Umelewa alichoandika mdau lkn?Speed yake ipoje mkuu!?
Ukidownload huwa inatembea kiasi gani!?
Ka mwambaHio 30 Mbps ndio naisikia leo, nachojuwa wana 10 Mbps na 20 Mbps..
Mb ikiwa na "b" yenye herufi ndogo ni Megabits, kuzibadili zije kuwa speed ya MB ambazo ni Megabytes kwa "B" yenye herufi kubwa tunazidisha mara 0.125... ps ni per second ambayo kwa kiswahili ni kwa sekunde.. Mbps ni Megabits kwa sekunde na MBps ni Megabytes kwa sekunde
10 Mbps - 1.125 MB kwa sekunde, bei ni 115,000
20 Mbps - MB 2.25 kwa sekunde, bei ni 165,000
Kuna mdau humu alisema soon wanaanza kutoa 30,50,100,200,350mbpsHio 30 Mbps ndio naisikia leo, nachojuwa wana 10 Mbps na 20 Mbps..
Mb ikiwa na "b" yenye herufi ndogo ni Megabits, kuzibadili zije kuwa speed ya MB ambazo ni Megabytes kwa "B" yenye herufi kubwa tunazidisha mara 0.125... ps ni per second ambayo kwa kiswahili ni kwa sekunde.. Mbps ni Megabits kwa sekunde na MBps ni Megabytes kwa sekunde
10 Mbps - 1.125 MB kwa sekunde, bei ni 115,000
20 Mbps - MB 2.25 kwa sekunde, bei ni 165,000
Hio ni hadi uwe eneo lenye 5g, kwq sasa inapatikana mjini kati dar maeneo ya postaKa mwamba
Kuna mdau humu alisema soon wanaanza kutoa 30,50,100,200,350mbps
Hio 30 Mbps ndio naisikia leo, nachojuwa wana 10 Mbps na 20 Mbps..
Mb ikiwa na "b" yenye herufi ndogo ni Megabits, kuzibadili zije kuwa speed ya MB ambazo ni Megabytes kwa "B" yenye herufi kubwa tunazidisha mara 0.125... ps ni per second ambayo kwa kiswahili ni kwa sekunde.. Mbps ni Megabits kwa sekunde na MBps ni Megabytes kwa sekunde
10 Mbps - 1.125 MB kwa sekunde, bei ni 115,000
20 Mbps - MB 2.25 kwa sekunde, bei ni 165,000
Dah aisee, watufikirie vipato vya kawaida tupate hata 5 Mbps kwa elf 50wamebadili vifurush mda 120k sasa hv unapata 30mbps usikariri mambo yamebadilika View attachment 2379257
Hii inapatikana vodacom pale mlimani city?wamebadili vifurush mda 120k sasa hv unapata 30mbps usikariri mambo yamebadilika View attachment 2379257
Wana target market yao ambayo wewe haupoDah aisee, watufikirie vipato vya kawaida tupate hata 5 Mbps kwa elf 50
Mimi natumia cha 115k per month..kiukweli speed yake iko njema...yaani ukiwa nyumban hutamani hata kuondoka
Ni unlimited mkuu.Siku ya kwanza nilidownload updates za game zilikuwa 300GB naamka asubuhi zimeisha zote.Inakua unlimited?
Gb 300 duuh.Ni unlimited mkuu.Siku ya kwanza nilidownload updates za game zilikuwa 300GB naamka asubuhi zimeisha zote.
Kama mtu unamudu kulipa 120k ni vema ukaweka utaenjoy.
Na hiyo ya Sasa 5G nahisi itakua vema zaidi