Msaada: Ng'ombe wa maziwa kitulo

DR. MWAKABANJE

JF-Expert Member
Nov 7, 2012
1,976
3,122
Naombeni msaada juu ya maelezo ya jinsi ya kupata mbegu ya ng'ombe kutoka shamba la kitulo lililopo Makete-Njombe ikiwa ni pamoja na bei yake kulingana na umri na kama naweza pata mawasiliano yao nitashukuru.

Ahsanteni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom