Hivi ni simu gani model ya Samsung galaxy nzuri yenye uwezo wa kupiga picha, kuitumia kama cctv na mambo mengine kama hayo?
Bei yake ni she ngapi?
Naomba kujua kwa anayeelewa please.
So kila siku nimekua nikipata zile “bro unajua sana” nakukubali sana , bro unajua blah blah…
Lakini ukweli ni kwamba it takes a lot kuwa consistent kushare #MadiniYaGaby.
Na si mimi tu — hii...
TikTok inakabiliwa na mgomo mkubwa wa wafanyakazi nchini Ujerumani hasa katika ofisi yake ya Berlin Kufuatia uamuzi wa kampuni hiyo wa kuwafuta kazi takriban wafanyakazi 150 kutoka idara ya "Trust...
Kuna Siri nyingi katika Dunia na ulimwengu wote, zilifichwa muda mrefu sana na mataifa machache, lakini muda mrefu ni mrefu kwetu sisi kutokana na ukomo wetu wa muda wa kuishi duniani ila kwa...
Kama kichwa cha uzi kinavyoeleza... nataka kuunda AI Wrapper itakayoelewa lugha za makabila zaidi ya 125 yanayopatikana Tanzania. Ukweli ni kwamba haitawezekana kwa makabila yote kutokana na aina...
Jinsi Wadukuzi Wanavyoficha Malware Kwenye JPG, PDF na Faili Nyingine
Kila siku tunabadilishana mafaili kama JPG, PDF na mengineyo bila hofu yoyote. Hata hivyo, ukweli ni kwamba faili...
Kuna kampuni chache duniani ambazo zimeacha alama ya kudumu kwenye historia ya biashara kama Coca-Cola. Ilichotengeneza siyo tu kinywaji, bali ni urithi wa kibiashara unaoendelea kufundisha...
"Torrents zinafanyaje kazi?" Ni swali ambalo wengi wamekuwa wakiuliza, hasa wale wanaodownload filamu, tamthilia, au programu kama Photoshop bila kulipia.
Katika uzi huu, nitakueleza kwa kina...
Habari wana JF,
Kuna jambo linanisukuma sana kulileta mezani leo.
Mara nyingi jamii huamini kuwa mtu asiyekuwa na uwezo wa kuona hawezi kutumia vifaa vya kidijitali kama smartphone au laptop...
Kwa wale wanaohitaji huduma ya PayPal #unataka KUTUMA au KUPOKEA pesa kupitia PayPal nipo hapa kukurahishia kazi, ni DM tu .
TRUST.. 💯✅
Hii ni kwa wale ambao hawana kabisa akaunti PayPal na...
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (Tcra) imetoa mwongozo mpya itakayoweza kubadilisha namna ambavyo Watanzania wanavyopata huduma za simu.
🗯️ Mwongozo mpya utoaji wa mawasiliano ya moja kwa moja...
Kweli muda unakimbia sana 🕦, kutoka Kuwa movie mpaka maisha Halisi watu watakua na uwezo wa kufunga ndoa na maroboti wa Ai, na Roboti zitakua na uwezo wa kubeba Mimba.
China iko kwenye mpango wa...
Wakuu habari za wakati huu? Moja kwa moja niende kwenye mada. Kwa dunia ya sasa internet imekuwa ni moja kati ya basic needs kama ilivyo chakula, mavazi na malazi. Lakini changamoto kubwa hasa kwa...
The (unofficial) hub for #teampixel and #madebygoogle fans on Jamiiforums. Find support, discover the latest updates, and connect with others in the dedicated sub-jamiiforums community for google...
Tatizo la SHG03 – Simu Haioneshi Network Baada ya Kutumika na Mtu Mwingine
Maelezo:
Habari wenzangu,
Nina tatizo na simu yangu ya Sharp Aquos SHG03. Nilikuwa nikiitumia kwa Vodacom/Tigo, kisha...
Technical Report: Large-Scale Display Systems for Exhibitions and Church Services
Executive Summary
Large-scale display systems used in outdoor exhibitions and church services primarily utilize...