Hellow Gamers
Nimefikia ukomo kwenye tasnia ya Gaming
Hivyo basi nimeamua kwa moyo mmoja kuitafutia makazi mapya hii PC yangu.
Ni Custom built PC naweka specs zake hapa chini.
Safari ya kuunda...
Habari wandugu!
Naombeni muongozo nani huku anatumia huduma ya Super-kasi Vodacom....hii wanayokufungia antenna na wanasema unapata speed ya 30MbPs.
Kwa mwenye experience nayo nataka kujua speed...
Habari wana JF.
Naomba mwenye kujua kama inawezekana kuweka OS ya android 12 kwenye Galaxy Note 8 alternatively maana officially haiwezekani.
Faida na Hasara(Risk) za kufanya hivyo, Karibuni...
Wakuu vipi,
Nmeenda dukani kununua Pc used abroad.
Ni hp 840 zile new design nyepesi flan nyembamba.
Core i5, Ram8, ssd 256 generation 6
Kwa 550, 000/=
Ni sawa au napigwa?
Wakati teknolojia ya simu za mkononi zenye uwezo wa ‘touch screens’ ikiingia, kila mtu alikuwa akistaajabu kwamba utaweza vipi kubofya simu ambayo haina ‘buttons?’ yaani uguse tu kioo halafu mambo...
Kama unatumia Whatsapp ,facebook, insta, messenger zote zimezima mda huu... sijui server za bwana marck zimekumbwa na nini leo...
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji34][emoji34][emoji34]...
Wadau!
Natumaini jumatatu yetu imeanza vizuri. Ni buheri wa afya hapa morogoro katika chimbo fulani hivi.
Bila kupoteza muda. Natafuta bulk SMS Provider ambaye bei zake ni nafuu. Kuna jamaa...
Habari wadau hivi inakuaje kila ukibadilisha simu what's app inaanza upya yani kama vile hukuwa na account inatoa magroup yote na kila kitu, yani ni kama unanza moja
Habarini
leo sina mengi naomben ujuzi nifanye nn ili niweze kudistribute dstv na azam katika vyumba ving ndan ya nyumba moja Na utaratibu upoje
ASANTEN
Wakuu humu jf kwema
Naomba ushauri wa simu gani janja (Smart phone) nzuri yenye uwezo mzuri wa kupiga picha,uwezo mkubwa wa kuhifadhi(storage capacity) na uwezo mkubwa wa kukaa na chaji kwa...
Kama wewe ni mtumiaji wa kifaa hiki, hili jambo halitakuwa geni kwako!
Changamoto hii tumekuwa tukikumbana nayo kwa kiwango kikubwa na hapo hapo tusijue nini chanzo chake. Leo hii hebu tupate...
Mara nyingi kwenye kompyuta kumekuwa na milio mbalimbali kuonyesha kwamba Kompyuta kuna hitilafu mbalimbali, na hali hii inapotokea inakuwa ni vyema kutambua tatizo lipo sehemu gani hasa.
1...
Salamu jf na mara baada salamu ni vizuri tuwaeleze hawa ndugu tusipuuzie hivi vitu ingawa vinaonekana vidogo.
Watueleze tatizo ni nini kama program zao hazimatch tuombe hata kina max waende...
Vice president wa industrial designs wa Apple ameondoka Apple.
Evans Hankey ambaye alirithi mikoba ya Jony Ive kwa miaka 3 imefikia muda nae pia anaona ni wakati sahihi wa yeye kuachana na Apple...
Heshima yenu Viongozi, nilikua na Account Netflix nikaifuta nikafungua account nyingine jana kwa email tofauti na Visa Card Number Tofauti.. lakin mpaka sasa inasumbua nimeshindwa kupata Account...
Simu yangu nimeiseti kila ikifika saa nane usiku muda ambao siitumii simu basi ijizime na kujiwasha yenyewe ili iwe na performance nzuri kila siku sasa leo nakuta ina hicho kialama cha VoLTE ni...