Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Jamani wadau na wataalamu wengine wa kilimo,kilimo cha mpunga sasa kimenichosha kutokana na soko lake bei yake imeshuka wakati garama za uendeshaji zipo juu mno. NAOMBA USHAURI WA ELIMU YA JUU...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Wadau, Poleni kwa kazi. Nina maswali mawili ambayo ninaomba mnisaidie 1. Nimekuwa nikijaribu kufuatilia kanuni za ufugaji bora wa Sungura katika maeneo ya joto kama DSM. Nimevutiwa sana na...
5 Reactions
480 Replies
225K Views
Habari wakuu. Mimi ni mtu ninayevutiwa na ujasiriamali, sasa niliwahi kusikia kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai. Nilianza kwa majaribio kuku 300 tokea April mwaka huu, hivi sasa...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Heshima kwenu ndugu Naomba mwenye kujua wapi naweza pata nguruwe mzuri wa Mbegu mwenye mimba kwa bei nzuri anijulishe au Kama muuzaji tiririka bei na aina ya nguruwe ulonao Shukrani
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau nipo mbioni kununua water pump kwa ajili ya shughuli za umwagiliaji. Naomba kujuzwa ipi ni aina bora ya water pump, hasa hizi za inchi 3-4 zinazotumia petrol. Ahsanteni!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam wakuu, Habari zenu? Kwa kifupi nimejichanga visenti kidogo kama Tshs. 300,000/= kwaajili ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji. Nina uhakika hazitoshi lakini naomba msaada wenu labda...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Salaam, Ningependa kuwahabarisha wafugaji ,wauzaji na wasambazaji wa bidhaa za nyama (red meat & white meat) kutakua na maonyesho ya nyama na ufugaji Toronto Canada tareh 4 mpk 6 February 2021...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana JF wenzangu, Katika harakati za kupambana na maisha nawaza kulima kilimo cha mahindi ya kuchoma. Naomba kujua undani wa kilimo hicho na kuhusu masoko ili nifanye research ya soko...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Salaam wakuu! Baada ya kuhangaika sana nimefanikiwa kupata milioni 6 ya mkopo bank, sasa nilikuwa nahitaji kuwekeza katika ufugaji, eneo la kufugia ninalo tayari lenye ukubwa wa heka 30 na ni...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Wadau mimi nalima sana mazao kama vitunguu, hoho, biringanya, bamia. Nimetenga nusu heka nataka nilime nyanya yenye kusapotiwa na miti ambayo inasemekana mavuno ni zaidi ya miezi 3. Naombeni kama...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Hawa kuku nilitaka kuwauza wakiwa na week 2 kwa kupata changamoto ya banda ila nimepambana hadi nikajenga banda na sasa wanaendelea vizuri sana Hawa kuku wananifurahisha kitu kimoja ni wagumu...
6 Reactions
70 Replies
51K Views
Naombeni utaalamu wa kufuga hawa wadudu. Je, Kuna mtu humu alishawahi kujaribu kufuga?
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Jamani habari za leo! Naomba kupata uzoefu wa uvuvi wa samaki hasa Sangara ziwa Victoria, nahitaji kuanza kuvua samaki hao ila sina uzoefu juu ya gharama za kumiliki mtumbwi, bei ya nyavu au...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Ndugu zangu amani Iwe pamoja nanyi. Kumekuwa na mawazo kuhusu kilimo na wengi wamekuwa na shauku kubwa sana kufanya kilimo hasa cha kibiashara. Yes, ni vizuri lakini hasara zake zimewapata wengi...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
From marketing tricks to shady practices, the food industry has a lot of secrets. But they just want you to think about their yummy products, nothing else. Well, it’s important to know about the...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakulima wenzangu Kwa miaka ya Nyuma kidogo ilionekana kulima ni umasikini na ufukara yani kuajiliwa ilikua ndo mwake mwake. Miaka hii kilimo ndo mpango mzima yani unakuta hata waajiriwa...
6 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama heading inavyosema, wakuu natafuta shamba kwa kilimo cha mbogambiga na matunda kama tikiti nk. Eneo liwe Mkuranga, Bagamoyo, Morogoro nk. Upatikanaji wa maji ni muhimu na aina ya udongo iwe...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataka kununua MF 2904WD ya HP 77. mwenye uzoefu nayo katika matumizi ya mafuta na spea anipe ushauri tafadhali
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Habarini ndugu naomba kwa yeyote anafahamu biashara ya bidhaa zitokazo kwa ng'ombe kama pembe, ngozi, kwato pamoja na nyinginezo naomba msaada.
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Wadau Jf, Nina Shamba La Ekari 10 lipo Bagamoyo Pwani Karibu na Kidomole. Bado ninatafakari nilime nini,ambacho naweza kuitumia Ardhi vema.Nipo Naishi Dar.Angalau Mazao yasio ya Msimu...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…