Mundele Makusu1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,629
- 3,722
Wakuu humu jf kwema
Naomba ushauri wa simu gani janja (Smart phone) nzuri yenye uwezo mzuri wa kupiga picha,uwezo mkubwa wa kuhifadhi(storage capacity) na uwezo mkubwa wa kukaa na chaji kwa kampuni yoyote ile, ikipendeza bei zake madukani na changamoto za simu hiyo.
Bajet yangu ni 250k mpaka 300k
#Nawasilisha.
Naomba ushauri wa simu gani janja (Smart phone) nzuri yenye uwezo mzuri wa kupiga picha,uwezo mkubwa wa kuhifadhi(storage capacity) na uwezo mkubwa wa kukaa na chaji kwa kampuni yoyote ile, ikipendeza bei zake madukani na changamoto za simu hiyo.
Bajet yangu ni 250k mpaka 300k
#Nawasilisha.