Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

[Swahili] Katika video hii, wataalamu kutoka OpenAI wanatambulisha kizazi kipya cha ChatGPT Voice (GPT Live 1), teknolojia inayobadilisha namna tunavyoingiliana na mashine. Tofauti na mifumo ya...
6 Reactions
6 Replies
216 Views
Hello bosses, Natumai mu wazima, na wagonjwa Mungu awajalie afya njema. Napitia mabadiliko makubwa maishani mwangu. Nilijiunga na kampuni fulani ya logistics mwaka jana kabla sijamaliza chuo. At...
6 Reactions
17 Replies
331 Views
Watu wengi wanazani kila AI inaweza kumsaidia anacho kifikiri au akitakacho kumbe sio. AI nyingi zinatifautiana kwa jinsi zilivyoundwa au uchakataji wake wa data a logarithm. Kuna AI zipo kwa...
4 Reactions
9 Replies
420 Views
Ili kupata uzoefu wa simu za kiwango cha juu (flagship) nchini Tanzania kwa mwaka 2026, Samsung Galaxy S26 Ultra ndiyo chaguo namba moja. Inapatikana madukani kwa makadirio ya TZS 3,500,000 (GB...
5 Reactions
21 Replies
4K Views
🚨 UKWELI MCHUNGU: Usinunue TV Tanzania Kabla Hujausoma Mchanganuo Huu! 📺⚠️ Kununua TV siku hizi imekuwa kama kamari. Kwenye duka moja unakuta TV kumi, zote zinaonyesha picha inayofanana, lakini...
20 Reactions
45 Replies
1K Views
[Swahili] Katika video hii, wataalamu kutoka OpenAI wanatambulisha kizazi kipya cha ChatGPT Voice (GPT Live 1), teknolojia inayobadilisha namna tunavyoingiliana na mashine. Tofauti na mifumo ya...
0 Reactions
1 Replies
102 Views
Kwa wale wenzangu na mimi wazee wa kuchizika sana na mipira....najua tunavyopata tabu kulipia DSTV kuangalia mipira mbalimbali ya ulaya..vifurushi bei ghali, inatulazimu tu kwenda kuangalia kwenye...
6 Reactions
76 Replies
16K Views
Wakuu nahitaji msaada wenu nifunge notification za whatsapp mana kila waka zinapiga makele mpaka mb zikate NIFANYEJE?
0 Reactions
7 Replies
148 Views
Je, unatumia kifaa cha Android? Je, unatafuta mbadala wa WhatsApp baada ya kuitumia kwa muda mrefu? Ndiyo, inawezekana, ukiwa na Kifaa cha Android iwe Simu, Tablet huna ulazima wa ku download...
3 Reactions
47 Replies
3K Views
Lengo nikutumia king'amuz cha antena kwenye mkoa ambapo kuna huduma ya ving'amuz vya dishi tu sasa je dish litafanya kaz kwenye dekoda ya antena (AZAM TV)
4 Reactions
3 Replies
147 Views
Habari za Midaa Wadau!! Mtaalamu wa computer anisaidie, nimepata changamoto. Daaah, laptop yangu inagoma kuwaka Adapter Iko gudi tu, ni Dell
1 Reactions
11 Replies
907 Views
JINSI YA KULIFANYA JOKOFU (FRIDGE) LAKO LIDUMU MIAKA 10+ Watu wengi hununua friji na kuliacha tu jikoni hadi pale linapoacha kupoza. Ukweli ni kwamba, friji ni kama gari; lisipopata "service"...
11 Reactions
18 Replies
475 Views
Eti wadau Samsung A35 5G 6/128 shngapi kwenye box?? Kuna mtu anataka kuniuzia hapa mpya
2 Reactions
2 Replies
184 Views
Katika Uzi huu tujadili printer nzuri za kuprint kwa level za stationery mpaka viwanda vidogo Vidogo au kampuni za kufanya printing. Tujadili na kuuliza maswali kuhusu aina ya printer, ubora ...
5 Reactions
138 Replies
6K Views
Nipe simu hiyo faster Ili nitembee mbele
4 Reactions
38 Replies
944 Views
Nina shida na Microsoft office suite iliokamilika. Kama kuna link au source
1 Reactions
0 Replies
66 Views
Natafuta keyboard ya Dell laptop Latitude 5290 2-in-1, kwa anayeuza au taarifa wapi naweza kuipata, itanisaidia.
0 Reactions
1 Replies
72 Views
Jaman nahitaj kujua Hadi sasa ni aina ngapi za AI zinazotumika Tanzania
0 Reactions
4 Replies
235 Views
Wakuu, nina tatizo la kupata verification code kutoka Apple, vipi kwa waliokumbana na changamoto hii wamefanyaje? Nimekwama .
0 Reactions
2 Replies
67 Views
Nimekuja kuuliza tena hii ishu. Kuna data za muhimu sana zimekufa na hard drive. Je kuna hapa tuna data recovery centre? Centre ya wale wataalamu wenye maabara kabisa. Kama hawa jamaa...
0 Reactions
15 Replies
930 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…