Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hii simu ilivunjika display kama miezi minne iliyopita. Jana nikaweka kioo kipya. Simu inawaka vizuri ila inadai niweke PIN ambayo naweka ila inaniandikia Pin required after divice restarts. Nikii...
3 Reactions
8 Replies
377 Views
Naitaji kununua na nimeiona dukani ila ni simu za mda mrefu sana, so najiuliza na naomba mnisaidie watu wa tech, je ni bora na zinafanya kazi vizuri tu au ninunue tecno ya elfu 20?!
2 Reactions
6 Replies
396 Views
Unataka kuangalia nyumbani kwako ukiwa kazini au shuleni? Hakuna haja ya kununua CCTV ya bei ghali! Tumia simu ya zamani kama kamera ya ulinzi kwa kutumia app moja rahisi sana: App: Alfred...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu mwaka 2025, zana za akili mnemba (AI) imechukua kasi kubwa kwenye kazi zetu za kila siku kuanzia kuandika, kutengeneza picha, hadi sauti na mawasilisho. swali kubwa linabaki: Je, ni bora...
17 Reactions
35 Replies
3K Views
Jinsi ya Kubadilisha Apple ID Email Yako — Hatua kwa Hatua Bila Stress (2025 Guide) It's MalekoGJ Kama wewe ni mtumiaji wa iPhone, iPad au huduma nyingine za Apple kama iCloud, iMessage na App...
0 Reactions
0 Replies
404 Views
Amani iwenanyi 🤝🏽: >Shirika la utafiti wa ulinzi la Marekani (DARPA) limefanikiwa kutuma umeme wa 800 watts kwa umbali wa zaidi ya kilomita 8 bila kutumia waya wowote. Mradi huu wote umefanikiwa...
0 Reactions
4 Replies
302 Views
Habari JF: Nataka kusajili Paypal kwa namba ya Oman nikiwa Tanzania, ila nikishafika kwenye kipengele cha kuweka namba ya simu nikiiweka na kuruhusu hatua inayofuata haiendelei, yaan niki click...
3 Reactions
11 Replies
624 Views
Guys Leo nimeona nizungumzie kuhusu air defense system ambazo Rwanda Wana deploy. Asilimia kubwa ya system ambazo ziko public Rwanda anazinunua zinatoka Russia lakini watz wengi wamekua na hofu...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Huna haja ya kuinstall software kila PC Ama kama kila mara ku-install software ukibadilisha computer, Hata nikiazima PC ya mtu huwa natumia software zangu kama zilivyo Kuna life hack ya techies...
2 Reactions
2 Replies
489 Views
Utangulizi Pi Coin ni mradi wa kifedha ambao umepata umaarufu mkubwa tangu ulipoanzishwa mwaka 2019. Wanaounda Pi Coin wanadai kuwa ni sarafu ya kidijitali inayoweza kuchimbwa (mined) kwa kutumia...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna mambo kadhaa ambayo yanaathiri download speed yako au more generally your internet speed. leo hapa nimeamua ku share some tips and tricks ambazo zinaweza kukupunguzia maumivu...
6 Reactions
13 Replies
3K Views
Wadau ni muda umepita sasa Bila kugusia sarafu bandia, lakini ni wakati sasa wa kuangalia kuhusu hizi sarafu bandia na wengi mnaoelewa muwaepushe watanzania na ponzi scheme. Jambo kubwa naweza...
1 Reactions
2 Replies
409 Views
Habari, karibu katika thread hii ambayo tutaweza kujifunza ,Adobe photoshop kupitia njia rahisi kabisa ambayo itakuwa ikitumia hususan sana lugha yetu pendwa ya kiswahili. Utakapomaliza utaweza...
5 Reactions
28 Replies
15K Views
Habari za mchana wakuu. Please naomba msaada kwa anaejua maana imekuwa kero kwa kelele,Jiko ni aina ya WESTPOINT mafiga mawili lina miaka mitatu sasa. Tatizo lipo hapa yaani kila ukiliwasha...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Jinsi ya Kurekebisha Windows Bila Kupoteza Faili Zako Unahitaji tu USB Drive Kompyuta yako haifunguki tena? Unakutana na Blue Screen of Death kila unapo-washa? Usikate tamaa. Unaweza...
2 Reactions
3 Replies
584 Views
Mfumo Bora wa Billing, Receipt na Invoice kwa Biashara Ndogo Nchini Tanzania (Bila Kulipia App) Na MalekoGJ Katika mazingira ya biashara ndogo Tanzania, kuna dhana iliyoenea kuwa ili kuendesha...
2 Reactions
1 Replies
490 Views
🛰️ JINSI YA KUTRACK LOCATION YA MTU KWA KUTUMIA SIMU YAKO (YOUR DEVICE) 🚀🔥 📌 Kabla ya Kuanza: Ni muhimu kufanya tracking kwa ruhusa ya muhusika ili kuepuka masuala ya faragha na sheria. 🙌 --- 📍...
7 Reactions
28 Replies
5K Views
kuna application gani au jinsi gani ya kufanya ili niweze kupata sms na simu anazopigwa mtu mwingine zije na kwangu mim?
3 Reactions
57 Replies
232K Views
hey guys ...... Thefreedom is here ........ leo nipo hapa kuwaonesha na kuwafunza hasa kwa wale watanzania wezangu ambao hawana kabisa knowledge na hacking. Sasa leo nimekuja kuwafunza kitu...
9 Reactions
90 Replies
12K Views
Thamani ya utajiri wa Mark Zuckerberg, imepanda baada ya kuongezeka kwa hisa zake ambazo zimemfanya kuingiza Dola Bilioni 26 sawa na Trilioni 65 kwa siku moja (Saa 24). Unaambiwa mapato hayo...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Back
Top Bottom