Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari za Asubuhi wataalamu. Kuna mahali nilinunua simu used Sasa kwenda home nika reset Kila kitu gafla ikaniletea huu ujumbe (33333) Unauthorized actions are detected on the device Accessing...
1 Reactions
5 Replies
704 Views
Naombeni ushauri Tv zangu zote mbili zimepata changamoto kwa wakat mmoja Ni TV za Hisense 55inches zote!! Moja fundi anasema motherboard imekufa (hii muda wa warranty umeisha) Ya pili.. ni mpya...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
hii ni canon mp250 all in one Kwa bei inaweza kua ngapi? Na nikiyakanyaga inaweza uzika Kwa haraka?
8 Reactions
17 Replies
1K Views
Katika miaka ya karibuni watu wamekuwa wakiogopa kuwekewa kifaa maalum kwenye ubongo kwa siri wakihofu kutumika kama mazombi kufanya kazi za mabeberu.Kumbe hiyo teknolojia si rahisi kihivyo...
5 Reactions
8 Replies
623 Views
Hadi sasa sina shaka kwamba kwenye uwanja wa unlimited internet, hawa supakasi chini ya Vodacom ndio wana uwezo wa kufikia wateja wengi kila mkoa kuliko hata fibre ambazo sana sana zipo mjini kati...
18 Reactions
91 Replies
9K Views
Hivi huwa mnajuaje mtu yupo sehemu fulani kwa kutumia location ya simu?Nataka kujifunza hili somo naona huyu mdeni ananichezea.
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakuu Mambo. Nataka kununua kati ya Home Theater ya Sony DAV TZ 140 5.1 au Sound Bar ya Hisense HS 281 2.1 Zote mbili bei zinafanana approximately Tsh 450,000/= kila moja. Sony Home Theatre...
7 Reactions
105 Replies
15K Views
Nkimaanisha idea gan app ya KITANZANIA unatamani kuiona ila bado hujaiona
4 Reactions
65 Replies
3K Views
Habari ndugu ninaomba kuuliza kama kuna uwezekana wa kufungua sehemu ya laini mama kwenye hizi simu za mkopo ili hiyo sehemu ambayo huwa ni laini namba 1 iweze kutumika kwa laini yoyote kama...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Msaada nataka kununua soundbar nzuri ya 1000 watts, naomba ushauri wa kitaalam aina ipi ni nzuri na wapi ninaweza pata. bar ya uhakika. Pia kama wewe ni muuzaji karibu. Bajeti yangu ni 1-2 Million.
3 Reactions
51 Replies
19K Views
COMMAND PROMPT: SIRI NZITO YA WATUMIAJI MAHIRI WA WINDOWS! Umechoka kutumia mouse kila mara? Unataka mbinu za siri za kudhibiti Windows kwa haraka na kwa ufanisi? Command Prompt (CMD) ni zana...
3 Reactions
5 Replies
575 Views
Wassalaam ndugu Nilikua naomba kuuliza ili nijuzwe Je tatizo la fingerprint kwenye iphone 6 plus huwa linasababishwa na kioo endapo kama ukibadili kioo tatizo linakua fixed Au tatizo ni system...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Fridge zipo za aina tofauti kulingana na ujazo na aina ya matumizi, fuatana nami katika Makala hii fupi itakayokuongoza namna ya kuchagua kulingana na mahitaji yako; Fridge zenye pande mbili Hizi...
8 Reactions
50 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, kila kazi zinaushirikiano. Hivyo ningependa kuwa na ushirikiano na mafundi wezangu kwa kila kitu. Hapa tunaweza kushare Firmware, Au Tricks mbalimbali za kutatua matatizo ya...
2 Reactions
10 Replies
997 Views
Wakuu ,nmedownload baadhi ya Apps nilizogugo zinazosemekana zinadwnld video YouTube ila Sijafanikiwa . Ni Application gan nayoweza kutumia?. Kwa kuanzia naomben hii video , Kwa sisi Wasanii...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Tv brand ya hisense ni moja ya TV inayopendwa sana na inafanya vizuri, ila baada ya watu wasio waaminifu wakitaka kutembelea huu upepo na kutaka faida kubwa wameamua kufyatua tv za hisense fake...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu salama? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi nilitaka sana kua youtuber, hivyo nikasema lazima nijaribu nikifeli ni sawa. Basi nikafungua gmail hatimae channel, safari ya gaming...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
RDP ni nini? | RDP Server | Remote Desktop Protocol | Maelezo Rahisi RDP Servers? Kabla ya kuzungumzia RDP Servers, ni muhimu kwanza kuelewa RDP ni nini na inatumika vipi. Baada ya hapo...
3 Reactions
0 Replies
397 Views
Back
Top Bottom