Naombei mwenye kujua tatizo hili la mpapai kuangusha matunda wakati wakuchanua aniambie nidawa gani nitumie ili mpapai uendelee na kutoa matunda maana saivi kila uwa likichanua tu linaanguka hii mbegu ni F1
Piga picha fully Hadi aridhini ,Ila kikubwa weka maji ya kutosha na mbolea ya samadi na pia weka NPK 5grm kwa kila mche kwa kila mwezi alafu Leta mrejesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.