Msaada wa taarifa kuhusu kilimo cha mpunga - Ifakara, Morogoro

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
1,684
2,157
Natumai mu wazima wanashiriki wa jukwaa hili.

Kama heading inavyojieleza naomba kwa mwenye uzoefu na kilimo cha mpunga maeneo ya Ifakara anisaidie taarifa kuhusu yafuatayo :-

i. Upatikanaji wa mashamba ya kununua au kukodi ukoje

ii. Msimu wa maandalizi ya shamba hadi kipindi cha kupanda na Upatikanaji wa mbegu /miche ukoje

iii. Makadirio ya gharama za uandaaji wa shamba hadi kufikia kupanda miche kwa ekari moja

iv. Mpunga ukishavunwa, wakulima wa maeneo hayo ukoje katika kuuza mazao yao.

v. Kijijini /vijiji gani vinazalisha mpunga kwa wingi na upatikanaji wa mashamba hausumbui sana.

Natanguliza shukrani zangu kwenu na natumai kupata mrejesho chanya kutoka kwenu.

Naamini JF ni kijiji chenye kila aina ya watu wenye uzoefu mbalimbali katika angle tofauti tofauti!
Thanks in advance!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumai mu wazima wanashiriki wa jukwaa hili.

Kama heading inavyojieleza naomba kwa mwenye uzoefu na kilimo cha mpunga maeneo ya Ifakara anisaidie taarifa kuhusu yafuatayo :-

i. Upatikanaji wa mashamba ya kununua au kukodi ukoje

ii. Msimu wa maandalizi ya shamba hadi kipindi cha kupanda na Upatikanaji wa mbegu /miche ukoje

iii. Makadirio ya gharama za uandaaji wa shamba hadi kufikia kupanda miche kwa ekari moja

iv. Mpunga ukishavunwa, wakulima wa maeneo hayo ukoje katika kuuza mazao yao.

v. Kijijini /vijiji gani vinazalisha mpunga kwa wingi na upatikanaji wa mashamba hausumbui sana.

Natanguliza shukrani zangu kwenu na natumai kupata mrejesho chanya kutoka kwenu.

Naamini JF ni kijiji chenye kila aina ya watu wenye uzoefu mbalimbali katika angle tofauti tofauti!
Thanks in advance!


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza hongera kwa mawazo ya ujasiriamali. Sijaishi sana Morogoro ila naskia ni pazuri kwa Mpunga. Nakushauri uende mwenyewe physically ukaonane na wenye mashamba, ufanye real Research.
 
Kwanza hongera kwa mawazo ya ujasiriamali. Sijaishi sana Morogoro ila naskia ni pazuri kwa Mpunga. Nakushauri uende mwenyewe physically ukaonane na wenye mashamba, ufanye real Research.
Nashukuru Mkuu kwa ushauri huu, pia nashukuru nimeshapata mwenyeji wa huko natumai ndani ya siku mbili tatu hizi nitakuwa nimeshapata data kamili.

Weekend hii nilikuwa hapa DAKAWA najaribu kutafuta uhalisia wa kupata japo shamba la kukodi kwenye haya mashaka ya ushirika maana nasikia ni mazuri pia coz hata wataalamu elekezi wako available na pia kilimo kinategemea zaidi umwagiliaji.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru Mkuu kwa ushauri huu, pia nashukuru nimeshapata mwenyeji wa huko natumai ndani ya siku mbili tatu hizi nitakuwa nimeshapata data kamili.

Weekend hii nilikuwa hapa DAKAWA najaribu kutafuta uhalisia wa kupata japo shamba la kukodi kwenye haya mashaka ya ushirika maana nasikia ni mazuri pia coz hata wataalamu elekezi wako available na pia kilimo kinategemea zaidi umwagiliaji.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipata ulete mrejesho mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumai mu wazima wanashiriki wa jukwaa hili.

Kama heading inavyojieleza naomba kwa mwenye uzoefu na kilimo cha mpunga maeneo ya Ifakara anisaidie taarifa kuhusu yafuatayo :-

i. Upatikanaji wa mashamba ya kununua au kukodi ukoje

ii. Msimu wa maandalizi ya shamba hadi kipindi cha kupanda na Upatikanaji wa mbegu /miche ukoje

iii. Makadirio ya gharama za uandaaji wa shamba hadi kufikia kupanda miche kwa ekari moja

iv. Mpunga ukishavunwa, wakulima wa maeneo hayo ukoje katika kuuza mazao yao.

v. Kijijini /vijiji gani vinazalisha mpunga kwa wingi na upatikanaji wa mashamba hausumbui sana.

