Bloggers naomba mnisaidie, mie Blogger Mpya

Bloggers naomba mnisaidie, mie Blogger Mpya

Redpanther

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
3,040
Reaction score
4,292
Habari za wakati huu ndugu wanajamvi pendwa la Technology.
Mimi ni Mtu ambaye napenda sana kuandika na kusoma mambo mbali mbali hada mtandaoni. Nikiwa chuo mwaka wa Kwanza 2013, wakati nafundishwa jinsi ya kutengeneza Blog nilianza harakati za kutengeneza Blog.
Hiyo Blog imebaki dormant kwa muda sana pamoja na kuwa na post kadhaa maana sikujua namna ya kuifanya iwe Available kwenye kwenye SE lakini baadae 2018 nikiwa nimemaliza Chuo, niko Intern nikaanza harakati za kuweka makala mbali.

Baada ya kukazana, Nimekuja kuweka Post yangu very interesting, ndani ya siku moja nikapata visitors 350 na mpaka sasa Blog yangu ATV 29k. Nikataka nijisajili Google ads ili nianze kulipwa baada ya Kui connect account yangu waneniambia Haijafuata taratibu zao ambapo wao wanataka lugha ya kuweka Post iwe English na zingine ambazo wao wamepitisha.
Mimi pia ni mtembeleaji wa Website zingine zinazotumia lugha ya Kiswahili kama lugha ya Maudhui na wana Ads zipo pale na zina Float.

Hebu nisaidie basi nijue nini cha kufanya ili namimi nianze kupata kifuta Jasho. Mnaweza kuanza kuweka ads kwenye website zenu zenye lugha ya Kiswahili.

Nawasilisha
 
Habari za wakati huu ndugu wanajamvi pendwa la Technology.
Mimi ni Mtu ambaye napenda sana kuandika na kusoma mambo mbali mbali hada mtandaoni. Nikiwa chuo mwaka wa Kwanza 2013, wakati nafundishwa jinsi ya kutengeneza Blog nilianza harakati za kutengeneza Blog.
Hiyo Blog imebaki dormant kwa muda sana pamoja na kuwa na post kadhaa maana sikujua namna ya kuifanya iwe Available kwenye kwenye SE lakini baadae 2018 nikiwa nimemaliza Chuo niko Intern nikaanza harakati za kuweka makala mbali.
Baada ya kukazana, Nimekuja kuweka Post yangu very interesting, ndani ya siku moja nikapata visitors 350 na mpaka sasa Blog yangu ATV 29k. Nikataka nijisajili Google ads ili nianze kulipwa baada ya Kui connect account yangu waneniambia Haijafuata taratibu zao ambapo wao wanataka lugha ya kuweka Post iwe English na zingine ambazo wao wamepitisha.
Mimi pia ni mtembeleaji wa Website zingine zinazotumia lugha ya Kiswahili kama lugha ya Maudhui na wana Ads zipo pale na zina Float.
Hebu nisaidie basi nijue nini cha kufanya ili namimi nianze kupata kifuta Jasho. Mnaweza kuanza kuweka ads kwenye website zenu zenye lugha ya Kiswahili.
Nawasilisha
Ku-monetize website sio lazima iwe Kwa ads, unaweza ukawa unauza kitu kama hutaki kutumia English
 
Google sasahivi wamebadilisha sana policy zao kati ya lugha ambazo hazikubaliki na google ads ni kiswahili kwa sababu ya Low number of advertiser wanaopeleka matangazo yao kwa kiswahili .

Pia kwa Tanzania hamna makampuni wanaouza matangazo yao kwa wingi huko google.Unachotakiwa kufanya ni kuandika taarifa zako kwa kingereza utachanganya post pale utakapokubaliwa kuoneshwa matangazo,kwa sasa weka posts za kingereza kwanza mpaka matangazo yakubaliwe kwanza.
 
Google sasahivi wamebadilisha sana policy zao kati ya lugha ambazo hazikubaliki na google ads ni kiswahili kwa sababu ya Low number of advertiser wanaopeleka matangazo yao kwa kiswahili .

Pia kwa Tanzania hamna makampuni wanaouza matangazo yao kwa wingi huko google.Unachotakiwa kufanya ni kuandika taarifa zako kwa kingereza utachanganya post pale utakapokubaliwa kuoneshwa matangazo,kwa sasa weka posts za kingereza kwanza mpaka matangazo yakubaliwe kwanza.

Ahsante Mkuu.
 
Habari za wakati huu ndugu wanajamvi pendwa la Technology.
Mimi ni Mtu ambaye napenda sana kuandika na kusoma mambo mbali mbali hada mtandaoni. Nikiwa chuo mwaka wa Kwanza 2013, wakati nafundishwa jinsi ya kutengeneza Blog nilianza harakati za kutengeneza Blog.
Hiyo Blog imebaki dormant kwa muda sana pamoja na kuwa na post kadhaa maana sikujua namna ya kuifanya iwe Available kwenye kwenye SE lakini baadae 2018 nikiwa nimemaliza Chuo, niko Intern nikaanza harakati za kuweka makala mbali.

Baada ya kukazana, Nimekuja kuweka Post yangu very interesting, ndani ya siku moja nikapata visitors 350 na mpaka sasa Blog yangu ATV 29k. Nikataka nijisajili Google ads ili nianze kulipwa baada ya Kui connect account yangu waneniambia Haijafuata taratibu zao ambapo wao wanataka lugha ya kuweka Post iwe English na zingine ambazo wao wamepitisha.
Mimi pia ni mtembeleaji wa Website zingine zinazotumia lugha ya Kiswahili kama lugha ya Maudhui na wana Ads zipo pale na zina Float.

Hebu nisaidie basi nijue nini cha kufanya ili namimi nianze kupata kifuta Jasho. Mnaweza kuanza kuweka ads kwenye website zenu zenye lugha ya Kiswahili.

Nawasilisha

Hongera sana mkuu!!
Mimi pia nina ndoto ya kufanya blogging

Ila sijatengeneza kama ww
nimepata link nikafungua blog
na hiyo blog domain n ya kulipia kwa mwaka

had sasa nna visitor 30
Natia huruma ila bado najipanga
lengo ni kupanua uelewa wangu juu ya haya mambo ya blog
 
Back
Top Bottom