spleeingiant
Senior Member
- Oct 24, 2016
- 138
- 45
Habari wadau hivi inakuaje kila ukibadilisha simu what's app inaanza upya yani kama vile hukuwa na account inatoa magroup yote na kila kitu, yani ni kama unanza moja
Ili vitu virudi kama mwanzo unatakiwa ufanye backups mara kwa mara ,mimi nimebadili simu mara kibao na sijawahi poteza chatting wala group zanguHabari wadau hivi inakuaje kila ukibadilisha simu what's app inaanza upya yani kama vile hukuwa na account inatoa magroup yote na kila kitu, yani ni kama unanza moja
Week 3 tuSimu yako ukibadili Baada ya Muda Gani.
Usipo ingia kwenye Account yako ya watsup miezi Mitatu, watsup inafutika group zoooote zinafutika na chatting zoooote zinafutika.
Pole sana mkuu.
NinayoTumia telegram.