamba la ekarim kama 50 ambapo kati ya hizo 20 ni msitu, lina chanzo cha maji cha ukakika na nimeshauriwa nifuge nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa.
Niefikiria kuweka mizinga 200 ya kisasa ambayo kwa wastani nipate madumu ya lita 20 kama 150 kila ninapovuna.
Mizinga nitaiweka kwenye banda na nitaweka mtu wa kuishi huko shamba ili awe anaikagua na asali yangu nitauza Dar es Salaam au soko la nje kwa wastani wa TZS 200,000.
Mizinga nitaichona kwa elfu 20m kila mmoja kwa kuwa mbao zinapatikana kwa urahisi na fundi wangu hana bei kubwa.
Mizinga nitaiweka mwezi Desemba 2023 na mvuno wa kwanza utakuwa around June 2024. Soko la asali na nta halijawahi kuwa baya kama utazalisha Quality product.
Niefikiria kuweka mizinga 200 ya kisasa ambayo kwa wastani nipate madumu ya lita 20 kama 150 kila ninapovuna.
Mizinga nitaiweka kwenye banda na nitaweka mtu wa kuishi huko shamba ili awe anaikagua na asali yangu nitauza Dar es Salaam au soko la nje kwa wastani wa TZS 200,000.
Mizinga nitaichona kwa elfu 20m kila mmoja kwa kuwa mbao zinapatikana kwa urahisi na fundi wangu hana bei kubwa.
Mizinga nitaiweka mwezi Desemba 2023 na mvuno wa kwanza utakuwa around June 2024. Soko la asali na nta halijawahi kuwa baya kama utazalisha Quality product.