Hii simu ilivunjika display kama miezi minne iliyopita. Jana nikaweka kioo kipya. Simu inawaka vizuri ila inadai niweke PIN ambayo naweka ila inaniandikia Pin required after divice restarts. Nikii...
Naitaji kununua na nimeiona dukani ila ni simu za mda mrefu sana, so najiuliza na naomba mnisaidie watu wa tech, je ni bora na zinafanya kazi vizuri tu au ninunue tecno ya elfu 20?!
Unataka kuangalia nyumbani kwako ukiwa kazini au shuleni? Hakuna haja ya kununua CCTV ya bei ghali!
Tumia simu ya zamani kama kamera ya ulinzi kwa kutumia app moja rahisi sana:
App: Alfred...
Wakuu mwaka 2025, zana za akili mnemba (AI) imechukua kasi kubwa kwenye kazi zetu za kila siku kuanzia kuandika, kutengeneza picha, hadi sauti na mawasilisho.
swali kubwa linabaki: Je, ni bora...
Jinsi ya Kubadilisha Apple ID Email Yako — Hatua kwa Hatua Bila Stress (2025 Guide)
It's MalekoGJ
Kama wewe ni mtumiaji wa iPhone, iPad au huduma nyingine za Apple kama iCloud, iMessage na App...
Amani iwenanyi 🤝🏽:
>Shirika la utafiti wa ulinzi la Marekani (DARPA) limefanikiwa kutuma umeme wa 800 watts kwa umbali wa zaidi ya kilomita 8 bila kutumia waya wowote.
Mradi huu wote umefanikiwa...
Habari JF:
Nataka kusajili Paypal kwa namba ya Oman nikiwa Tanzania, ila nikishafika kwenye kipengele cha kuweka namba ya simu nikiiweka na kuruhusu hatua inayofuata haiendelei, yaan niki click...
Guys Leo nimeona nizungumzie kuhusu air defense system ambazo Rwanda Wana deploy.
Asilimia kubwa ya system ambazo ziko public Rwanda anazinunua zinatoka Russia lakini watz wengi wamekua na hofu...
Huna haja ya kuinstall software kila PC
Ama kama kila mara ku-install software ukibadilisha computer, Hata nikiazima PC ya mtu huwa natumia software zangu kama zilivyo
Kuna life hack ya techies...
Utangulizi
Pi Coin ni mradi wa kifedha ambao umepata umaarufu mkubwa tangu ulipoanzishwa mwaka 2019. Wanaounda Pi Coin wanadai kuwa ni sarafu ya kidijitali inayoweza kuchimbwa (mined) kwa kutumia...
Kuna mambo kadhaa ambayo yanaathiri download speed yako au more generally your internet speed.
leo hapa nimeamua ku share some tips and tricks ambazo zinaweza kukupunguzia maumivu...
Wadau ni muda umepita sasa Bila kugusia sarafu bandia, lakini ni wakati sasa wa kuangalia kuhusu hizi sarafu bandia na wengi mnaoelewa muwaepushe watanzania na ponzi scheme.
Jambo kubwa naweza...
Habari,
karibu katika thread hii ambayo tutaweza kujifunza ,Adobe photoshop kupitia njia rahisi kabisa ambayo itakuwa ikitumia hususan sana lugha yetu pendwa ya kiswahili. Utakapomaliza utaweza...
Habari za mchana wakuu.
Please naomba msaada kwa anaejua maana imekuwa kero kwa kelele,Jiko ni aina ya WESTPOINT mafiga mawili lina miaka mitatu sasa.
Tatizo lipo hapa yaani kila ukiliwasha...
Jinsi ya Kurekebisha Windows Bila Kupoteza Faili Zako Unahitaji tu USB Drive
Kompyuta yako haifunguki tena? Unakutana na Blue Screen of Death kila unapo-washa? Usikate tamaa. Unaweza...
Mfumo Bora wa Billing, Receipt na Invoice kwa Biashara Ndogo Nchini Tanzania (Bila Kulipia App)
Na MalekoGJ
Katika mazingira ya biashara ndogo Tanzania, kuna dhana iliyoenea kuwa ili kuendesha...
🛰️ JINSI YA KUTRACK LOCATION YA MTU KWA KUTUMIA SIMU YAKO (YOUR DEVICE) 🚀🔥
📌 Kabla ya Kuanza:
Ni muhimu kufanya tracking kwa ruhusa ya muhusika ili kuepuka masuala ya faragha na sheria. 🙌
---
📍...
hey guys ......
Thefreedom is here ........
leo nipo hapa kuwaonesha na kuwafunza hasa kwa wale watanzania wezangu ambao hawana kabisa knowledge na hacking. Sasa leo nimekuja kuwafunza kitu...
Thamani ya utajiri wa Mark Zuckerberg, imepanda baada ya kuongezeka kwa hisa zake ambazo zimemfanya kuingiza Dola Bilioni 26 sawa na Trilioni 65 kwa siku moja (Saa 24).
Unaambiwa mapato hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.