Natanguliza shukrani zangu kwenu na natumai kupata mrejesho chanya kutoka kwenu.

Naamini JF ni kijiji chenye kila aina ya watu wenye uzoefu mbalimbali katika angle tofauti tofauti!
Thanks in advance!


Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi nina mashamba ya urithi huko Mang'ula sijawahi kulima hata siku moja ila huwa yanakodishwa na watu niliowaachia, bei kwa sasa sifahamu kwakuwa hata hiyo pesa sijawahi kuiona jamaa wanakula tu. Sasas kama uko serious mimi ni wasimamishe wale wa kule ili nikukodishe wewe. Mimi nimekulia huko, kilimo cha mpunga ni kigumu sana hasa kama unafanya kwa jembe la mkono. Kuna kutayarisha shamba kwakuwa mashamba haya ni ya zamani unaanza na kulima kisha unapiga halo then unamwaga au kupanda mpunga, baadae kung'olea au kupiga dawa majani, kisha kama kutakuwa na ndege yakubidi ulinde ndege wasile mpunga. Baada ya hatua zaote hizo unafuatiwa na kuvuna, kupiga, kupepeta na kuweka kwenye magunia. Kwakuwa mashamba yote ya wiliya ya Kilombero yapo mbali na vijijini hususani kwenye barabara kuu ya Dar-Ifakara inakubidi uwe na plan ya kuhifadhi mpunga wako shambani baada ya kuweka kwenye magunia then usafirishe kwenda kijijini ambok itabidi utafute storage area kabla haujasafirisha kupeleka unakohitaji. Mimi nakushauri kwakuwa wewe si mwenyeji wa maendeo hayo kilimo hiki cha kutegemea mvua chaweza kukulaza, hivyo kama unapesa ya kutosha subiri wakati wa mavuno ununue mpunga na kufanya biashara au la wakati wa kulima nenda vijijini wakopeshe wananchi pesa kisha mkubaliane kulipwa mpunga wakati wa mavuno na akikosa then utajua cha kufanya. Upo?
 
Mimi nina mashamba ya urithi huko Mang'ula sijawahi kulima hata siku moja ila huwa yanakodishwa na watu niliowaachia, bei kwa sasa sifahamu kwakuwa hata hiyo pesa sijawahi kuiona jamaa wanakula tu. Sasas kama uko serious mimi ni wasimamishe wale wa kule ili nikukodishe wewe. Mimi nimekulia huko, kilimo cha mpunga ni kigumu sana hasa kama unafanya kwa jembe la mkono. Kuna kutayarisha shamba kwakuwa mashamba haya ni ya zamani unaanza na kulima kisha unapiga halo then unamwaga au kupanda mpunga, baadae kung'olea au kupiga dawa majani, kisha kama kutakuwa na ndege yakubidi ulinde ndege wasile mpunga. Baada ya hatua zaote hizo unafuatiwa na kuvuna, kupiga, kupepeta na kuweka kwenye magunia. Kwakuwa mashamba yote ya wiliya ya Kilombero yapo mbali na vijijini hususani kwenye barabara kuu ya Dar-Ifakara inakubidi uwe na plan ya kuhifadhi mpunga wako shambani baada ya kuweka kwenye magunia then usafirishe kwenda kijijini ambok itabidi utafute storage area kabla haujasafirisha kupeleka unakohitaji. Mimi nakushauri kwakuwa wewe si mwenyeji wa maendeo hayo kilimo hiki cha kutegemea mvua chaweza kukulaza, hivyo kama unapesa ya kutosha subiri wakati wa mavuno ununue mpunga na kufanya biashara au la wakati wa kulima nenda vijijini wakopeshe wananchi pesa kisha mkubaliane kulipwa mpunga wakati wa mavuno na akikosa then utajua cha kufanya. Upo?
Nashukuru kwa ushauri wako Mkuu, nikekupata na nimekuelewa vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hujapata hebu nicheki 0783728330 Mimi ni MTENDAJI wa kijiji...nitakupa ABC za kata nzima au tarafa nzima...napofanyia kazi...au hata kama kuna MTU anaehitaji MPE tu namba zangu...nikutakie kilimo chema....ifakara inalipa...mie nilitokea zenji kilimo si mishe zetu...ila kwa sasa hadi kambale nakula....na mashamba na viwanja nishanunua....mshahara Unafanya mambo mengine sinunui msosi tena
 
Nashukuru Mkuu kwa ushauri huu, pia nashukuru nimeshapata mwenyeji wa huko natumai ndani ya siku mbili tatu hizi nitakuwa nimeshapata data kamili.

