steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,191
- 1,629
Nahitaji mtu ambae anauwezo wa kutengeneza app kwaajili ya delivery mwenye uzoefu na awe tayari kunionesha kazi zake pia bei iwe rafiki
Nina wazo kama hiloo tunaweza kutengeneza team pamoja.. Hila hii sio new idea lazima tujipange na ushindaniiNahitaji mtu ambae anauwezo wa kutengeneza app kwaajili ya delivery mwenye uzoefu na awe tayari kunionesha kazi zake pia bei iwe rafiki
Hilo mm nafaham but kuna angle bado haijaguswa hususani hapa tanzania naamini nitafanikiwa kupitia hicho kipengeleNina wazo kama hiloo tunaweza kutengeneza team pamoja.. Hila hii sio new idea lazima tujipange na ushindanii
Nahitaji mtu ambae anauwezo wa kutengeneza app kwaajili ya delivery mwenye uzoefu na awe tayari kunionesha kazi zake pia bei iwe rafiki
Namtaka developer nimpe kazi nikiweka idea hapa unaweza kuamk ukakut watu wamepita na ideaUmeeleza kwa ufupi sana! Unataka app ya delivery iweje? Unaweza kutaja functionalities zake? Au na wewe haufahamu ila unataka idea kutoka kwa dev mwenyewe?
Check DmNamtaka developer nimpe kazi nikiweka idea hapa unaweza kuamk ukakut watu wamepita na idea
Cheki inbox, kama upo serious tufanye kaziNahitaji mtu ambae anauwezo wa kutengeneza app kwaajili ya delivery mwenye uzoefu na awe tayari kunionesha kazi zake pia bei iwe rafiki
Idea hakuna mtu anaweza kukuibia, kitakacho kufelisha ni strategy zako sokoni kwa wateja wakoNamtaka developer nimpe kazi nikiweka idea hapa unaweza kuamk ukakut watu wamepita na idea
ndo wabongo wengi wanafeli hapo, kujifungia na idea sio solution, wewe fanya kwanza execution. Unaweza kukuta hichohicho kitu unachokifikiria ukidhan ni unique kumbe kuna mtu huko Namtumbo ndani ndani nae anakifikiria.Idea hakuna mtu anaweza kukuibia, kitakacho kufelisha ni strategy zako sokoni kwa wateja wako
Kila mtu yuko na idea ya kutengeneza kuku kana za KFC, but kwanini wanashindwa kufanya kama KFC wakawa washindani wake
Ni kweli unajua ukimwambia mtu nataka kufanya ABC atakuelewa na hata akija na plan yake kutaka kuichukua hiyo plan yako hawezi fanikiwa maana blueprints nzima iko kichwani kwakondo wabongo wengi wanafeli hapo, kujifungia na idea sio solution, wewe fanya kwanza execution. Unaweza kukuta hichohicho kitu unachokifikiria ukidhan ni unique kumbe kuna mtu huko Namtumbo ndani ndani nae anakifikiria.
Execution is everything. How you execute and how fast you execute will give u an edge.
Mm ni muhanga wa kumshirikush mtu idea kisha kukuta kaifanya nimesema nahitj developer sijasemanahitaji mshirikaningehjgj mshiriki ningekuja na wazo ili atakarvutiwa tuungane mm tayari nina idea tyari nakuna angle nimeon haijaguswa bado hasa kwa hapa nchinindo wabongo wengi wanafeli hapo, kujifungia na idea sio solution, wewe fanya kwanza execution. Unaweza kukuta hichohicho kitu unachokifikiria ukidhan ni unique kumbe kuna mtu huko Namtumbo ndani ndani nae anakifikiria.
Execution is everything. How you execute and how fast you execute will give u an edge.
ndo wabongo wengi wanafeli hapo, kujifungia na idea sio solution, wewe fanya kwanza execution. Unaweza kukuta hichohicho kitu unachokifikiria ukidhan ni unique kumbe kuna mtu huko Namtumbo ndani ndani nae anakifikiria.
Execution is everything. How you execute and how fast you execute will give u an edge.