Ninafikiria nitakapokuwa na makazi yangu ya kudumu niwe na chanzo cha nishati ya kupikia ya biogass (nimeshindwa kupata kiswahili chake), ila sina maarifa ya kutosha kuhusiana na chanzo hiki dhidi...
Kampuni ya Xiaomi mara nyingi inakua ndo miongoni mwa brand za mwanzo sio za Google kuweza kutoa mfumo mpya wa Uendeshaji wa Android (Os) kwa vifaa vyake.
Tayari Kampuni ya Xiaomi imeshatoa...
Wakuu naomba mnipe mwongozo wa simu ambayo angalau inaweza nisaidia kupiga picha nzuri za kupost mtandaoni bidhaa za duka walau nikapata quality inayokubalika kwa bajeti hiyo, asante!
HATARI TATU KUBWA ZA KIUSALAMA NA UTENDAJI NDANI YA SIMU ZA ANDROID – NA NAMNA YA KUZIKABILI KITAALAMU
Imeandikwa na Goodluck Maleko J
Katika dunia ya sasa ya kidigitali, simu janja (smartphones)...
Wasalaam wakuu,
Uzi huu utumike kupashana habari kuhusu epson printers, iwe ushauri, au kutatua matatizo mbalimbali ya hizi printer, basi taarifa zake zikusanyike hapa kuwasaidia watumiaji wengi...
Unataka kipato cha pembeni bila kuwa na ujuzi mkubwa wa teknolojia? Karibu kwenye ulimwengu wa Canva — zana rahisi inayokuwezesha kutengeneza miundo mizuri na kuuza huduma zako mtandaoni au kwa...
Aliyeunda VLC Media Player aliwahi kupewa ofa ya mamilioni ya dola ili aiuze programu hiyo, ambayo ingegeuzwa kuwa ya kulipia na yenye matangazo. Lakini alikataa! akaamua ibaki bure kwa watumiaji...
FAHAMU KWA UNDANI IP ADDRESS NI NINI NA INA UMUHIMU GANI KATIKA MTANDAO?
Huwezi kuwasiliana kwenye intaneti bila ‘kitambulisho’. IP address ndicho kitambulisho hicho kimya, lakini cha msingi...
Taasisi ya Teknolojia Dar es salaam (DIT), ina mpango wa kurusha satellite 📡 yake ya kwanza angani ikiwa ni hatua inayotokana na kuongezeka kwa ujuzi , ubunifu na Teknolojia.
Chuo cha DIT...
Kama unatafuta Social media manager nipo Dar es salaam, Mbezi
- nasimamia mitandao ya kijamii pia naweza kusimamia tovuti (website)
Facebook
Instagram
Twitter
TikTok
Na mitandao...
Maendeleo ya Teknolojia yanazidi kwenda Kasi ulimwenguni huku Tanzania kuleta Mabadiliko kadhaa kwenye sekta ya Tehama nchini.
Kuna mambo mengi Tanzania inakwenda kufanya mwaka 2026 ambapo...
Habarini Za Mchana Huu ,
Poleni na majukumu , nimekuja kwenu WanaIT mnisaidie swala hili , maana swala hili limenishinda kwa kutumia mawazo yangu pekee.
Majuzi kuna Hp Chromebook Ram 4 na...
Nazani umeshawahi kuliona neno ili LTE au LTE+ kwenye simu wakati umeshawa data unalikuta liko juu karibu na Alama hii 📶 kwenye simu yako.
Unajua kwanini bando lako linakwisha haraka tu👋 Leo...
Wakuu, samahini nilikuwa naomba niuliza kwa wanaojuwa kati ya hizi programming skills job.
1. Full stack web developer,
2. Block chain developer,
3. Machine learning and Artificial intelligenece...
Wafanya biashara na wajasiria mali wengi Tanzania wanashindwa kutumia au wana chukulia wepesi kiungo hiki muhimu kwenye biashara na kampuni
unapojitanabaisha kuwa wewe ni kampuni au biashara...
Habari,
Ni muda sasa nimekuwa nikifungiwa WhatsApp hadi natamani kuifuta kabisa, kila niki submit wanaifungua baada ya masaa 24 kisha haimalizi at a dakika 5 inafungiwa tena naomba msaada.
Unahitaji social media manager?
nitakuwa natengeneza simple poster
kuweka posts kwenye account
kusimamia akaunti
na mengineyo
Mawasiliano: 0756704145
Eneo: Dar es salaam, Mbezi