Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hellow Gamers Nimefikia ukomo kwenye tasnia ya Gaming Hivyo basi nimeamua kwa moyo mmoja kuitafutia makazi mapya hii PC yangu. Ni Custom built PC naweka specs zake hapa chini. Safari ya kuunda...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wandugu! Naombeni muongozo nani huku anatumia huduma ya Super-kasi Vodacom....hii wanayokufungia antenna na wanasema unapata speed ya 30MbPs. Kwa mwenye experience nayo nataka kujua speed...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Kati ya computer yenye processor AMD A8 na core i 5 ipi bora?
0 Reactions
1 Replies
498 Views
Habari wana JF. Naomba mwenye kujua kama inawezekana kuweka OS ya android 12 kwenye Galaxy Note 8 alternatively maana officially haiwezekani. Faida na Hasara(Risk) za kufanya hivyo, Karibuni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu vipi, Nmeenda dukani kununua Pc used abroad. Ni hp 840 zile new design nyepesi flan nyembamba. Core i5, Ram8, ssd 256 generation 6 Kwa 550, 000/= Ni sawa au napigwa?
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakati teknolojia ya simu za mkononi zenye uwezo wa ‘touch screens’ ikiingia, kila mtu alikuwa akistaajabu kwamba utaweza vipi kubofya simu ambayo haina ‘buttons?’ yaani uguse tu kioo halafu mambo...
13 Reactions
43 Replies
5K Views
Kama unatumia Whatsapp ,facebook, insta, messenger zote zimezima mda huu... sijui server za bwana marck zimekumbwa na nini leo... [emoji849][emoji849][emoji849][emoji34][emoji34][emoji34]...
5 Reactions
93 Replies
9K Views
Wadau! Natumaini jumatatu yetu imeanza vizuri. Ni buheri wa afya hapa morogoro katika chimbo fulani hivi. Bila kupoteza muda. Natafuta bulk SMS Provider ambaye bei zake ni nafuu. Kuna jamaa...
1 Reactions
3 Replies
740 Views
Habari wadau hivi inakuaje kila ukibadilisha simu what's app inaanza upya yani kama vile hukuwa na account inatoa magroup yote na kila kitu, yani ni kama unanza moja
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini leo sina mengi naomben ujuzi nifanye nn ili niweze kudistribute dstv na azam katika vyumba ving ndan ya nyumba moja Na utaratibu upoje ASANTEN
0 Reactions
2 Replies
542 Views
Habari wakuu, Msaada wakuu kwa anayefaham app namna ya kutoa kivuli au emoj kwenye picha kama hii hapo kuitoa hiyo emoj
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wakuu, Naulizia housing ya simu- Vodafone 795 Kwa hapa Kibaha au Dar Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
0 Reactions
2 Replies
548 Views
Wakuu humu jf kwema Naomba ushauri wa simu gani janja (Smart phone) nzuri yenye uwezo mzuri wa kupiga picha,uwezo mkubwa wa kuhifadhi(storage capacity) na uwezo mkubwa wa kukaa na chaji kwa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kama wewe ni mtumiaji wa kifaa hiki, hili jambo halitakuwa geni kwako! Changamoto hii tumekuwa tukikumbana nayo kwa kiwango kikubwa na hapo hapo tusijue nini chanzo chake. Leo hii hebu tupate...
3 Reactions
1 Replies
3K Views
Mara nyingi kwenye kompyuta kumekuwa na milio mbalimbali kuonyesha kwamba Kompyuta kuna hitilafu mbalimbali, na hali hii inapotokea inakuwa ni vyema kutambua tatizo lipo sehemu gani hasa. 1...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Salamu jf na mara baada salamu ni vizuri tuwaeleze hawa ndugu tusipuuzie hivi vitu ingawa vinaonekana vidogo. Watueleze tatizo ni nini kama program zao hazimatch tuombe hata kina max waende...
0 Reactions
3 Replies
567 Views
Vice president wa industrial designs wa Apple ameondoka Apple. Evans Hankey ambaye alirithi mikoba ya Jony Ive kwa miaka 3 imefikia muda nae pia anaona ni wakati sahihi wa yeye kuachana na Apple...
2 Reactions
7 Replies
730 Views
Wataalamu wa ICT mtujuze umuhimu wa hii kitu Cc mwl RTC
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Heshima yenu Viongozi, nilikua na Account Netflix nikaifuta nikafungua account nyingine jana kwa email tofauti na Visa Card Number Tofauti.. lakin mpaka sasa inasumbua nimeshindwa kupata Account...
1 Reactions
5 Replies
745 Views
Simu yangu nimeiseti kila ikifika saa nane usiku muda ambao siitumii simu basi ijizime na kujiwasha yenyewe ili iwe na performance nzuri kila siku sasa leo nakuta ina hicho kialama cha VoLTE ni...
1 Reactions
1 Replies
951 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…