Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu msaada kidogo hapa,,, nimenunua hii Simu S6 Ila nilijaribu kuweka line yangu haisomi.. tatizo nini wadau nashindwa kuelewa kabisa.. Simu hii ni Used, nadhan zinajulikana yaan zimetumika...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Naomba namna ya kutengeneza account hapa nashindwa. Inakuja kwenye I am robot nashindwa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu je nafanyaje ili niweze kuangalia match live kwenye tv kwa kutumia internet ingawa tv yng sio smart tv ila hapa nilipo naangalizia kwenye simu tu mpira kwa kutumia app ya yacine tv...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari naomba anejua namna ya Kupata Copy ya kitambulisho cha NIDA anipatie ma elekezo namna ya kukipata hio copy
0 Reactions
2 Replies
850 Views
Habari! Poleni kwa kazi Naomba mnisaidie kuhusu unit za umeme.Je n hak kulipa 7000 kwa units 20? Nmetumia kwa muda wa mwez 1 na wiki kama 1.Mchana huwa cshind ghetto. Natumia pas ya umeme kwa...
5 Reactions
57 Replies
6K Views
Wadau habari, Naomba kujuzwa ni ipi Best Application nzuri kwenye simu yakudownload any mp3 music ziende direct kwenye simu nasio kubaki kwenye app NB. Natumia Android phone Ahsanteni
0 Reactions
10 Replies
1K Views
kama ulikuwa na file zako ghafla hazionekani tena na hauja zi delete.na pia ume show all folders bado hazionekani ni kwamba kuna virus wame yaficha hayo mafile .njia ntakayo onesha ina rudisha...
2 Reactions
10 Replies
10K Views
habarini wakuu kuna site inaitwa youtube-aq.xyz hawa jmaa wana lipa watu kwa ku watch ads video kweny site yao na ukijiunga unapewa bonus ya $25 lakn nmeingiwa na mashaka makubwa sana baada...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinajieleza hapo mjuzi wa mifumo hii na anauwezo wa kuunda aje pm tuyajenge
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu, Uhacker ni kipaji cha kuzaliwa au ni kitu chakujifunza!? Kama ni cha kujifunza nisome kozi gani ili niweze kuwa hacker!?
2 Reactions
142 Replies
26K Views
WORLD IS GOING CRAZY,MURDERS,SUICIDES,IMMORALITY AND OTHER UNEXPLAINED BEHAVIOURS AND DECISIONS ARE ALL AROUND US.COULD GALACTIC, SOLAR AND GEOPHYSICAL INFLUENCES ON HUMAN BEHAVIOR BE...
0 Reactions
2 Replies
617 Views
Wakuu habari zenu Nahitaji kujua hii kitu kweli inafanya kazi? Kwa mwenye ujuzi/uzoefu na ameshawahi kuunlock kuna madhara yoyote? Ninataka kuunlock Redmi Note 10 pro ningependa kupata muongozo...
0 Reactions
1 Replies
566 Views
wadau nahitaji msaada jinsi ya ku solve hii error! inatokea wakati wa installation ya pes 2017! Kwenye desktop window 10,64bit Spec za machine:ziko supportive
0 Reactions
3 Replies
486 Views
Wakuu nimenunua hiyo mashine tajwa hapo juu kwakwel iko vizuri sana ila je inadumu hii ? Kwa waliowahi kununua na kutumia.
0 Reactions
8 Replies
654 Views
Watu wengi hawatofautishi discoveries na inventions. A sharp contrast exists between the two. Linganisha haya na ile list ya 10 inventions nilyotoa hapo awali. Life-Changing Science...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakubwa habari, by default kingamuz cha canal kinasoma Ethiopia nabadilishaje county? Je, nafanyaje kuweza kuona zile canal Sport 1, Sports 2, sport 3, Sports 4?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Simu hii imeandika rekodi ya kihistoria - kwa kuwa simu ya kwanza kuwa na uwezo wa Satellite (kabla ya iPhone), ina kamera ya latest gen ya Huawei. Ukitazama hii promo, nenda kacheck promo ya...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Marekani imepanga kupeleka raia wake huko sayari ya Mars ifikapo 2030s. Urusi nayenyewe imepanga kupeleka raia wake Mars ifikapo 2040s . China nao wamepanga 2040s kama urusi. Sasa sisi...
4 Reactions
70 Replies
3K Views
Habar wadau Hivi vitu viwili mm huwa sivielewi kabisa nilichogundua kuna kitu sikujui hapo ivo nikaona bora niulize ukienda kwenye mitandao km TTCL au SIMBANET nk wana internet za dedicated na...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakulu najua humu hakuna kinachoshindikana mwenye kufahamu jinsi ya kufungua PAYPAL account na kulink direct na mitandao kama vile Tigopesa, Mpesa na Airtel anijuze.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…