Weekend hii nilikuwa hapa DAKAWA najaribu kutafuta uhalisia wa kupata japo shamba la kukodi kwenye haya mashaka ya ushirika maana nasikia ni mazuri pia coz hata wataalamu elekezi wako available na pia kilimo kinategemea zaidi umwagiliaji.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mashamba mazuri ya Dakawa but production costs ziko juu ila ukizingatia ni kilimo cha uhakika zaidi ya Ifakara anbapo utategemea mvua ya Mungu ambayo lolote laweza tokea.
 
Mimi nina mashamba ya urithi huko Mang'ula sijawahi kulima hata siku moja ila huwa yanakodishwa na watu niliowaachia, bei kwa sasa sifahamu kwakuwa hata hiyo pesa sijawahi kuiona jamaa wanakula tu. Sasas kama uko serious mimi ni wasimamishe wale wa kule ili nikukodishe wewe. Mimi nimekulia huko, kilimo cha mpunga ni kigumu sana hasa kama unafanya kwa jembe la mkono. Kuna kutayarisha shamba kwakuwa mashamba haya ni ya zamani unaanza na kulima kisha unapiga halo then unamwaga au kupanda mpunga, baadae kung'olea au kupiga dawa majani, kisha kama kutakuwa na ndege yakubidi ulinde ndege wasile mpunga. Baada ya hatua zaote hizo unafuatiwa na kuvuna, kupiga, kupepeta na kuweka kwenye magunia. Kwakuwa mashamba yote ya wiliya ya Kilombero yapo mbali na vijijini hususani kwenye barabara kuu ya Dar-Ifakara inakubidi uwe na plan ya kuhifadhi mpunga wako shambani baada ya kuweka kwenye magunia then usafirishe kwenda kijijini ambok itabidi utafute storage area kabla haujasafirisha kupeleka unakohitaji. Mimi nakushauri kwakuwa wewe si mwenyeji wa maendeo hayo kilimo hiki cha kutegemea mvua chaweza kukulaza, hivyo kama unapesa ya kutosha subiri wakati wa mavuno ununue mpunga na kufanya biashara au la wakati wa kulima nenda vijijini wakopeshe wananchi pesa kisha mkubaliane kulipwa mpunga wakati wa mavuno na akikosa then utajua cha kufanya. Upo?
Mkuu nimekuelewa kuhusu cha mpunga na upo sahihi kwenye hatua zote hizo kuanzia kuandaa shamba,kulima,kumwaga,kung'olea hadi kuvuna maelezo yapo sahihi na yamejitosheleza

Mm ni mkulima nalima nyanya,mpunga na mahindi katika kijiji cha mbigili, kata ya magole wilaya ya kilosa mkoani morogoro

Umemshauri mambo mengi ila na mm ngoja niongezee kidogo kwa uzoefu wangu, kuhusu kununua mpunga ni biashara nzuri sn kuliko kulima ila inahitaji wa kutosha

Kuhusu kukopesha hela wakulima walime mpunga alafu wakulime magunia, simshauri afanye hivyo maana atakuja kujuta
Huku kwetu tunaita gobogobo Mara nyingi inafanywa na wenyeji ukiwa mgeni rahisi kudhulumiwa, pia INA risk sn sababu mwengine anaweza hasiwe na nia ya kukudhulumu ila anaweza asiwe makini shambani matokeo yake asivune mpunga au akapata gunia chache akakosa gunia za kukulipa
 
Nashukuru Mkuu kwa ushauri huu, pia nashukuru nimeshapata mwenyeji wa huko natumai ndani ya siku mbili tatu hizi nitakuwa nimeshapata data kamili.

