Huawei imetoa simu mpya Mate50 Pro ambayo ni flagship yake mpya

Huawei imetoa simu mpya Mate50 Pro ambayo ni flagship yake mpya

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,859
Simu hii imeandika rekodi ya kihistoria - kwa kuwa simu ya kwanza kuwa na uwezo wa Satellite (kabla ya iPhone), ina kamera ya latest gen ya Huawei.

Ukitazama hii promo, nenda kacheck promo ya iPhone 14 Pro. Utaona namna ambavyo Huawei inafanana na Apple katika promotions! Huawei inapambana kuonyesha bado ipo faster katika teknolojia ya mawasiliano kama Apple. Huawei ni Apple ya China!



CREDIT: @ Apollo (@itsapolloo)
 
Moja kitu cha ajabu TSMC ilipigwa ban kufanya kazi Na huawei Ila nmeshangaa kuona mate50 ina qualcom 8+gen1 kama mambo yamenoga kuna uwezekano wa Google service kurud kwa huawei global kabla ya 2024 Na harmony os ikabak China tu
 

Attachments

  • design-intro.jpg
    design-intro.jpg
    634.6 KB · Views: 28
Hakunaga kama Huawei, kama sio ban ya us apple angepotezwa sokoni. Hata simu used za huawei hazina changamoto kama za hao wengine, ukitaka used au refub chukua huawei
Kwanini asinge potezwa samsung mkuu
 
Moja kitu cha ajabu TSMC ilipigwa ban kufanya kazi Na huawei Ila nmeshangaa kuona mate50 ina qualcom 8+gen1 kama mambo yamenoga kuna uwezekano wa Google service kurud kwa huawei global kabla ya 2024 Na harmony os ikabak China tu
Na mie nimeshangaa hili kutumia hiyo chip ya Snapdragon..

Chief-Mkwawa toa neno hapa
 
Haina 5G, wamekua banned kutumia 5G.
Wanakupa hiki, wanakunyima hiki. Bado naona ni simu nzuri sana, hiyo 5G bado sana kwa maeneo mengi. Hiyo chip kwa maoni na spec za simu uanionaje? Nimeona kama wametumia Samsung 21 au 22 kama nipo sawa
 
CEO wa Huawei alisema isingekuwa ban ingebaki iPhone na Huawei tu
Haya maneno tu, kiuhalisia Huawei kutokuwepo sokoni kumemuathiri sana Samsung sababu kapoteza mteja mkubwa.

Pia ukiangalia Masoko makubwa ya Samsung kama Africa, India, USA etc Huawei hakuwepo, Soko pekee ambalo wanashindana ni la Ulaya, China hawana time na Samsung na ndio zaidi ya Nusu ya mauzo ya Huawei yalipokuwepo.
 
Wanakupa hiki, wanakunyima hiki. Bado naona ni simu nzuri sana, hiyo 5G bado sana kwa maeneo mengi. Hiyo chip kwa maoni na spec za simu uanionaje? Nimeona kama wametumia Samsung 21 au 22 kama nipo sawa
Hio ni Flagship soc inatumiwa na Simu zote Highend, Samsung, Xiaomi, Sony, Asus, Oppo, Vivo etc.
 
aaah wapi.

ukishika huawei na samsung hand to hand utajua bado huawei alikuwa na kazi ya ziada.
Na ushahidi mwengine Huawei hayupo sokoni na Mauzo ya Samsung yapo vile vile hayajaongezeka kivile, hii inaonesha hizi kampuni mbili zina wateja tofauti.

Kampuni ambayo inafanana na Huawei ni Oppo/Vivo wote wana simu zinafanana na hata Mauzo mengi wamechukua wao.

Na sub brand yao ya Honor ni Xiaomi na kina Realme
 
Back
Top Bottom