Wana tech Salam..
Nimekuwa nikipokea maoni mbalimbali juu ya mambo haya ya IT kuwa vijana wanaotoka udom wapo vizuri Sana kwenye nyanja hii.
Juzi nilikuwa na rafiki angu mmoja kutoka crdb makao...
Ni aina ya hisense inakula unit 113 kwa mwaka. Waranty mwaka mmoja. Bei 400,000.
Ni yale madogo tu nahitaji kwajili ya matumizi ya geto.
Sasa nimeona kabla ya kulinunua nije nichukue kwanza...
Natafuta hyo DISPLAY CABLE ya Lenovo
Msaada pakuipata
Nipo moshi nimezunguka bila mafanikio
...
Hii laptop inawaka ila haisomi HARD DISK.. naombeni ushauri wana JF
Habari wakuu, straight to the topic,
Mimi ninatumia king'amuzi kimoja cha Azam sasa soon nataka ku-uprade TV ya sitting room niweke kubwa zaidi halafu iliyopo niiweke chumbani kwangu.
Sitaki...
Miaka 12 iliyopita nikiwa nakaribia maliza chuo nlinunua vifaa kadhaa vya kuniwezesha kufanya final graduate project, pia kuanzisha electronics lab nyumbani.
Mipango ilikuwa mingi na ndoto...
Je, zinafanya kazi baada ya kuchomeka ATM CARD Au muda wowote zinafanya kazi?
Sina nia mbaya kuna rafiki yangu aliingia ATM akakuta hela mtu alitoa lakini ilichelewa hadi huyo mtu akaondika sasa...
Habari zenu wakuu,
Nina tatizo la network hapa nyumbani kwangu maeneo ya sebleni kwangu na chumbani kwangu ambako ndiko natumia internet.
Sasa kuna sehemu ya nje ni kama kibanda kisicho na...
Habari za wakati huu ndugu wanajamvi pendwa la Technology.
Mimi ni Mtu ambaye napenda sana kuandika na kusoma mambo mbali mbali hada mtandaoni. Nikiwa chuo mwaka wa Kwanza 2013, wakati nafundishwa...
Katika kujitutumua na vikwazo vya USA Huawei walikuja na Os Yao ya Harmony Kwa ajili ya simu.
Huawei waliisifia OS Yao kuwa iko fasta kuliko android na baadhi ya wachambuzi waliona OS ya Huawei...
Kampuni kubwa ya Kijapani HITACHI imetengeneza chip ndogo kabisa na nyembamba Zaidi aina ya Radio Frequency Identification (RFID) iliyopewa jina la utani "Poda" au "Vumbi". Ina size ya milimita...
Habari za asubuhi wadau kuna shida imejitokeza baada ya kuweka gcam 8.2 kwenye Xiaomi Redmi 10c kila nikipiga picha zinatoka zikowa na rangi ya kijani
Nawezaje kusolve tatizo hili
CC.Chief...
TAFADHALI ZINGATIA MADA HUSIKA NA UWEKE PICHA SAHIHI
Natamani kuona home screens za simu za member wa JF zinaonekanaje.Una manage vipi home screen ya sim yako?unapangaje vitu au unaweka weka apps...
Hapa nazungumzia simu ambayo ukipiga picha, iwe kwa front camera ama real camera kitu inatoka o.g, yaani kama uhalisia, ukisema hii ni camera, iwe camera kweli kweli!
Na pia simu ambayo display...
Wakuu habari za muda huu poleni kwa mihangaiko ya kila siku katika jukumu la kujenga familia na taifa kwa ujumla.
Moja kwa moja niende kwenye swali langu naombeni msaada najua hapa kuna manguli...
Habari wadau,
Mimi hata sitaki maneno meng in short ni kwamba nina kaz kubwa nataka kuprint ila uwezo wa kumudu wino wa laki 7 sina naombeni msaada wapi naweza kupata wino fake
Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.