Weekend hii nilikuwa hapa DAKAWA najaribu kutafuta uhalisia wa kupata japo shamba la kukodi kwenye haya mashaka ya ushirika maana nasikia ni mazuri pia coz hata wataalamu elekezi wako available na pia kilimo kinategemea zaidi umwagiliaji.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo angalia usiibiwe kama sio kutapeliwa narudia tena..Hapo angalia usiibiwe kama sio kutapeliwa.NUKTA
 
Mkuu nimekuelewa kuhusu cha mpunga na upo sahihi kwenye hatua zote hizo kuanzia kuandaa shamba,kulima,kumwaga,kung'olea hadi kuvuna maelezo yapo sahihi na yamejitosheleza

Mm ni mkulima nalima nyanya,mpunga na mahindi katika kijiji cha mbigili, kata ya magole wilaya ya kilosa mkoani morogoro

Umemshauri mambo mengi ila na mm ngoja niongezee kidogo kwa uzoefu wangu, kuhusu kununua mpunga ni biashara nzuri sn kuliko kulima ila inahitaji wa kutosha

Kuhusu kukopesha hela wakulima walime mpunga alafu wakulime magunia, simshauri afanye hivyo maana atakuja kujuta
Huku kwetu tunaita gobogobo Mara nyingi inafanywa na wenyeji ukiwa mgeni rahisi kudhulumiwa, pia INA risk sn sababu mwengine anaweza hasiwe na nia ya kukudhulumu ila anaweza asiwe makini shambani matokeo yake asivune mpunga au akapata gunia chache akakosa gunia za kukulipa

Muheshimiwa uko sahihi, suala la kukupesha pesa na kulipa mpunga linakuwa gumu hasa pale mkulima anapokosa mavuno. Mkuu nimevutiwa kusikia kuwa wewe ni mkulima kule Mbigili na ningependa ikiwezekana tufahamiane. Kama unavyojua NSSF wanampango wa kufungua kiwanda cha miwa kwa kushirikiana na jeshi la magereza la Mbigili. Nilipata taarifa kuwa kuna ardhi inapatikana katika kijiji cha Mabwegere kwaajili ya ulima miwa. Nilisafiri hadi huko na kuonana na uongozi wa kijiji na kata. Maombi yangu ya kupatiwa ardhi hekari kadhaa yapo kwenye hatua nzuri kwakuwa halmashauri na mkutano mkuu wa kijiji umepitisha majina yetu. Bahati nzuri nilikwenda tena wiki mbili zilizopita kutembelea eneo lililotengwa kwaajili hiyo linalopakana na shamba la kiwanda. Sijaona bali nimesikia kuwa kiwanda kimeshaotesha miwa kwaajili ya mbegu. Natarajia kukabidhiwa shmba langu karibuni ila nimeuomba uongozi kwanza ukamilishe mikhutasari yote na kuipa kivuli cha mukhutasari wa mikutano iliyopitisha majina yote likiwemo langu kabla ya kuanza kazi. Nimejipanga kuanza kusafisha shamba haraka iwezekanavyo punde tu nitakapopata nyaraka muhimu za makabidhiano ya ardhi. Sasas nataka kujua toka kwako kama unalifahamu hili na kama wewe ni mmoja wa watu wenye nia pia ya kulima miwa ili tuweze kushirikiana hata kimawazo juu ya hili ikiwa mimi ninauzoefu kidogo na kilimo hiki kwakuwa nina kijishamba huko Kilombero. Nataka kujua pia kama wewe kimaisha uko Mbigili au unakwenda kulima tu, mimi naishi Dar huko nasaka mashamba na fursa tu lakini ni mzaliwa wa Kilosa hukohuko. Tuwasiliane na tupashane habari zilizokuwa na tija juu ya hili. Nimejifunza mengi sana nilipotembelea kijiji cha wamasai cha Mabwegere na nimepata uzoefu mzuri, nimeiona ardhi nzuri iliyo na rutuba sana, mboji inayozamisha miguu, nikaingiwa na tamaa sana ya kupiga jembe pale.
 
