Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ninafikiria nitakapokuwa na makazi yangu ya kudumu niwe na chanzo cha nishati ya kupikia ya biogass (nimeshindwa kupata kiswahili chake), ila sina maarifa ya kutosha kuhusiana na chanzo hiki dhidi...
2 Reactions
37 Replies
19K Views
DNS Ad-Blocking Provider Analysis Provider Comparison Table Provider Primary/Secondary IPv4 Primary/Secondary IPv6 Ad-Blocking Efficacy Summary Privacy Policy Summary AdGuard DNS Primary...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Kampuni ya Xiaomi mara nyingi inakua ndo miongoni mwa brand za mwanzo sio za Google kuweza kutoa mfumo mpya wa Uendeshaji wa Android (Os) kwa vifaa vyake. Tayari Kampuni ya Xiaomi imeshatoa...
3 Reactions
13 Replies
980 Views
Wakuu naomba mnipe mwongozo wa simu ambayo angalau inaweza nisaidia kupiga picha nzuri za kupost mtandaoni bidhaa za duka walau nikapata quality inayokubalika kwa bajeti hiyo, asante!
2 Reactions
18 Replies
1K Views
HATARI TATU KUBWA ZA KIUSALAMA NA UTENDAJI NDANI YA SIMU ZA ANDROID – NA NAMNA YA KUZIKABILI KITAALAMU Imeandikwa na Goodluck Maleko J Katika dunia ya sasa ya kidigitali, simu janja (smartphones)...
2 Reactions
0 Replies
354 Views
Wasalaam wakuu, Uzi huu utumike kupashana habari kuhusu epson printers, iwe ushauri, au kutatua matatizo mbalimbali ya hizi printer, basi taarifa zake zikusanyike hapa kuwasaidia watumiaji wengi...
4 Reactions
229 Replies
37K Views
Unataka kipato cha pembeni bila kuwa na ujuzi mkubwa wa teknolojia? Karibu kwenye ulimwengu wa Canva — zana rahisi inayokuwezesha kutengeneza miundo mizuri na kuuza huduma zako mtandaoni au kwa...
1 Reactions
0 Replies
487 Views
Aliyeunda VLC Media Player aliwahi kupewa ofa ya mamilioni ya dola ili aiuze programu hiyo, ambayo ingegeuzwa kuwa ya kulipia na yenye matangazo. Lakini alikataa! akaamua ibaki bure kwa watumiaji...
8 Reactions
17 Replies
763 Views
FAHAMU KWA UNDANI IP ADDRESS NI NINI NA INA UMUHIMU GANI KATIKA MTANDAO? Huwezi kuwasiliana kwenye intaneti bila ‘kitambulisho’. IP address ndicho kitambulisho hicho kimya, lakini cha msingi...
3 Reactions
4 Replies
694 Views
Kwanini teknolojia hii inafeli kwenye ubongo, ninamaanisha tunataka tufanye cloning ya mr X ili aweze kufanana na clone ya ubongo wake, kwa kila kitu
1 Reactions
0 Replies
281 Views
Taasisi ya Teknolojia Dar es salaam (DIT), ina mpango wa kurusha satellite 📡 yake ya kwanza angani ikiwa ni hatua inayotokana na kuongezeka kwa ujuzi , ubunifu na Teknolojia. Chuo cha DIT...
4 Reactions
37 Replies
1K Views
Kama unatafuta Social media manager nipo Dar es salaam, Mbezi - nasimamia mitandao ya kijamii pia naweza kusimamia tovuti (website) Facebook Instagram Twitter TikTok Na mitandao...
1 Reactions
2 Replies
221 Views
Maendeleo ya Teknolojia yanazidi kwenda Kasi ulimwenguni huku Tanzania kuleta Mabadiliko kadhaa kwenye sekta ya Tehama nchini. Kuna mambo mengi Tanzania inakwenda kufanya mwaka 2026 ambapo...
0 Reactions
4 Replies
792 Views
Habarini Za Mchana Huu , Poleni na majukumu , nimekuja kwenu WanaIT mnisaidie swala hili , maana swala hili limenishinda kwa kutumia mawazo yangu pekee. Majuzi kuna Hp Chromebook Ram 4 na...
0 Reactions
4 Replies
450 Views
Nazani umeshawahi kuliona neno ili LTE au LTE+ kwenye simu wakati umeshawa data unalikuta liko juu karibu na Alama hii 📶 kwenye simu yako. Unajua kwanini bando lako linakwisha haraka tu👋 Leo...
1 Reactions
11 Replies
614 Views
Wakuu, samahini nilikuwa naomba niuliza kwa wanaojuwa kati ya hizi programming skills job. 1. Full stack web developer, 2. Block chain developer, 3. Machine learning and Artificial intelligenece...
0 Reactions
5 Replies
900 Views
Wafanya biashara na wajasiria mali wengi Tanzania wanashindwa kutumia au wana chukulia wepesi kiungo hiki muhimu kwenye biashara na kampuni unapojitanabaisha kuwa wewe ni kampuni au biashara...
0 Reactions
3 Replies
282 Views
Habari wadau nataka ninunue simu mojawapo kati ya izi samsung a32 au redmi note 10 naomba ushauri nichukue ipi cc Chief-Mkwawa
3 Reactions
90 Replies
15K Views
Habari, Ni muda sasa nimekuwa nikifungiwa WhatsApp hadi natamani kuifuta kabisa, kila niki submit wanaifungua baada ya masaa 24 kisha haimalizi at a dakika 5 inafungiwa tena naomba msaada.
3 Reactions
60 Replies
3K Views
Unahitaji social media manager? nitakuwa natengeneza simple poster kuweka posts kwenye account kusimamia akaunti na mengineyo Mawasiliano: 0756704145 Eneo: Dar es salaam, Mbezi
0 Reactions
7 Replies
449 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…