Wakuu msaada kidogo hapa,,, nimenunua hii Simu S6 Ila nilijaribu kuweka line yangu haisomi.. tatizo nini wadau nashindwa kuelewa kabisa..
Simu hii ni Used, nadhan zinajulikana yaan zimetumika...
Habari wakuu je nafanyaje ili niweze kuangalia match live kwenye tv kwa kutumia internet ingawa tv yng sio smart tv ila hapa nilipo naangalizia kwenye simu tu mpira kwa kutumia app ya yacine tv...
Habari! Poleni kwa kazi
Naomba mnisaidie kuhusu unit za umeme.Je n hak kulipa 7000 kwa units 20? Nmetumia kwa muda wa mwez 1 na wiki kama 1.Mchana huwa cshind ghetto.
Natumia pas ya umeme kwa...
Wadau habari,
Naomba kujuzwa ni ipi Best Application nzuri kwenye simu yakudownload any mp3 music ziende direct kwenye simu nasio kubaki kwenye app
NB. Natumia Android phone
Ahsanteni
kama ulikuwa na file zako ghafla hazionekani tena na hauja zi delete.na pia ume show all folders bado hazionekani ni kwamba kuna virus wame yaficha hayo mafile .njia ntakayo onesha ina rudisha...
habarini wakuu kuna site inaitwa youtube-aq.xyz hawa jmaa wana lipa watu kwa ku watch ads video kweny site yao na ukijiunga unapewa bonus ya $25 lakn nmeingiwa na mashaka makubwa sana baada...
WORLD IS GOING CRAZY,MURDERS,SUICIDES,IMMORALITY AND OTHER UNEXPLAINED BEHAVIOURS AND DECISIONS ARE ALL AROUND US.COULD GALACTIC, SOLAR AND GEOPHYSICAL INFLUENCES ON HUMAN BEHAVIOR BE...
Wakuu habari zenu
Nahitaji kujua hii kitu kweli inafanya kazi?
Kwa mwenye ujuzi/uzoefu na ameshawahi kuunlock kuna madhara yoyote?
Ninataka kuunlock Redmi Note 10 pro ningependa kupata muongozo...
wadau nahitaji msaada jinsi ya ku solve hii error!
inatokea wakati wa installation ya pes 2017! Kwenye
desktop window 10,64bit
Spec za machine:ziko supportive
Watu wengi hawatofautishi discoveries na inventions. A sharp contrast exists between the two. Linganisha haya na ile list ya 10 inventions nilyotoa hapo awali.
Life-Changing Science...
Wakubwa habari, by default kingamuz cha canal kinasoma Ethiopia nabadilishaje county?
Je, nafanyaje kuweza kuona zile canal Sport 1, Sports 2, sport 3, Sports 4?
Simu hii imeandika rekodi ya kihistoria - kwa kuwa simu ya kwanza kuwa na uwezo wa Satellite (kabla ya iPhone), ina kamera ya latest gen ya Huawei.
Ukitazama hii promo, nenda kacheck promo ya...
Marekani imepanga kupeleka raia wake huko sayari ya Mars ifikapo 2030s.
Urusi nayenyewe imepanga kupeleka raia wake Mars ifikapo 2040s .
China nao wamepanga 2040s kama urusi.
Sasa sisi...
Habar wadau
Hivi vitu viwili mm huwa sivielewi kabisa nilichogundua kuna kitu sikujui hapo ivo nikaona bora niulize ukienda kwenye mitandao km TTCL au SIMBANET nk wana internet za dedicated na...
Wakulu najua humu hakuna kinachoshindikana mwenye kufahamu jinsi ya kufungua PAYPAL account na kulink direct na mitandao kama vile Tigopesa, Mpesa na Airtel anijuze.