Muheshimiwa uko sahihi, suala la kukupesha pesa na kulipa mpunga linakuwa gumu hasa pale mkulima anapokosa mavuno. Mkuu nimevutiwa kusikia kuwa wewe ni mkulima kule Mbigili na ningependa ikiwezekana tufahamiane. Kama unavyojua NSSF wanampango wa kufungua kiwanda cha miwa kwa kushirikiana na jeshi la magereza la Mbigili. Nilipata taarifa kuwa kuna ardhi inapatikana katika kijiji cha Mabwegere kwaajili ya ulima miwa. Nilisafiri hadi huko na kuonana na uongozi wa kijiji na kata. Maombi yangu ya kupatiwa ardhi hekari kadhaa yapo kwenye hatua nzuri kwakuwa halmashauri na mkutano mkuu wa kijiji umepitisha majina yetu. Bahati nzuri nilikwenda tena wiki mbili zilizopita kutembelea eneo lililotengwa kwaajili hiyo linalopakana na shamba la kiwanda. Sijaona bali nimesikia kuwa kiwanda kimeshaotesha miwa kwaajili ya mbegu. Natarajia kukabidhiwa shmba langu karibuni ila nimeuomba uongozi kwanza ukamilishe mikhutasari yote na kuipa kivuli cha mukhutasari wa mikutano iliyopitisha majina yote likiwemo langu kabla ya kuanza kazi. Nimejipanga kuanza kusafisha shamba haraka iwezekanavyo punde tu nitakapopata nyaraka muhimu za makabidhiano ya ardhi. Sasas nataka kujua toka kwako kama unalifahamu hili na kama wewe ni mmoja wa watu wenye nia pia ya kulima miwa ili tuweze kushirikiana hata kimawazo juu ya hili ikiwa mimi ninauzoefu kidogo na kilimo hiki kwakuwa nina kijishamba huko Kilombero. Nataka kujua pia kama wewe kimaisha uko Mbigili au unakwenda kulima tu, mimi naishi Dar huko nasaka mashamba na fursa tu lakini ni mzaliwa wa Kilosa hukohuko. Tuwasiliane na tupashane habari zilizokuwa na tija juu ya hili. Nimejifunza mengi sana nilipotembelea kijiji cha wamasai cha Mabwegere na nimepata uzoefu mzuri, nimeiona ardhi nzuri iliyo na rutuba sana, mboji inayozamisha miguu, nikaingiwa na tamaa sana ya kupiga jembe pale.
mkuu mm mbigiri ni mkulima wa kwenda na kuondoka mfano sasa hivi nipo dar lakini uwa nakaa sana hadi msimu ukiisha na nina uzoefu wa miaka mitatu kule

kuhusu kilimo cha miwa nilikisikia lakini sikuvutiwa nacho

ni kweli mabegwere kuna mashamba mazuri sana karibu sana mbigiri
 
mkuu mm mbigiri ni mkulima wa kwenda na kuondoka mfano sasa hivi nipo dar lakini uwa nakaa sana hadi msimu ukiisha na nina uzoefu wa miaka mitatu kule

kuhusu kilimo cha miwa nilikisikia lakini sikuvutiwa nacho

ni kweli mabegwere kuna mashamba mazuri sana karibu sana mbigiri

Asante kaka, nitakufundisha kilimo cha miwa. Ninauzoefu nacho sana kutoka Kilombero. Tuwasiliane tu ikiwezekana inbox. Asante muheshimiwa.
 
poa tuwasiliane tutakuwa tunakutana mbigiri

sawa Muheshimiwa, nitakutafuta mwishoni mwa Novemba nitakuwa TZ, nipo nje kimaisha Dar, nitakuja likizo wakati huo nitaomba tuonane ukiwa na nafasi. Naanza kusafisha shamba la miwa sasa hivi nimepata kama ekari 75 nategemea zifike mia moja. Kila la kheri katika kila la kheri unalolifanya kwa mikono yako na Allah akuzidishie na akufungulie njia zaidi.
 
sawa Muheshimiwa, nitakutafuta mwishoni mwa Novemba nitakuwa TZ, nipo nje kimaisha Dar, nitakuja likizo wakati huo nitaomba tuonane ukiwa na nafasi. Naanza kusafisha shamba la miwa sasa hivi nimepata kama ekari 75 nategemea zifike mia moja. Kila la kheri katika kila la kheri unalolifanya kwa mikono yako na Allah akuzidishie na akufungulie njia zaidi.
Sawa mkuu ukirudi utanitafuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom