Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Natumai mu wazima wanashiriki wa jukwaa hili.
Kama heading inavyojieleza naomba kwa mwenye uzoefu na kilimo cha mpunga maeneo ya Ifakara anisaidie taarifa kuhusu yafuatayo :-
i. Upatikanaji wa mashamba ya kununua au kukodi ukoje
ii. Msimu wa maandalizi ya shamba hadi kipindi cha kupanda na Upatikanaji wa mbegu /miche ukoje
iii. Makadirio ya gharama za uandaaji wa shamba hadi kufikia kupanda miche kwa ekari moja
iv. Mpunga ukishavunwa, wakulima wa maeneo hayo ukoje katika kuuza mazao yao.
v. Kijijini /vijiji gani vinazalisha mpunga kwa wingi na upatikanaji wa mashamba hausumbui sana.
Natanguliza shukrani zangu kwenu na natumai kupata mrejesho chanya kutoka kwenu.
Naamini JF ni kijiji chenye kila aina ya watu wenye uzoefu mbalimbali katika angle tofauti tofauti!
Thanks in advance!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama heading inavyojieleza naomba kwa mwenye uzoefu na kilimo cha mpunga maeneo ya Ifakara anisaidie taarifa kuhusu yafuatayo :-
i. Upatikanaji wa mashamba ya kununua au kukodi ukoje
ii. Msimu wa maandalizi ya shamba hadi kipindi cha kupanda na Upatikanaji wa mbegu /miche ukoje
iii. Makadirio ya gharama za uandaaji wa shamba hadi kufikia kupanda miche kwa ekari moja
iv. Mpunga ukishavunwa, wakulima wa maeneo hayo ukoje katika kuuza mazao yao.
v. Kijijini /vijiji gani vinazalisha mpunga kwa wingi na upatikanaji wa mashamba hausumbui sana.
Natanguliza shukrani zangu kwenu na natumai kupata mrejesho chanya kutoka kwenu.
Naamini JF ni kijiji chenye kila aina ya watu wenye uzoefu mbalimbali katika angle tofauti tofauti!
Thanks in advance!
Sent using Jamii Forums mobile app