MAHITAJI
- Kuku(tetea) 10
- Jogoo 01
-Banda bora
-Vyombo vya chakula na maji
-Chakula bora
-Madawa na chanjo kwajili ya magonjwa
-Chanzo cha nishati joto na mwanga
-Elimu na ujuzi wa malezi bora...
Wadau kuna mtu humu ndani anauzoefu na hii banki
Labda amewahi kuomba mkopo atupe uzoefu wake
Nahisi hii inaweza kuwa fursa nzuri kama tukiitumia vizuri
Heshima kwenu wakuu, nalenga kuotesha miche ya mipaina(pines) ili kupunguza gharama za kununua miche iliyooteshwa. Lakini sina uelewa wa kutosha wapi nipate mbegu bora ikiwezekana za kisasa...
Mimi mfungaji wa kuku wa kienyeji
Nitatizo ktk kulea vifaranga
Naomba msaada njia gan bora
Ya kulea vifaranga
Maana nina kuku wangu watotolesha vifaranga 11 mpaka 13
Ila kwenye kulea wanabaki...
Wapendwa,
Naomba mnisaidie kwa anayejua jinsi ya kuweza kuwapata vifaranga vya layers - either kutoka interchick au mkuza chick .
Ninahitaji layers vifaranga 500, nipo mkoani njombe.
Ntanguliza...
Jaman naombeni msaada nipo hapa mwanza nataka nilime kilimo cha siku 90-120 nipeni ushauri naweza kilimo cha zao gani kwa hapa mwanza ila mtaji nnao Tsh 200000 eneo lipo
Habari wana Jamii, Kwa kifupi nimeanza kufuga Kuku wa Mayai (Layers) ni mgeni kabisa katika suala la ufugaji kuku wangu kwa sasa wana wiki 10 ila kuna Kuku kama 20 kati ya 300 wanatoa machozi...
Kwenu wataalam na wadau wa kilimo huu ni mche wa pilipili hoho nimeujaribu kuchunguza shambani nikaona miche mitano iko zaifu baada ya kuing'oa nikakutana na hali hii je ninaweza kutumia dawa zipi...
Kwa wale wafugaji wa kuku wa kienyeji na wasio na uwezo wa kupata artificial incubators, fuata njia hii kutotolesha vifaranga vingi katika kipindi kifupi.
Uwe na majike kadhaa wanaotaga (mfano...
Habari zenu wadau?
Naomba msaada wa kujuzwa mikoa na wilaya ambazo/ ambayo naweza kwenda kulima mpunga kwa msimu huu wa mvua.
Naombeni mnisaidie hasa wilaya zinazofaa kwa shughuli ya kilimo...
Wakuu habari poleni na majukum ya kitaifa!!!
Ase naombeni msaada nina kuku wa kienyeji matetei 30 na majogoo 4 tatizo hawa kuku nahisi kama kuna mtu ananichezea kwenye kuku wangu yani kuku...
Naombei mwenye kujua tatizo hili la mpapai kuangusha matunda wakati wakuchanua aniambie nidawa gani nitumie ili mpapai uendelee na kutoa matunda maana saivi kila uwa likichanua tu linaanguka hii...
Jamani naombeni mnisaidie kama kuna mfugaji bata mwenye uzoefu.... bata wangu vifaranga huwa vinakufa sana naombeni mnisaidie ni tatizo gani hili na nifanye nini kuzuia hili?
Habari wana JF.
Ninajaribu kujifunza kuhusu kilimo cha uyoga na pia ninaperuzi na masoko yake. Nataka kuwa mkulima wa uyoga lakini nataka kwanza nijue namna ya kutoa uyoga bora na kupata masoko...
Natumai mu wazima wanashiriki wa jukwaa hili.
Kama heading inavyojieleza naomba kwa mwenye uzoefu na kilimo cha mpunga maeneo ya Ifakara anisaidie taarifa kuhusu yafuatayo :-
i. Upatikanaji wa...
Habari ndugu zangu, naomba kujua kuhusiana na kilimo cha maua kama vile waridi (roses). Ikiwa kuna mtu anafanya hiki kilimo au ana ufahamu nacho ni vema ukashea uzoefu wako hapa kwa manufaa ya...
Kifaa hiki chenye uzito wa kilo 18 kina uwezo wa kubeba kilo 80. Humuwezesha mtu kufikia juu ya manzi na kuangua nazi.
Kifaa hiki kilivumbuliwa kutokana na idadi ya wakwezi wa jadi kupungua na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.