Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nimetumia neno UPDATE kwenye heading sababu wengi ndio tumelizoea, lakini hasa nitazungumzia UPGRADE. Japokua vyote vinalenga katika kuleta mabadiliko kwenye kifaa chako(hapa nitazungumzia simu...
38 Reactions
45 Replies
10K Views
Habari za wakati huu wakuu, naomba kuuliza Kwa mwenye ufahamu na Swalla hili. Juzi kati nilikutana na link mtandaoni wanauza simu, computer pamoja na bidhaa nyingine za kieletroniki, nikajaribu...
1 Reactions
8 Replies
637 Views
China's Xiaomi Leads Asian Low-Cost Smartphone Drive Agence France-Presse, May 12, 2014 inShare1 Xiaomi may be little known outside China, but the fast-growing smartphone maker is...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za sasa hivi jamani. Msaada nahisi kuna mtu nahisi anatrack sms zangu na calls je kunanjia au codes anaweza fanya ilikujiondoa
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Naombeni msaada, Nina simu aina ya AQUOS zero 801SH, nadhani Kuna settings nilifanya bila kujua, Sasa hivi nikiwasha data simu inakuwa inajirestart mara Kwa mara, mpaka inaboa. Naomba mwenye ujuzi...
0 Reactions
1 Replies
952 Views
Wakuu kwema, Nina samsung a20s nimeitumia kama miez 3 sasa nikaona niireset ianze upya tena coz ilikuw na vitu vingi Sasa kimbembe kimekuja baada ya kereset, haisomi laini inaandika emergency...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za siku wakubwa. Naombeni mnishauri nina bajeti ya 450k nichukue simu gani kwenye Brand kati ya Samsung na nyinginezo na brand ipi Samsung ni the Best? NB: Sihitaji iPhone
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Saalam wakuu, Naomba kuelekezwa mahali zinapopatikana Phone holder stands for video recording kwa Dar na range ya bei zake.
0 Reactions
1 Replies
605 Views
Haka ka-simu asha 200 kuna kidude kinadisplay kwa juu kama ume-plug earphone hata hakuna earphones Naomba step za kukitoa pls no MAWASILIANO kabisa.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu. Kuna apps ambazo unaweza kuzitumia zikakuonesha aliyeimba huo Wimbo na jina la Wimbo pia. Sasa, vipi kwa video clip ambayo naiangalia lakini siifahamu nitatumia app gani...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Utafiti uliofanywa na Chuo cha Tsinghua cha Nchini China ikishirikiana na Kituo cha Kupambana na Magonjwa nchimi humo umebainisha virusi hivyo hubadilisha harufu ya binadamu na panya...
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Habari wadau, Naomba msaada wenu mnishauri simu ya kununua nikizingatoa zaidi ram, rom, battery. Ushauri wenu please.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa hapa nchini. Au mpaka kuagiza? Naona features&specifications zimenivutia. Screen kubwa 6.8 Battery kubwa 5000 (japo charger watts ndogo) Storage na RAM Muundo wake unavutia. Nn.k Sasa naomba...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Tumekuandalia saketi bora ikiwa na sifa zifuatazo. Inatengenezeka kirahisi sana kwani haina mavitu mengi kama zile za mchina. Ina nguvu ya kutosha kama ni 200 watts basi ni kweli kabisa Tunapokea...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wakuu..natafuta housing,keybord ikiwezekana na battey za Laptop aina ya Fujitsu lifebook T5010.Kwa yeyote atakayeweza kunipatia au kama unajua ambapo naweza kupata,natanguliza shukrani.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Najua kuna umuhimu mkubwa sana wa kulinda simu kwa password sio kwa WEZI tu ila kulinda data zangu pia. Ila niwape taarifa wezi wote wa simu kwamba, mkiiba simu yangu hamtapata shida ya kwenda...
0 Reactions
6 Replies
883 Views
Salamu zangu ziwafikie wote walio jaliwa afya njema na pole kwa ndugu zangu wanao pitia wakati mgumu kiafya hasa wenye homa kali na mafua. Niende kwenye mada nisiwachoshe Sana ndugu zangu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu naangaika kupata idea ya kuanzisha digital platform ambayo itakuwa msaada kwa wanafunzi wa ngazi zote kuanzia primary mpaka university. Nataka iwe ya tofauti kidogo isifanane na shule...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Wanasayansi wa China wamejisifu ktengeneza super computer ambayo ina akili bandia na uwezo sana na akili ya mwanadamu. Komputer hiyo ina storage na memory ya kutosha. Na wengine mmezoea quad...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, nina TV pamoja na desktop computer, nikiunganisha vifaa hivi kwa kutumia HDMI Cable, nina uwezo wa kutumia TV kama monitor, ila sasa mtihani ni kuwa nahitaji pia vile vile kuona...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…