Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habar Za midaa Hii wana jamvii??? Huu ni uzi maalum kwa ajili ya tecno kama heading inavojieleza. Wengi wetu humu tunatumia tecno wereva. Basi tushirikishane kwenye uzuri, ubovu na matatizo ya...
6 Reactions
239 Replies
51K Views
Leo kuna project (coding) nilikuwa naifanya, ilikuwa ni mabadiliko kwenye Next.js ili website iweze ku-display phonetic transcription. Ni kazi ndogo tu ila kwasababu ilikuwa inahitaji changes...
15 Reactions
24 Replies
1K Views
Tiktok inatuwezesha tufahamiane. Inafununua uwezo wa binadamu bila mipaka, anadhihirisha na kubainisha uwezo halisi na kuchuja propaganda. Injinia huyu ni kielelezo cha uwezo wa vijana wa...
1 Reactions
1 Replies
301 Views
Wataalam wadau wa jukwaa hili. Sina mengi ya kueleza, ila kama kuna mdau anajua duka ninaloweza kupata Floppy disk drive naomba anielekeze, nipo DSM. Asante sana kwa ushirikiano.
0 Reactions
2 Replies
295 Views
Good Morning my dear brothers and sisters out there. (1) Kwanini mitandao ya simu (mfano Tigo Yas) wanatumia codes mbili yaani 0717****** pamoja na 0654******?? Kwanini ilishindikana kubaki na...
16 Reactions
100 Replies
8K Views
Software development ni jumla ya Juzi nyingi sana ukiachana na zile ndani ya Programming knowledge, Mtu anahitaji pia Tehama kiujumla na Mambo yake mengi na hata uwezo wa kusikiliza tatizo na...
0 Reactions
0 Replies
390 Views
SSD vs HDD: Tofauti Ambayo Watu 75% Hawaielewi – Na Inawagharimu Sana Katika dunia ya leo ya kidijitali, tunatumia laptop na kompyuta karibu kila siku. Lakini bado, asilimia kubwa ya watumiaji –...
1 Reactions
0 Replies
423 Views
Je, uhai lazima uwe na macho? Lazima utambe au uruke? Au unaweza kuwa kitu tulivu, kinachostawi gizani, kikienea polepole kwa mamia ya karne bila mtu yeyote kugundua? Katika simulizi ya ajabu ya...
0 Reactions
1 Replies
455 Views
Ramani za nyumba zilikuwa na chumba maalum cha computer Chumba cha computer kilikuwa na meza kubwa, screen yenye chogo, speaker mbili, mouse yenye mpira ndani, cpu yenye kitufe kikubwa cha...
4 Reactions
20 Replies
899 Views
Kama mnavyojua sikuhizi kupata charger original ya uhakika ni shida sana. Charger nyingi madukani humu zinaandikwa fast charger ila ukienda kuitumia ni matatzo tupu. Leo nitaelezea njia rahisi ya...
45 Reactions
65 Replies
15K Views
wajuzi tv aina ya zune ni bora nimeiona littlemore nikaipenda
0 Reactions
6 Replies
578 Views
Meta's Llama 4: Benchmark Controversies and Performance Challenges Audio: Meta's Llama 4_ Performance and Controversy Meta's Llama 4 series of large language models has generated significant...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari Wakubwa! Naitaji kujua hii biashara ya playstation digital games installation ni inafanyikaje?
1 Reactions
6 Replies
739 Views
Ni game iliyojizolea umaarufu hapa nchini, ningependa kuwajua mafundi wake watukutu
0 Reactions
2 Replies
383 Views
Habari zenu wadau. Nahitaji ram ddr2, 4GB kwa ajili ya laptop, HP 6930p. Kama upo mwanza ni vema zaidi, Ila hata maeneo mengine. Au kama unaweza kushauri karibu
0 Reactions
3 Replies
402 Views
𝗛𝗼𝘁𝗲𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝘄𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗶𝗻𝗮𝘆𝗼𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗔𝗻𝗴𝗮𝗻𝗶 𝗸𝘂𝘇𝗶𝗻𝗱𝘂𝗹𝗶𝘄𝗮 𝗠𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟳 𝗶𝘁𝗮𝗸𝘂𝗮 𝗶𝗻𝗮𝘇𝘂𝗻𝗴𝘂𝗸𝗮 𝗦𝗮𝘆𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗗𝘂𝗻𝗶𝗮 Inawezekana kwenye akili na macho yako utasema haiwezekani lakini kiuwalisia hakuna linaloshindikana...
1 Reactions
6 Replies
476 Views
Nimejaribu kukaa kupiga stories na hawa jamaa kwa kuuliza swali lile lile kwa kila mtu. Chatgpt Ana taarifa nyingi sana Ana kiswahili kimenyooka sana Ana kupa nafasi ya kutaka kujua zaidi...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
Watengenezaji wa betri wa China Betavolt wamezindua BV100, betri ya nyuklia ya ukubwa wa sarafu inayoendeshwa na isotopu ya nikeli-63 yenye mionzi, yenye uwezo wa kudumu kwa miaka 50 bila chaji au...
14 Reactions
79 Replies
3K Views
Hakuna siri duniani labda siri zako sehemu za siri. Simu janja zimekuwa zikikusanya umbeya kwenye maongezi na kukuletea udaku ambao kama utakuwa unapenda kuongelea nguo basi zile app au safu ya...
4 Reactions
8 Replies
580 Views
Kuna wakati huwa nakuwa sina office kwenye PC au natumia PC ya mtu nakuta nataka kuchapa kitu nakutana haina office. Option iliyopo ni kutumia Google Docs ambapo ntahitaji kusign in na vitu kama...
8 Reactions
8 Replies
537 Views
Back
Top Bottom